Nazgur
JF-Expert Member
- Apr 19, 2020
- 3,729
- 2,851
Leo hakuna picha za nyomi watu kam kokoto?
Mbona makamanda mpo kimya sana au ndo hivyo nabii hakubaliki kwao?
Nimeona sehemu analazimisha wazee waongee wakati wazee wenyewe wanakula pozi zao
Mwambie awarudishe mwamakula na katimba waendeleze tunguri ili apate nyomi
Mbona makamanda mpo kimya sana au ndo hivyo nabii hakubaliki kwao?
Nimeona sehemu analazimisha wazee waongee wakati wazee wenyewe wanakula pozi zao
Mwambie awarudishe mwamakula na katimba waendeleze tunguri ili apate nyomi