Uchaguzi 2020 Yaliyojiri katika mapokezi ya Tundu Lissu leo Oktoba 19 mikoa ya Kilimanjaro na Arusha

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri katika mapokezi ya Tundu Lissu leo Oktoba 19 mikoa ya Kilimanjaro na Arusha

Tutege masikio maana mtikisiko wa leo utafika hadi mitaa ya Lumumba, mitaa ya Kinondoni, mitaa ya Shabaan Robert.

View attachment 1604601
WENYE AKILI TUNAJIULIZA KWANINI HIZI KOMBORA KUBWA KUBWA HIVI KUKUTANISHWA HAI. UKWELI NI KUWA MBOWE NA LISSU WANA HALI MBAYA SANA NA MBOWE AMESHAUPOTEZA UBUNGE WAKE, HALI LISSU YUKO KWENYE MASHINE ZA KUPUMULIA. NDIYO MAANA WANAPELEKA MAOMBI KWA ZITTO, NDIPO ZITTO AKAMDOKEZA MAALIM SEIF, ALIYEMSHAWISHI SHEIKH PONDA, NA WOTE WAMEKUBALIANA KUWA KATIKA HIZI KUMI ZA LALA SALAMA, NI LAZIMA WATIE NGUVU ZA PAMOJA NA KUHAKIKISHA WANANWASAIDIA AKINA LISSU NA MBOWE.
 
Lissu ni mwepesi sana kumshindanisha na JPM sema Chadema walikua hawana machaguo ya kutosha. Uchaguzi huu JPM Kama anashindana peke yake.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nacheka kwa dharau...(christianbella voice] .

Tafuta wimbo wa msaliti anamwimbia demu wake aliyemsaliti.....hivo namwakilisha magu kama bella anamwimbia demu wake Lissu...
 
CCM wajiandaa kumchoma Sindano ya Sumu Raisi ajae Tundu Lissu


Ndugu zangu Watanzania wapenda HAKI na Maendeleo ya WATU tumlindeni Tundu Lissu kwa hali na Mali
 
Mgombea wa Urais CHADEMA Tundu Lissu leo ataendelea na Kampeni zake katika mikoa ya Kanda ya Kaskazini.

Arusha na Kilimanjaro ngome Kuu za CHADEMA tangu mfumo wa vyama vingi uanze wanatarajiwa kufanya mapokezi ya kufuru kwa Mgombea huyo ambaye tathmini zote zinaonyesha atapata ushindi wa zaidi ya asilimia 60%.

Jimbo la Hai anakogombea Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe ni moja ya sehemu atakazotua Tundu Lissu kumnadi Jemadari wa Siasa za Upinzani Tanzania.Ni wiki iliyopita tu Kamanda wa Polisi Hai bila aibu alimropokea Mbowe hadharani kwamba hatashinda ubunge jimboni humo.Wananchi wa Hai walisema Mungu amemuumbua OCD huyo akaropoka hadharani kilichokuwa kimepangwa nyuma ya Pazia.

Katika mkutano wa Hai CHADEMA inatarajiwa kumkaribisha Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Maalim Seif Sharrif Hamad ambaye atapanda Jukwaani kumnadi Mwenyekiti mwemzake ambao ni marafiki wakubwa katika siasa za Tanzania

Pia baada ya kutoka Hai mgombea huyo wa Urais atatua Moshi mjini Jimbo ambalo limekuwa Upinzani kwa miaka 25 sasa

Picha 2 za Mwanzo ni Lissu na Sheikh Ponda wakiwa Mto wa Mbu Monduli

Kwanza Molemo nawapongeza sana mlisikiliza maoni yetu. Kazi nzuri tunaiona na imezaa matunda kweli kweli.

Mungu awabariki.
 
Mto wa mbu
Subpost 5 - Mto wa Mbu Monduli Mpoooooooooh... ( 426 X 640 ).jpg
Subpost 3 - Mto wa Mbu Monduli Mpoooooooooh... ( 426 X 640 ).jpg
Subpost 1 - Mto wa Mbu Monduli Mpoooooooooh... ( 426 X 640 ).jpg
 
WENYE AKILI TUNAJIULIZA KWANINI HIZI KOMBORA KUBWA KUBWA HIVI KUKUTANISHWA HAI. UKWELI NI KUWA MBOWE NA LISSU WANA HALI MBAYA SANA NA MBOWE AMESHAUPOTEZA UBUNGE WAKE, HALI LISSU YUKO KWENYE MASHINE ZA KUPUMULIA. NDIYO MAANA WANAPELEKA MAOMBI KWA ZITTO, NDIPO ZITTO AKAMDOKEZA MAALIM SEIF, ALIYEMSHAWISHI SHEIKH PONDA, NA WOTE WAMEKUBALIANA KUWA KATIKA HIZI KUMI ZA LALA SALAMA, NI LAZIMA WATIE NGUVU ZA PAMOJA NA KUHAKIKISHA WANANWASAIDIA AKINA LISSU NA MBOWE.
Hahhahaa mwaka huu mtaumia sana. Mlidhani wapinzani watagawanyika, sasa hao wanaungana tena hadharani.
EknxBYjWAAISk5b.jpg


Ujio wa ponda hasa tukielekea kampeni za kanda ya kusini na Dar ndio kifo chenu.
 
Back
Top Bottom