Jaman kama jambo mtu ujui better ukae kimya tu
Silinde yopo na sasa hivi saa tano na dakika 33 yupo humu ndani
Atafute chama kingine wakati mwenyekiti wa CCM ameishamwambia arudi!Hakuna mtu wa kumtoa Mbowe kwenye kiti anachotaka na baada ya Uchaguzi kumalizika, Mwambe atafukuzwa ndani ya CHADEMA!
Yaliyomkuta Zitto mwaka 2014 yanaenda kumpata Cecil Mwambe! Baada ya Uchaguzi wa ndani aanze kutafuta chama kingine mapema!
CCM chama la roho mbaya...Majirani wana shughuli hata kusema habari hakuna aisee
Kwani wewe unashahuriwa au kushahuriana na nani?Ndio toka Slaa ameondoka ulishasikia Mbowe kaenda Marekani au ulaya kukutana na Wafadhili wa Chadema?
Mkuu shukrani sana .Fuatilia hapa live
Hakuna mtu wa kumtoa Mbowe kwenye kiti anachotaka na baada ya Uchaguzi kumalizika, Mwambe atafukuzwa ndani ya CHADEMA!
Yaliyomkuta Zitto mwaka 2014 yanaenda kumpata Cecil Mwambe! Baada ya Uchaguzi wa ndani aanze kutafuta chama kingine mapema!
very strange, mpaka sasa uchaguzi bado? Kuna nini?Modhi mweupe bado tu
Figisu.very strange, mpaka sasa uchaguzi bado? Kuna nini?
Acha kwa uchache kazi zilizofanyika Chato Jana. Hawakuishia kuzindua mahakama bali kulikuwa na kuweka jiwe LA msingi kituo cha zimamoto, jiwe LA msingi LA msikiti na kuzindua kisima cha maji.Askofu Pengo na Sheikh mkuu wao hawajatoa neno au hawajaalikwa?!
Au wako mwanza na chato kupokea ndege na kuzindua mahakama?!
Kwa sababu maendeleo hayana vyama,kwanini magufuli hakuhudhuria mkutano wa CHADEMA? Nimewaona viongozi wa vyama vingine kama Shibuda na Dovutwa, au Magufuli hakupewa mualiko?Acha kwa uchache kazi zilizofanyika Chato Jana. Hawakuishia kuzindua mahakama bali kulikuwa na kuweka jiwe LA msingi kituo cha zimamoto, jiwe LA msingi LA msikiti na kuzindua kisima cha maji.
Hakika Rais ni mchapa kazi sana na kote alikuwa ameambatana na MC wake Job Ndugai Spika wa Bunge.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani nani umeona hapa ni msemaji wa Chadema? Hapa unapewa yanayotokea na kila mtu anatupa atakalo. Subiri msemaji wa Chama atayaeleza maazimio baadae.Toka mlipoanza huu uzi kipi cha maana mmetuambia zaidi ya vinywa vinavyotoa maajabu
Kwa hali ile ya 'tashwishwi' angejikuta yuko taabani kwa chuki na wivu.Kwa sababu maendeleo hayana vyama,kwanini magufuli hakuhudhuria mkutano wa CHADEMA? Nimewaona viongozi wa vyama vingine kama Shibuda na Dovutwa, au Magufuli hakupewa mualiko?
tayari kiongozi..very strange, mpaka sasa uchaguzi bado? Kuna nini?
nimeona Mbowe Lisu kidedea,,,, the expected of course1tayari kiongozi..
Uongo haya TV singizia zimegoma mumeshindwa live streaming online?Kwani nani umeona hapa ni msemaji wa Chadema? Hapa unapewa yanayotokea na kila mtu anatupa atakalo. Subiri msemaji wa Chama atayaeleza maazimio baadae.
Mnakataza/mnatia woga TV stations kuonyesha kila mnakuja kuwalalamikia member wa JF eti hawawapi habari? Hebu mtupishe huko!
Sent using Jamii Forums mobile app