Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe 26 Jan 2022. Shahidi wa 12 Luteni Denis Urio kuendelea kutoa ushahidi wake

Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe 26 Jan 2022. Shahidi wa 12 Luteni Denis Urio kuendelea kutoa ushahidi wake

... shukrani sana Mkuu; endelea kuihabarisha dunia mwenendo wa kesi hii muhimu duniani kwa sasa! Tuwaombee washtakiwa Mungu awafanyie wepesi kesi hii ya ajabu iishe salama na iwe rejea kwa vizazi na vizazi jinsi gani walioaminiwa kulinda Katiba na sheria wanaweza kutumia vyombo vya dola kudhulumu haki za wenye haki.
Dunia imejua tuna askari wazalendo na viongozi wenye uchu wa madaraka

Wakili wa Serikali: Shahidi hebu tueleze Wewe alipokueleza hayo Maneno, Ni Kipi kilikupelekea ukamkubalia

Shahidi: Kwa Experience yangu Kuna kitu kinaitwa Tactical appreciation

Wakili wa Serikali: Experience yako Kwenye Nini

Shahidi: Kwenye Ulinzi

Wakili wa Serikali: Tactical appreciation ni Kitu gani hicho

Shahidi: Kuna Binadamu, Kuna Mimi na Tanzania, lakini Mimi si kitu Kuliko Tanzania, Freeman Ni Ndugu yangu, Tayari Alishakuja na Ile Nia, Kwamba Unataka nimkatalie, lakini Mimi huenda ni Plan B au C. Je Nikimkatalia atachukua hatua gani? Je, nitakuwa ni solution matatizo yasitokee, Naweza Kumkatalia lakini kumbe ana Backup plan nitakuwa sija solve tatizo.
 
Ndiyo mwendo wenyewe mkuu- ushahidi usio na mashaka ndio huo
Hakuna ushahidi hapo! Maana yule mtaalamu wenu anayeitwa Ndowo sijui!

Alishakataa kwamba hakuona kiashiria chochote cha ugaidi wakati anahojiwa kuhusu mawasiliano ya Mbowe na huyo Urio. Hii kesi imekaa kimichongo, na kinadharia zaidi.

Hakuna hata sehemu Mbowe ameonekana anapanga njama za huo ugaidi. Zaidi tu ya kumtafuta huyo Urio ili amtafutie Wanajeshi wa kumlinda, na mwisho wa siku huyo Urio akaamua kumsaliti Mbowe kwa interest zake.
 
Hakuna ushahidi hapo! Maana yule mtaalamu wenu anayeitwa Ndowo sijui!

Alishakataa kwamba hakuona kiashiria chochote cha ugaidi wakati anahojiwa kuhusu mawasiliano ya Mbowe na huyo Urio. Hii kesi imekaa kimichongo, na kinadharia zaidi.

Hakuna hata sehemu Mbowe ameonekana anapanga njama za huo ugaidi. Zaidi tu ya kumtafuta huyo Urio ili amtafutie Wanajeshi wa kumlinda, na mwisho wa siku huyo Urio akaamua kumsaliti Mbowe kwa interest zake.
Wakili wa Serikali: Shahidi hebu tueleze Wewe alipokueleza hayo Maneno, Ni Kipi kilikupelekea ukamkubalia

Shahidi: Kwa Experience yangu Kuna kitu kinaitwa Tactical appreciation

Wakili wa Serikali: Experience yako Kwenye Nini

Shahidi: Kwenye Ulinzi

Wakili wa Serikali: Tactical appreciation ni Kitu gani hicho

Shahidi: Kuna Binadamu, Kuna Mimi na Tanzania, lakini Mimi si kitu Kuliko Tanzania, Freeman Ni Ndugu yangu, Tayari Alishakuja na Ile Nia, Kwamba Unataka nimkatalie, lakini Mimi huenda ni Plan B au C. Je Nikimkatalia atachukua hatua gani? Je, nitakuwa ni solution matatizo yasitokee, Naweza Kumkatalia lakini kumbe ana Backup plan nitakuwa sija solve tatizo.
 
