Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
mabingwa wa mapambio....
Viva Magu...2020 to infinity
Viva Magu...2020 to infinity
Lissu the GREATEST Lissu the GENIUS.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu the GREATEST Lissu the GENIUS.
Labda wafanye wizi wa kura.. saivi watu hawadanganyiki tena mkuu
Ha ha ha ha! Vipofu wanaongozana njiani. Tundu lissu awe Rais wa hii nchi??? Nahamamia congo
[/QUOTE
Kuna mambo huwa hayatarajiwi lkn huwa yanatokea ktk hali ya kushangaza sana.
Walimuua wao wenyewe na nyie mlitaka kumuua piaSasa mbona Marekani huko Rais wa nchi aliuwawa mchana kweupe na mpaka leo hakuna aliyekamatwa.
Nino akino aliuawa mchana kweupe uwanja wa ndege hakuna aliyekamatwa.
Hakuna mtu aliyekuwa immuned na matatizo, binadamu yeyote anaweza patwa na lolote wakati wowote.
Nimekupa mifano hiyo kukuonesha kuwa tukio la lisu sio la kwanza kutokea hapa duniani kuna makubwa zaidi ya hilo na maisha yaliendelea.
Hatuwezi kurudishwa nyuma kila wakati kujadili tukio moja tu miaka yote as if hakuna mengine ya kujadili.
Ni kweli kapigwa risasi pole sana, but we have to move on na kwa sasa tunataka kusikia hoja za namna ya kukwamuana kiuchumi kama Taifa.
Kwa nini mkutano huu hatuupati wote full kwenye YouTube?
Akili za ngamia hizi
Mkuu alisema sasa ruksa kufanya siasa mara tu shughuli za uchaguzi huu zilipoanza; baada ya hapo atafunga tena. Huu ni uhuru wa muda tuAnadai hakuna Uhuru,
mbona yeye alipo hapo anaongea tena anatema mashudu na hakuna anayehangaika nae,
Ni uhuru upi huo Wa Lisu anaouzungumzia??
Mkutano wa dakika 18?