Sawa lakini ukweli utabaki kuwa ukweli ni chama cha ukoo ambacho kinamtajirisha yeyote aliye Mchaga kama sio Mbowe. Na kibaya zaidi ndie huyu huyu Mbowe alikuja humu na kutaka watu watumie majina yao binafsi kabla ya kujibinafsisha JF kuwa mali yake.Hizo Mbuni dhaifu za kukisingizia Chadema kuwa ni Chama cha Wachaga ni ujinga wa kizamani
Tuko tayari tutawaliwe na Wachaga kuliko kutawaliwa tena na CCM iliyooza.Sawa lakini ukweli utabaki kuwa ukweli ni chama cha ukoo ambacho kinamtajirisha yeyote aliye Mchaga kama sio Mbowe. Na kibaya zaidi ndie huyu huyu Mbowe alikuja humu na kutaka watu watumie majina yao binafsi kabla ya kujibinafsisha JF kuwa mali yake.
Nani atakula Barabara au Ndege hata Ethiopia zipo ila Wananchi wanapakimbia kwa sababu ya njaa
Watanzania sio wajinga.
View attachment 1597172
View attachment 1597174
View attachment 1597176
View attachment 1597177
Hapa Kazi tu!
Sisi tunazitumia kama hupendi jinyonge.Nani atakula Barabara au Ndege hata Ethiopia zipo ila Wananchi wanapakimbia kwa sababu ya njaa
Ninyi ni pasenti kidogo sana sisi tulio wengi hatuwezi kuzipanda kujinyonga hatuwezi ila tunasubiri octoba 28 tuwatimulie mbaliSisi tunazitumia kama hupendi jinyonge.
Endelea kuota ndoto za Abunuwasi. Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeNinyi ni pasenti kidogo sana sisi tulio wengi hatuwezi kuzipanda kujinyonga hatuwezi ila tunasubiri octoba 28 tuwatimulie mbali
Mbona unaPanik?sisi Chadema tukichukua buku sana yako iko palepaleEndelea kuota ndoto za Abunuwasi. Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Wakili ndio anamlipa mteja? Mambo unayoongea na mumeo usiyalete hadharani maana yatakuonyesha ulivyo mjingaEti wakili!! wakili anayetoa matamko kwamba Lissu akishindwa aingize watu barabarani!! Na iweje wakili ndio amlipe mteja wake badala ya mteja kumlipa wakili?? Think big you f.o.o.l
Mwambie Dada Kate aje nimgegede basi,, naona kanamuwashawasha!
Atashuhudia wapi huyo angekuwa anaona na kuelewa asingekuwa hivyo! Mwenzako mda wa mkutano au kucheki video chadema hawezi atajinyonga asubuhi tu. Mbinu anayoitumia ni kujifunika shuka TUNDU anapomwaga vitu!!!! Mwishooooni watu washatembea ndio anaibuka kama ccm wanavyotoa ajira za walimu muda wa kampeni. Miaka yote walikuwa wapiUtashudia mwenyewe
Aisehe ndio maana Dom tuna shida xana za maji!!!! Dodoma sio kame kama msikiavyo sema ma vyama vyama haya yasiyo na .........Mkoa wa wenyeji wasiojitambua, ni kati ya mikoa 3 ambayo haijawahi kuchagua wapinzani kama sijakosea ( Dodoma, Ruvuma na Pwani)
Sema nyinyi familia yenu wewe usidhani wote tu wajingaMsaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania.
Mmeshaanza kuhesabu nyota kama kwenye usiku wa kulala njaaMbona hii ni ile ya kwanza alokuja kutoka uberigiji?
Mmeanza sanaa?
Mtajj wa CCM ni kwa watu walokosa kuelimika mlinyimwa Elimu ili mtawaliwe mpk mwisho wa duniaDodoma hana chake pale. Ataambulia aibu tu.
Arusha na MwanzaWazawa wa wapi matajiri?