Dunia imejua tuna askari wazalendo na viongozi wenye uchu wa madaraka

Wakili wa Serikali: Shahidi hebu tueleze Wewe alipokueleza hayo Maneno, Ni Kipi kilikupelekea ukamkubalia

Shahidi: Kwa Experience yangu Kuna kitu kinaitwa Tactical appreciation

Wakili wa Serikali: Experience yako Kwenye Nini

Shahidi: Kwenye Ulinzi

Wakili wa Serikali: Tactical appreciation ni Kitu gani hicho

Shahidi: Kuna Binadamu, Kuna Mimi na Tanzania, lakini Mimi si kitu Kuliko Tanzania, Freeman Ni Ndugu yangu, Tayari Alishakuja na Ile Nia, Kwamba Unataka nimkatalie, lakini Mimi huenda ni Plan B au C. Je Nikimkatalia atachukua hatua gani? Je, nitakuwa ni solution matatizo yasitokee, Naweza Kumkatalia lakini kumbe ana Backup plan nitakuwa sija solve tatizo.
Hizo ni porojo tu! Na atakuja kuumbuka wakati wa Cross Examination! (Ona sasa nimeshakuwa Bush Lawyer kutokana na hii kesi ya mchongo! 🙄) kutoka kwa Mawakili wasomi wa upande wa utetezi.

Yule mtaalamu wa mifumo wakati anatolea maelezo kuhusu mawasiliano ya Mbowe na Urio, kulikuwa na stori za kawaida tu! Hivyo hayo maelezo ya Urii, ni porojo tu kama zile za Kingai, Jumanne, Mahita, Goodluck, na mashahidi wengine wa mchongo.
 
Ndiyo mwendo wenyewe mkuu- ushahidi usio na mashaka ndio huo
Hakuna mahakama yoyote duniani inayoweza kuchukua maneno kama haya ya Urio kama yalivyo ukawa ushahidi iliojitosheleza maana,

1. Mpaka sasa maneno yake hayana muanganiko wa karibu na ushahidi wa wengine

2. Labda baadaye watuletee sauti za mazungumzo au utoshelevu mwingine juu ya ushahidi huu.
 
Hakuna ushahidi hapo! Maana yule mtaalamu wenu anayeitwa Ndowo sijui!

Alishakataa kwamba hakuona kiashiria chochote cha ugaidi wakati anahojiwa kuhusu mawasiliano ya Mbowe na huyo Urio. Hii kesi imekaa kimichongo, na kinadharia zaidi.

Hakuna hata sehemu Mbowe ameonekana anapanga njama za huo ugaidi. Zaidi tu ya kumtafuta huyo Urio ili amtafutie Wanajeshi wa kumlinda, na mwisho wa siku huyo Urio akaamua kumsaliti Mbowe kwa interest zake.
You're so funny, unajua! Unakubali ushahidi wa Luteni Urio kwamba ni kweli Mbowe alimwomba amtafutie bodyguards, at the same time unakataa sehemu iliyosalia ya ushahidi wake kwamba alikuwa anafanya plans za kuzua taharuki na vurugu kwenye nchi?
 
Dunia imejua tuna askari wazalendo na viongozi wenye uchu wa madaraka

Wakili wa Serikali: Shahidi hebu tueleze Wewe alipokueleza hayo Maneno, Ni Kipi kilikupelekea ukamkubalia

Shahidi: Kwa Experience yangu Kuna kitu kinaitwa Tactical appreciation

Wakili wa Serikali: Experience yako Kwenye Nini

Shahidi: Kwenye Ulinzi

Wakili wa Serikali: Tactical appreciation ni Kitu gani hicho

Shahidi: Kuna Binadamu, Kuna Mimi na Tanzania, lakini Mimi si kitu Kuliko Tanzania, Freeman Ni Ndugu yangu, Tayari Alishakuja na Ile Nia, Kwamba Unataka nimkatalie, lakini Mimi huenda ni Plan B au C. Je Nikimkatalia atachukua hatua gani? Je, nitakuwa ni solution matatizo yasitokee, Naweza Kumkatalia lakini kumbe ana Backup plan nitakuwa sija solve tatizo.
... ndio ushahidi gani huo?
 
Hizo ni porojo tu! Na atakuja kuumbuka wakati wa Cross Examination! (Ona sasa nimeshakuwa Bush Lawyer kutokana na hii kesi ya mchongo! 🙄) kutoka kwa Mawakili wasomi wa upande wa utetezi.

