Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Kimweli ndio nani?
Haipogo mkuu - ndoto za kimweri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haipogo mkuu - ndoto za kimweri
Kabisa tumeichoka Nchi ya Dotto James, Kheri James, Mayanga na Magufuli. Tunaitaka Tanzania yetu.Tarehe 28 tunakwenda kumalizana na CCM.
Mimi in ccm lakini mwaka huu hapana acha tubadilishe uongozi tuUchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
Leo alisema anafanya Press Conference. Sijui tayari au ameghairiWhere's my brother Ben Membe?
asante mkuu nilikuwa nasubiri kwa ham ntafika bila kukomaLive update: Tunamngoja Mgombea wa Chadema - Urais, katika viwanja vya leganga Shuleni.....
Ukitokea Arusha Shuka leganga, hapo hapo upande wa juu ndo kuna mkutano!
Kama una tokea Arusha mda Huu au Baadae kidogo utawahi maana ndo wanafunga vipaza sauti
Pamoja Sana mkuuMimi in ccm lakini mwaka huu hapana acha tubadilishe uongozi tu
Gaddafi alikuwa wa Iraq, na Saddam Hussein wa Kuwait??Hata 'Gaddafi wa Iraq' na 'Sadam wa Kuwait' alisema hivi hivi!
Mkuu kuna uzi wenu wa JPM kule naona mmemtelekeza ..Hapa tuachie CHADEMAHaipogo mkuu - ndoto za kimweri
CCM wanatamani kumtoa uhaiMkuu Molemo pamoja sana kamanda. yale Mafuriko ya jana pale Karatu imewafanya watu upande wa pili wakate tamaa....Asubuhi hii saa tatu Mh. Rais anayesubiri kuapishwa atazungumza na wana-Karatu mambo makuu mawili.
1. Ilani ya uchaguzi ya CDM [Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu]
2. Elimu kwa mpiga kura na namna ya kujihami na uharamia wowote. Mwaka huu kitaeleweka
Wamepoteana!!!mbona posts za UVfiCM sizionii au ndo bac tenaa. ivi jiwe limepaki wapi vile au ndo kumwaga oil, bac itakuwa babewalke iyo[emoji28][emoji28][emoji28] sizpend
Kawaambie CCM ,haya maneno kuna uzi wenu wa mgombea wenu umetelekezwaUchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
Nadhani hili ni jukwaa la siasa si jukwaa la CDMMkuu kuna uzi wenu wa JPM kule naona mmemtelekeza ..Hapa tuachie CHADEMA
Wewe km mimi..... Na tutamsaidia sana Tundu Lissu kutengeneza nchi ya neema. Hii nchi imabarikiwa sn ila tuna ukoo wa panya kwa miaka 60 ndio shida hii lkn miaka hii mitano tumekua na huyu anayeendesha nchi kifamilia....Baada ya CDM kuingia madarakani sitakuwa na budi ya kufungua account yangu hapa Jf yenye ID ya majina yangu halisi pia yenye picha yangu halisi...maana sitakuwa na hofu ktk nchi ya Uhuru.