Uchaguzi 2020 Yaliyojiri katika mapokezi na mkutano wa Tundu Lissu Sumbawanga

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri katika mapokezi na mkutano wa Tundu Lissu Sumbawanga

Pamoja na kwamba Jiwe atatangazwa ila huku kukubalika kwa Lisu kitapelekea mambo mengi sana kurekebishwa katika hii awamu ya pili. Private sector Jamaa haendi kuziuwa kama alivyofanya sasa.... We SUMA JKT kwa sasa mpaka barabara wanafagia wao wakati hizo ndio kazi za vikundi mitaani ili wajikwamue kwa kipato

Hatakuwa na awamu ya pili.. sasa anaenda kupumzika kwao Chato alikojilimbikizia mali na miradi kibao.
 
Hatakuwa na awamu ya pili.. sasa anaenda kupumzika kwao Chato alikojilimbikizia mali na miradi kibao.
Hilo Jambo halipo leo, wala halipo kesho wala keshokutwa, Lisssu ndiyo ataenda kupumzika Ubeligiji kwa mahawala zake.
 
"Tundu Lissu akiwa Rukwa - Sumbawanga Mjini kwenye kiwanja cha Ndua.."

Mheshimiwaa Tundu Lissu ameongea na maelfu ya wakazi wa Rukwa hapa Sumbawanga.

Ifuatavyo ni sehemu ya Hotuba yake:

Nawashukuru sana sana watu wa Sumbawanga kwa ukarimu na upendo.

Sasa naomba nianze nahii engua engua ya tume, wanaonyesha ni namna gani wanavyotuogopa. Sasa hata kama wanafanya haya bado Chadema tutashinda kwa Kimbunga na hawataweza kutuibia. Kushinda kwakimbunga kwa kila kata kwa kila jimbo kura za raisi. Hili Tuweze kushinda kwa basi Sumbawanga tukapige kura kwa wingi nakulinda kura, hapo sasa tutakuwa tumeshinda kwa kishindo.

Sasa kama Chadema kwenye uchaguzi huu agenda zetu ni Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu. Tukisema uhuru wakuwasilisha mawazo, kuhoji, kujisemea na kusema chochote, tumezibwa midomo. Hatupo huru kuendesha shughuli zetu zakiuchumi. Rukwa ni moja ya mkoa wa mpakani ila unakosa fursa zakujiendesha kiuchumi, mmekuwa mkitozwa makodi makubwa na haya yote sababu memkosa uhuru.

Watu wanakosa Haki, huko Tabora kuna kodi ya uzazi, sasa sijui haya mambo yanatoka wapi. Haki ni wajibu kwakila mtu lakini Sasa serikali ya Magufuli inatoza mpaka kodi ya Mimba na Uzazi, alafu anasema zaeni tu kumbe ni deal. Sasa ili haki ipatikane basi uchaguzi huu chagueni Chadema tufanye mapinduzi ya haki katika nchi yetu.

Tukichukua nchi tutaiyang'nya TRA kufilisi wafanyabiashara, tutaweka kodi ya haki. Sababu ukifilisi mfanyabiashara, ukifilisi viwanda watu wanakosa ajira na maisha yanakuwa magumu. Magufuli hajui kufanya biashara ndo maana anakimbiza wawekezaji.

Tutafufua reli toka Kaliua mpaka Mpanda alafu Sumbawanga kwenda Tunduma tuunganishe na Tazara ili kufanya urahisi wa usafirishaji wa mahindi yetu, yafike kipindi bado bei ikiwa nzuri nakupunguza gharama za usafirishaji.

Hizi ndege zilizonunuliwa na Magufuli hazina maana yoyote kwetu, ndio ndege nzuri lakini hazina faida kwa Watanzania.

Maendeleo ya watu, Rukwa ndo mkoa unaolima mahindi mengi kuliko mkoa mwingine wowote lakini ukitazama hali ya wananchi wake hali ni mbaya. Basi maendeleo ya watu pamoja nakuinua hali za maisha.

Napenda nimalizie kuhusu hili swala la viongozi wakidini kupewa mashtaka ya ugaidi na serikali ya Magufuli, Kiukweli kumekuwa na uonevu mkubwa sana na kuwanyanyasa watu wanaoishi maeneo ya mipakani. Sasa Chadema ikichukua nchi vitu vya mwanzo kufanya ni kuwaachilia hawa wafungwa wakisiasa ambao wanateseka pasipo makosa.

Serikali ya Chadema itaheshimu taasisi zakidini, na haitaingilia shughuli zakidini kama katiba yetu ilivyoeleza. Serikali yetu itaheshimu kila tasisi bila kuingilia uhuru wao.

