Chadema maskini uchaguzi wa kuswahili tu hakuna mtu.mweupe toka Chama chochote rafiki Duniani aliyekanyaga kwenye mkutano wao.
Mgeni pekee kiongozi wa Chama mjumbe toka nje ya nchi Ni wa Chama cha FNL Cha Burundi.Diplomasia ya kimataifa Chadema Ni zero Kama division zero aliyopata Mbowe form six
Slaa ndie alikuwa gwiji la diplomasia ya kimataifa Chadema.
Chadema inatia huruma sio siri
Akina Lisu na kuzurura kote nje hamna kitu
Sisi tumewahi kufanya huo uchaguzi mdogo wa mwenyekiti?Uchaguzi tu mdogo wa Mwenyekiti mnakesha usiku kucha chadema hopeless
Wataalamu wa takwimu tusaidieni kuhakiki hizi takwimu.
Chadema uchaguzi mkuu wa 2015 mgombea wao Lowasa alipata kura milioni sita
Sasa hivi chadema wanajitapa kuwa Wana wanachama milioni sita.Idadi sawa na waliopiga kura mgombea uraisi wao
Kwenye kupiga kura tunajua kuwa wako wanaokupigia ambao hawana Chama chochote au wa Chama kingine kumpenda mgombea wako
Iweje kura alizopigiwa mgombea uraisi ziwe sawa sawa na idadi ya wanachama wa Chadema Kuna ukweli hapo au fix tu za Chadema?
Kitendawili Popo mbili za vuka mto?yani mkuu kama hujawajuwa chadema wanafix za kufa mtu na ni waongo halafu wasahaulifu wanadanganya halafu wanasahau wanakuja kuropoka hovyo hawapo makini hawawezi kuongoza nchi kwa mbwembwe hizo
inamake sense kwa sababu siyo wote waliopiga kura ndiyo maana kunabaki na balance ya wanachama milioni 8 sasa hawa wasanii wenu sasa hivi yaani mwaka huu ndiyo wana wanachama mil. 6 sasa kipindi kile walizipata wapi kura mil 6 na kwa maana hiyo wanachama wote walipiga kura? huo ni utapeli wa kiwango cha lami chadema bado sana wakacheze tu michezo ya kitoto ukubwani hawajafikaKwani unaumia CHADEMA kuwa na wanachama milioni 6?
inamake sense kwa sababu siyo wote waliopiga kura ndiyo maana kunabaki na balance ya wanachama milioni 8 sasa hawa wasanii wenu sasa hivi yaani mwaka huu ndiyo wana wanachama mil. 6 sasa kipindi kile walizipata wapi kura mil 6 na kwa maana hiyo wanachama wote walipiga kura? huo ni utapeli wa kiwango cha lami chadema bado sana wakacheze tu michezo ya kitoto ukubwani hawajafikaCCM uchaguzi mkuu walipata kura 7M kama sijasahau, lakini leo hii wanajitapa kua wana wanachama million 15. Vipi ina make sense?
Sent using Jamii Forums mobile app
inamake sense kwa sababu siyo wote waliopiga kura ndiyo maana kunabaki na balance ya wanachama milioni 8 sasa hawa wasanii wenu sasa hivi yaani mwaka huu ndiyo wana wanachama mil. 6 sasa kipindi kile walizipata wapi kura mil 6 na kwa maana hiyo wanachama wote walipiga kura? huo ni utapeli wa kiwango cha lami chadema bado sana wakacheze tu michezo ya kitoto ukubwani hawajafika