Yaliyojiri katika Mkutano Mkuu wa CHADEMA Desemba 18, 2019 katika Ukumbi wa Mlimani City, Dar

Lete mchanganuo wa matumizi ya mil. 326 kwa mwezi! Mbowe na baba mkwe wanatia kibindoni!
Acha ufala wewe lini mtaacha kuvuta Bangi ghato kwa Le mutuz? Mbona mnatia Aibu sana kwani hujuia kwa saa 24 kila siku CCM wapo busy kuwahujumu chadema njama mbalimbali kuwabambikia kesi kuwadhoofisha kuwapiga risasi kuwafanyia kila ubaya ukiwemo wa kwenda kung’oa Bendera, hivi unajua gharama za kujihami na hujuma za CCM ni kiasi gani? Kesi kuwalipa mawakili kuwalipa mishahara watumishi wa chadema gharama za kuendesha chadema ni kiasi gani? Tambua kuwa hakuna chama kinajiendesha kwa shida kama chadema kwani mda mwingi wanautumia kujihami dhidi ya hujuma za CCM
 
Rekebisha hapo kwenye Mwezi Mkuu ,Mungu awatangulie ktk mnayo kwenda kuyafanya leo yawe na Baraka ili kutoa Matokeo mazuri.
Ndugu Ciril, kuna baraka kwenye dhuluma, dhuluma aliyofanyiwa ndugu yetu anayetokea kwetu sote (HANANG), mungu na waumbe wake wameiona. Na bado tunaendelea kubariki uovu. Tanzania hakuna chama chenye uhalali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maneno yako hayana chumvi wala pilipili, bali jamejaa asali na ukweli.
Kama Mwambe sio pandikizi wa Mbowe na wanayofanya sio mazingaumbwe, basi uliyasema yatatikea
Hakuna mtu wa kumtoa Mbowe kwenye kiti anachotaka na baada ya Uchaguzi kumalizika, Mwambe atafukuzwa ndani ya CHADEMA!

Yaliyomkuta Zitto mwaka 2014 yanaenda kumpata Cecil Mwambe! Baada ya Uchaguzi wa ndani aanze kutafuta chama kingine mapema!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema ni shida sana,Chadema ni kivuli cha Mungu wa Mbinguni...tunawategemea Chadema mtupeleke Canaan!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hi miaka baada ya Kikwete, Waislamu Tanzania hakuna Chao, wametengwa wizarani , nafasi nyeti na hata kwenye vyama vya siasa, labda ACT kwa sababu ya nguvu ya waislamu wa Pemba.

Kizuri ni kuwa Waislamu nao ni waungwana, hawalalamiki, haliwaumizi na hawana nia ya jupigania haki zao. Sidhani kama watakuwa na msaada wowote kwenye chama chochote, weshaji sideline wenyewe
hiki chama kitachukua muda sana kushika dola mpaka kitakapowashirikisha waislamu nao,

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Vipi mabalozi wa nchi mbalimbali mbona umewasahau kuwataja na salami zao walizotoa?
 
Ndugu Ciril, kuna baraka kwenye dhuluma, dhuluma aliyofanyiwa ndugu yetu anayetokea kwetu sote (HANANG), mungu na waumbe wake wameiona. Na bado tunaendelea kubariki uovu. Tanzania hakuna chama chenye uhalali

Sent using Jamii Forums mobile app
dhuluma gani ,si alipigiwa kura! ingekuwa dhuluma wasingemsimaisha peke yake!πŸ˜€πŸ˜πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚ simu haionjwi!
 
Hivi TBC kwa nini hawako mubashara maana kodi za wananchi zinaiendeshe

Sent using Jamii Forums mobile app
Walipa kodi wengi siyo CCM lakini TBC hawataki kurusha live mkutano wa chadema, cha ajabu wanarusha live mikutano ya CCM kwa kodi za wananchi ambao wengi ni wapinzani ni matumizi mabaya ya kodi
 
Maguful ana mbinu gani?

Kununua wapinzani?

Kuwaambia wasimamizi wa uchaguzi wasitoe form kwa wagombea wa upinzani?

Kuwaambia wasimamiz wa uchaguzi wasipokee form za wagombea wa upinzani pindi warejeshapo kwa wale waliobahatoka kuchukua?

Kuwaambia wasimamiz wa uchaguzi kuongeza maneno na tiki kwenye maeneo ambayo wagombea wa upinzani hawakuweka ili waonekane walikosea kwa wale wachache waliobahatika kurejesha?

Kuwaambia wasimamiz wa uchaguzi wakimbie ofisi?
Mpaka sasa Chadema umepoteza mwelekeo, haina uhakika hata na kiti kimoja cha udiwani. Anahutajika mtu wa kuivusha Chadema, Mbowe hana jipya, mbinu za Magufuli haziwezi kabisaaaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna mtu wa kumtoa Mbowe kwenye kiti anachotaka na baada ya Uchaguzi kumalizika, Mwambe atafukuzwa ndani ya CHADEMA!

Yaliyomkuta Zitto mwaka 2014 yanaenda kumpata Cecil Mwambe! Baada ya Uchaguzi wa ndani aanze kutafuta chama kingine mapema!
Mwambe ni kama Pamba tu,wala hakuna atakayemfukuza,atajichuja mwenyewe tu

Sent from my SM-A207F using Tapatalk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…