Yule mtaalamu wa mifumo wakati anatolea maelezo kuhusu mawasiliano ya Mbowe na Urio, kulikuwa na stori za kawaida tu! Hivyo hayo maelezo ya Urii, ni porojo tu kama zile za Kingai, Jumanne, Mahita, Goodluck, na mashahidi wengine wa mchongo.

But shahidi ametamka kwamba Mbowe hakutaka mazungumzo yao yafanyike kwa njia ya simu. Hukusoma hapo?
 
Wakili wa Serikali: Shahidi hebu tueleze Wewe alipokueleza hayo Maneno, Ni Kipi kilikupelekea ukamkubalia

Shahidi: Kwa Experience yangu Kuna kitu kinaitwa Tactical appreciation

Wakili wa Serikali: Experience yako Kwenye Nini

Shahidi: Kwenye Ulinzi

Wakili wa Serikali: Tactical appreciation ni Kitu gani hicho

Shahidi: Kuna Binadamu, Kuna Mimi na Tanzania, lakini Mimi si kitu Kuliko Tanzania, Freeman Ni Ndugu yangu, Tayari Alishakuja na Ile Nia, Kwamba Unataka nimkatalie, lakini Mimi huenda ni Plan B au C. Je Nikimkatalia atachukua hatua gani? Je, nitakuwa ni solution matatizo yasitokee, Naweza Kumkatalia lakini kumbe ana Backup plan nitakuwa sija solve tatizo.
^Tactical appreciation^ 🙂

It means, mtu anakubaliwa kimkakati! Dah!
 
You're so funny, unajua! Unakubali ushahidi wa Luteni Urio kwamba ni kweli Mbowe alimwomba amtafutie bodyguards, at the same time unakataa sehemu iliyosalia ya ushahidi wake kwamba alikuwa anafanya plans za kuzua taharuki na vurugu kwenye nchi?
Kwani ni dhambi kuwa na mlinzi/walinzi binafsi? Kwa hiyo ukimuomba mtu ambaye yupo kwenye mfumo wa ulinzi kama huyo Urio kukutafutia walinzi kwa ajili ya usalama wako, basi ni ugaidi!

Utaratibu wa wapi huo? Na uzuri hata mawasiliano ya telegram, whatsapp, nk. Aliyokuja nayo yule shahidi wenu Ndowo yalionesha hivyo! Mbowe aliwatafuta hao makomandoo kwa ajili ya ulinzi wake binafsi! Na hakukuwa na kiashiria chochote kile cha ugaidi! Sasa hamuoni mnapoteza tu muda kulazimisha mashtaka ambayo kimsingi hayapo?
 
... ndio ushahidi gani huo?
TACTICAL APPRECIATION- An estimate or appreciation of a situation is the military term defined as a 'logical process of reasoning by which a commander considers all the circumstances affecting the military situation and arrives at a decision as to the course of action to be taken in order to accomplish his mission'
 
Kichwa chako kimejaa mav
An estimate or appreciation of a situation is the military term defined as a 'logical process of reasoning by which a commander considers all the circumstances affecting the military situation and arrives at a decision as to the course of action to be taken in order to accomplish his mission'
 
Kwani ni dhambi kuwa na mlinzi/walinzi binafsi? Kwa hiyo ukimuomba mtu ambaye yupo kwenye mfumo wa ulinzi kama huyo Urio kukutafutia walinzi kwa ajili ya usalama wako, basi ni ugaidi!

Utaratibu wa wapi huo? Na uzuri hata mawasiliano ya telegram, whatsapp, nk. Aliyokuja nayo yule shahidi wenu Ndowo yalionesha hivyo! Mbowe aliwatafuta hao makomandoo kwa ajili ya ulinzi wake binafsi! Na hakukuwa na kiashiria chochote kile cha ugaidi! Sasa hamuoni mnapoteza tu muda kulazimisha mashtaka ambayo kimsingi hayapo?
Sikupingi. Nia yangu, kama ilivyo kwa wengi, including Profesa Mark Mwandosya, ni kujua ukweli ni upi. Kitu cha msingi ni kuvuta subira. Takwimu huwa hazidanganyi hata kidogo! Mwishoni tutaunganisha doti, regardless of covert interests zinazoweza kuwepo katika pande zote mbili!
 
Back
Top Bottom