Uchaguzi 2020 Yaliyojiri katika mapokezi ya Tundu Lissu leo Oktoba 19 mikoa ya Kilimanjaro na Arusha

Nimependa sana ile kauli ya Campaign Manager wa Lissu ya kwamba “Safari hii watatambaa kwa magoti hadi yageukie nyuma “
Moto ndio kwanza umeanza...

Hivi Lissu aliwezaje kuishi maisha safi bila doa lolote kufikia hivi leo amekuwa tumaini pekee la wazalendo nchi hii? Alijua tokea utotoni akaishi kwa misingi ya uongozi?

Nimetafakari sana, watesi wake wangemmaliza kisiasa endapo angekuwa na hata chembe ya doa.
 
Piga spana kwa Wasaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na Robert tu

Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
 

Huwa natafakari sana hili, kusema kweli anatusumbua sana katika kupanga propaganda za kutumia
 
Ukiwa Lawyer mwenye kujitambua safi sana
 
Baada ya CDM kuingia madarakani sitakuwa na budi ya kufungua account yangu hapa Jf yenye ID ya majina yangu halisi pia yenye picha yangu halisi...maana sitakuwa na hofu ktk nchi ya Uhuru.

Ni wachache ndio tuna uwezo huo, japo mie nimetumia jina la bibi yenu yani mke wangu
 
Hadi naukumbuka muziki wa Dr.Dree...KEEP THEIR HEAD RINGING✌😀
 
Huwa ninawashangaa sana tu Watu fulani fulani wanaojidanganya na kudhani kabisa kuwa Tundu Lissu atakuwa Rais wa Tanzania 2020 hii. Poleni!
 
Live update: Tunamngoja Mgombea wa Chadema - Urais, katika viwanja vya leganga Shuleni.....

Ukitokea Arusha Shuka leganga, hapo hapo upande wa juu ndo kuna mkutano!

Kama una tokea Arusha mda Huu au Baadae kidogo utawahi maana ndo wanafunga vipaza sauti
 

Attachments

  • B38AF624-19BF-4DCE-AACE-6870E85F5287.jpeg
    240.8 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…