Chadema itarudisha madaraka kwa wananchi ili wajiamulie nini wanataka kufanya kwa maendeleo yao.

Mungu awabariki sana.

#njyeye

..mimi ningekuwa DJ ningeweka beat peke yake halafu nampa-mic TL aimbe huo wimbo wa Bob Marley.

..wakati mwingine siyo lazima kila mkutano amwage sera, hata kuwapa good time waliohudhuria mkutano is good campaign.
 
"Tundu Lissu akiwa Rukwa - Sumbawanga Mjini kwenye kiwanja cha Ndua.."

Mheshimiwaa Tundu Lissu ameongea na maelfu ya wakazi wa Rukwa hapa Sumbawanga.

Ifuatavyo ni sehemu ya Hotuba yake:

Nawashukuru sana sana watu wa Sumbawanga kwa ukarimu na upendo.

Sasa naomba nianze nahii engua engua ya tume, wanaonyesha ni namna gani wanavyotuogopa. Sasa hata kama wanafanya haya bado Chadema tutashinda kwa Kimbunga na hawataweza kutuibia. Kushinda kwakimbunga kwa kila kata kwa kila jimbo kura za raisi. Hili Tuweze kushinda kwa basi Sumbawanga tukapige kura kwa wingi nakulinda kura, hapo sasa tutakuwa tumeshinda kwa kishindo.

Sasa kama Chadema kwenye uchaguzi huu agenda zetu ni Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu. Tukisema uhuru wakuwasilisha mawazo, kuhoji, kujisemea na kusema chochote, tumezibwa midomo. Hatupo huru kuendesha shughuli zetu zakiuchumi. Rukwa ni moja ya mkoa wa mpakani ila unakosa fursa zakujiendesha kiuchumi, mmekuwa mkitozwa makodi makubwa na haya yote sababu memkosa uhuru.

Watu wanakosa Haki, huko Tabora kuna kodi ya uzazi, sasa sijui haya mambo yanatoka wapi. Haki ni wajibu kwakila mtu lakini Sasa serikali ya Magufuli inatoza mpaka kodi ya Mimba na Uzazi, alafu anasema zaeni tu kumbe ni deal. Sasa ili haki ipatikane basi uchaguzi huu chagueni Chadema tufanye mapinduzi ya haki katika nchi yetu.

Tukichukua nchi tutaiyang'nya TRA kufilisi wafanyabiashara, tutaweka kodi ya haki. Sababu ukifilisi mfanyabiashara, ukifilisi viwanda watu wanakosa ajira na maisha yanakuwa magumu. Magufuli hajui kufanya biashara ndo maana anakimbiza wawekezaji.

Tutafufua reli toka Kaliua mpaka Mpanda alafu Sumbawanga kwenda Tunduma tuunganishe na Tazara ili kufanya urahisi wa usafirishaji wa mahindi yetu, yafike kipindi bado bei ikiwa nzuri nakupunguza gharama za usafirishaji.

Hizi ndege zilizonunuliwa na Magufuli hazina maana yoyote kwetu, ndio ndege nzuri lakini hazina faida kwa Watanzania.

Maendeleo ya watu, Rukwa ndo mkoa unaolima mahindi mengi kuliko mkoa mwingine wowote lakini ukitazama hali ya wananchi wake hali ni mbaya. Basi maendeleo ya watu pamoja nakuinua hali za maisha.

Napenda nimalizie kuhusu hili swala la viongozi wakidini kupewa mashtaka ya ugaidi na serikali ya Magufuli, Kiukweli kumekuwa na uonevu mkubwa sana na kuwanyanyasa watu wanaoishi maeneo ya mipakani. Sasa Chadema ikichukua nchi vitu vya mwanzo kufanya ni kuwaachilia hawa wafungwa wakisiasa ambao wanateseka pasipo makosa.

Serikali ya Chadema itaheshimu taasisi zakidini, na haitaingilia shughuli zakidini kama katiba yetu ilivyoeleza. Serikali yetu itaheshimu kila tasisi bila kuingilia uhuru wao.

Chadema itarudisha madaraka kwa wananchi ili wajiamulie nini wanataka kufanya kwa maendeleo yao.

Mungu awabariki sana.

#njyeye
God save lisu
 
Lissu ni funga kazi. Kila kona anakopita ni halaiki ya watu. Sumbawanga mmetuwakilisha vyema sana.
Kwa umati nilioshuhudia mkutano wa Sumbawanga, sehemu ambayo siyo ngome kabisa ya upinzani, tokea mfumo wa vyama vingi, urejeshwe tena hapa nchini, mwaka 1992,hakika mwaka huu, hao CCM wajiandae kisaikolojia kuachia madaraka ya nchi kwa amani!

