Shamra shamra zipi hapa Dodoma? Lissu hapa hapati kitu Wagogo hawana mpango naye!Asante sana Kamanda Mtifu Molemo, tumeingia usiku sana hapa na asubui ya leo ni shamra shamra sana hapa Dodoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shamra shamra zipi hapa Dodoma? Lissu hapa hapati kitu Wagogo hawana mpango naye!Asante sana Kamanda Mtifu Molemo, tumeingia usiku sana hapa na asubui ya leo ni shamra shamra sana hapa Dodoma
Mcheki ipg na mambokesho wanavyosimamia zoezi hapo kwa wale waloimba off-key 😂😂😂Propesa Kabundi; wa pili kutoka mwisho, mstari wa kulia. Ana bidii ya kuimba jameni.
Duh hataree sana. Kuna mtu huko Kanuna sana.Ikungi : Singida
View attachment 1596072
Fix hakuna Tanzania nzima kijiji chenye watu wengi hivyo hakipoIkungi : Singida
View attachment 1596072
We jamaa utaugua kichaa sio muda mrefu 😂😂😂Fix hakuna Tanzania nzima kijiji chenye watu wengi hivyo hakipo
Uongo uongo uongo
Pekekeni hiyo picha kudanganya wazungu na wao wanajua iwe ulaya au marekani au afrika hakuna kijiji hata kimoja chaweza kuwa na watu wengi hivyo
Uongo wenu uko wazi mno
Labda wamebebwa na matela ya trekta kama wafanyavyo CCM!🤣🤣🤣Fix hakuna Tanzania nzima kijiji chenye watu wengi hivyo hakipo
Uongo uongo uongo
Pekekeni hiyo picha kudanganya wazungu na wao wanajua iwe ulaya au marekani au afrika hakuna kijiji hata kimoja chaweza kuwa na watu wengi hivyo
Uongo wenu uko wazi mno
Aree vija mnyampaaWajifya mbuyaane.
Mnyampaa Lissu irifo...
Vipi Tamasha letu la uwanj wa taifa lilifana au ndio mlikatazwa kupiga picha na drones?Dodoma jiji ambalo halina muda a Lisu anaenda kuadhirika Leo
Dar na Dodoma ni miji nuksi kwake anapoteza muda tu
Haina shida kinachotakiwa tu kuwa mkweli kusema hao waliokusanyika hapo ni wana kijiji ni uongo angesema wanakijiji na watoka vijiji vingine na sehemu mbali mbali za Singida walioungana na wana kijiji kumpokea wala isingekuwa kesi .Hiyo nyomi huwezi danganya mzungu wala mwarabu wala mhindi wala mwafrika kuwa hivyo nyomi ni wana kijiji kimoja !!! UongoLabda wamebebwa na matela ya trekta kama wafanyavyo CCM!🤣🤣🤣
Embu tueleze ameisaliti vipi hiyo Tanzagiza Mh.Lissu?
View attachment 1596065
Bia Yetu Mke wangu utakufa na kijiba cha roho! Ona mkutano tulivyokuwa imejaa! Nilishakwambia mke wangu Lissu hakamatiki!
Magu alikuwa mwalimu na lugha ya kufundishia somo lake ni kimalkia, PhD alifanya kwa kimalkia hivyo hatukutegemea awe hakiwezi kimalkia! Kwa kimalkia kile kwa vyo vyote vile hakuna mwanafunzi aliyemuelewa! Ndiyo sababu Ben Saanane alitilia shaka PhD yake kwa sababu hakuna professor anayeweza kumwelewa!Kwani alisoma linguistics? PhD holder wa kila nchi duniani ni lazima ajue Kiingereza kwa ufasaha🤔?
Science is not only being capable in English Language, kwahiyo swala la kusema alikuwa anawadanganya wanafunzi sidhani Kama ni sahihi, hichohicho anachokijua kinatosha. Kama utakuwa mbishi nenda high schools tafuta wanafunzi waliotokea shule zisizowaandaa Sana kwenye Kiingereza(yeboyebo😄), afu waangalie uwezo wao kwenye masomo kisha compare na hao wenu mayai wanaomwanga ngeli.
Fix hakuna Tanzania nzima kijiji chenye watu wengi hivyo hakipo
Uongo uongo uongo
Pekekeni hiyo picha kudanganya wazungu na wao wanajua iwe ulaya au marekani au afrika hakuna kijiji hata kimoja chaweza kuwa na watu wengi hivyo
Uongo wenu uko wazi mno
Duh kweli kifo hakina huruma. RIP mkuu!Fix hakuna Tanzania nzima kijiji chenye watu wengi hivyo hakipo
Uongo uongo uongo
Pekekeni hiyo picha kudanganya wazungu na wao wanajua iwe ulaya au marekani au afrika hakuna kijiji hata kimoja chaweza kuwa na watu wengi hivyo
Uongo wenu uko wazi mno
Unaumia vumilia tu.Haina shida kinachotakiwa tu kuwa mkweli kusema hao waliokusanyika hapo ni wana kijiji ni uongo angesema wanakijiji na watoka vijiji vingine na sehemu mbali mbali za Singida walioungana na wana kijiji kumpokea wala isingekuwa kesi .Hiyo nyomi huwezi danganya mzungu wala mwarabu wala mhindi wala mwafrika kuwa hivyo nyomi ni wana kijiji kimoja !!! Uongo
Sasa jidanganyeni vivo hivyo.Fix hakuna Tanzania nzima kijiji chenye watu wengi hivyo hakipo
Masikini na ccm ni sawa na uji na mgonjwaDodoma hana chake pale. Ataambulia aibu tu
Mmejitia dole la mkanduni halaf mnanusa mataga,aliyewaambia mumpige marisasi naniHana jipya kibaraka wa wabelgiji