na kweliHuko mbali Kamanda.Tunataka Katiba mpya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na kweliHuko mbali Kamanda.Tunataka Katiba mpya.
Anatokea mahabusu huyo,labda kafokewa usiku kuchaAna hasira leo hadi nimehisi hajanywa chai labda
Hahaha....Na sisi tupo hapa nje tunamsubiri Urio, akitoka humu akatueleze vizuri kambini.
Ana hasira za kupasua tofali kwa vidoleLeo nimechelewa vipi Urio anasemaje
Hata wafanyejeHapo wanamleta Shahidi ijumaa akikutana na mbilinge za mawakili wa utetezi wanaendakumsuka weekend ili jumatatu afuate script vizur,
Hata aje SirroLijenje sasa atakuja...
Nahisi atakuwa yule aliyetoweka ghafla walipokamatwa wale wawili Rau Madukani ambaye hafuatiliwi sana kujua alitowekaje wakati wakamataji waliweka mtego wa kuwanasa wote watatu.Huyu ndiye 'informer' tuliyeaminishwa na kumsubiri kwa mbwembwe na shauku au kuna mwingine?
0⁰ hana jipya.... yule hawatamleta.Hata aje Sirro
Mh.Judge anatakiwa kuzingatia HAKI,kuna watu wapo mahabusu kwa muda mrefu sasa.Upande wa mashtaka wanaonekana hawapo serious.Habari Wakuu,
Leo 01/ 02/ 2022 shahidi wa 12 Denis Urio amemaliza kutoa ushahidi wake kwenye kesi inayomkabili Mbowe na wenzake 3.
Kujua Kesi ilipoishia fungua kiungo hiki: Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake. Shahidi wa 12 Luteni Denis Urio kuendelea kutoa ushahidi Februari 01, 2022
UPDATES
Wewe mwenye uwezo leta yako tusome.Huna uwezo wa kuchakata taarifa yoyote- unajisomea tu yanaingia yanatoka
Bila shaka mkuu. Huyu ndiye anayefuata. Kama si yeye ni inspector Swila. Wacha tuone.Lijenje sasa atakuja...
Acha ibaki hivyo hivyo!Mh.Judge anatakiwa kuzingatia HAKI,kuna watu wapo mahabusu kwa muda mrefu sasa.Upande wa mashtaka wanaonekana hawapo serious.
Hivi Luteni Urio atarejea kambini leo?Habari Wakuu,
Leo 01/ 02/ 2022 shahidi wa 12 Denis Urio amemaliza kutoa ushahidi wake kwenye kesi inayomkabili Mbowe na wenzake 3.
Kujua Kesi ilipoishia fungua kiungo hiki: Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake. Shahidi wa 12 Luteni Denis Urio kuendelea kutoa ushahidi Februari 01, 2022
UPDATES
04:00 Jaji ameingia ...