Kinyume cha hapo kama hao CCM, watafanya kiburi chao cha kawaida, cha kujiona wao ndiyo waliopewa hati miliki ya kutawala nchi hii, hakika mahakama ya kimataifa, ya The Hague itakuwa inawaita ili wakajibu mashtaka ya "kupindua" matokeo halali waliyopiga wananchi katika sanduku la kura
 
Anadai hakuna Uhuru,

mbona yeye alipo hapo anaongea tena anatema mashudu na hakuna anayehangaika nae,

Ni uhuru upi huo Wa Lisu anaouzungumzia??
 
"Tundu Lissu akiwa Rukwa - Sumbawanga Mjini kwenye kiwanja cha Ndua.."

Mheshimiwaa Tundu Lissu ameongea na maelfu ya wakazi wa Rukwa hapa Sumbawanga.

Ifuatavyo ni sehemu ya Hotuba yake:

Nawashukuru sana sana watu wa Sumbawanga kwa ukarimu na upendo.

Sasa naomba nianze nahii engua engua ya tume, wanaonyesha ni namna gani wanavyotuogopa. Sasa hata kama wanafanya haya bado Chadema tutashinda kwa Kimbunga na hawataweza kutuibia. Kushinda kwakimbunga kwa kila kata kwa kila jimbo kura za raisi. Hili Tuweze kushinda kwa basi Sumbawanga tukapige kura kwa wingi nakulinda kura, hapo sasa tutakuwa tumeshinda kwa kishindo.

Sasa kama Chadema kwenye uchaguzi huu agenda zetu ni Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu. Tukisema uhuru wakuwasilisha mawazo, kuhoji, kujisemea na kusema chochote, tumezibwa midomo. Hatupo huru kuendesha shughuli zetu zakiuchumi. Rukwa ni moja ya mkoa wa mpakani ila unakosa fursa zakujiendesha kiuchumi, mmekuwa mkitozwa makodi makubwa na haya yote sababu memkosa uhuru.

Watu wanakosa Haki, huko Tabora kuna kodi ya uzazi, sasa sijui haya mambo yanatoka wapi. Haki ni wajibu kwakila mtu lakini Sasa serikali ya Magufuli inatoza mpaka kodi ya Mimba na Uzazi, alafu anasema zaeni tu kumbe ni deal. Sasa ili haki ipatikane basi uchaguzi huu chagueni Chadema tufanye mapinduzi ya haki katika nchi yetu.

Tukichukua nchi tutaiyang'nya TRA kufilisi wafanyabiashara, tutaweka kodi ya haki. Sababu ukifilisi mfanyabiashara, ukifilisi viwanda watu wanakosa ajira na maisha yanakuwa magumu. Magufuli hajui kufanya biashara ndo maana anakimbiza wawekezaji.

Tutafufua reli toka Kaliua mpaka Mpanda alafu Sumbawanga kwenda Tunduma tuunganishe na Tazara ili kufanya urahisi wa usafirishaji wa mahindi yetu, yafike kipindi bado bei ikiwa nzuri nakupunguza gharama za usafirishaji.

Hizi ndege zilizonunuliwa na Magufuli hazina maana yoyote kwetu, ndio ndege nzuri lakini hazina faida kwa Watanzania.

Maendeleo ya watu, Rukwa ndo mkoa unaolima mahindi mengi kuliko mkoa mwingine wowote lakini ukitazama hali ya wananchi wake hali ni mbaya. Basi maendeleo ya watu pamoja nakuinua hali za maisha.

Napenda nimalizie kuhusu hili swala la viongozi wakidini kupewa mashtaka ya ugaidi na serikali ya Magufuli, Kiukweli kumekuwa na uonevu mkubwa sana na kuwanyanyasa watu wanaoishi maeneo ya mipakani. Sasa Chadema ikichukua nchi vitu vya mwanzo kufanya ni kuwaachilia hawa wafungwa wakisiasa ambao wanateseka pasipo makosa.

Serikali ya Chadema itaheshimu taasisi zakidini, na haitaingilia shughuli zakidini kama katiba yetu ilivyoeleza. Serikali yetu itaheshimu kila tasisi bila kuingilia uhuru wao.

Chadema itarudisha madaraka kwa wananchi ili wajiamulie nini wanataka kufanya kwa maendeleo yao.

Mungu awabariki sana.

#njyeye
Uwepo wa Lissu amani imetawala nchini
 
Back
Top Bottom