Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Katika Mapokezi ya Tundu Lissu Dodoma na Singida

We jamaa utaugua kichaa sio muda mrefu 😂😂😂
 
Labda wamebebwa na matela ya trekta kama wafanyavyo CCM!🤣🤣🤣
 
Dodoma jiji ambalo halina muda a Lisu anaenda kuadhirika Leo

Dar na Dodoma ni miji nuksi kwake anapoteza muda tu
Vipi Tamasha letu la uwanj wa taifa lilifana au ndio mlikatazwa kupiga picha na drones?
 
Labda wamebebwa na matela ya trekta kama wafanyavyo CCM!🤣🤣🤣
Haina shida kinachotakiwa tu kuwa mkweli kusema hao waliokusanyika hapo ni wana kijiji ni uongo angesema wanakijiji na watoka vijiji vingine na sehemu mbali mbali za Singida walioungana na wana kijiji kumpokea wala isingekuwa kesi .Hiyo nyomi huwezi danganya mzungu wala mwarabu wala mhindi wala mwafrika kuwa hivyo nyomi ni wana kijiji kimoja !!! Uongo
 
Magu alikuwa mwalimu na lugha ya kufundishia somo lake ni kimalkia, PhD alifanya kwa kimalkia hivyo hatukutegemea awe hakiwezi kimalkia! Kwa kimalkia kile kwa vyo vyote vile hakuna mwanafunzi aliyemuelewa! Ndiyo sababu Ben Saanane alitilia shaka PhD yake kwa sababu hakuna professor anayeweza kumwelewa!
 
 
Unaumia vumilia tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…