Yaliyojiri kesi ya Mbowe 01/02/2022. Luteni Denis Urio amaliza kutoa ushahidi wake. Shahidi wa 13 kuanza 04/02/2022

Yaliyojiri kesi ya Mbowe 01/02/2022. Luteni Denis Urio amaliza kutoa ushahidi wake. Shahidi wa 13 kuanza 04/02/2022

Kwan mkuu urio amekuja kutoa ushahidi wa kesi au amekuja kuthibitisha kuwa mbowe Ni gaidi?? Heb nijib hapa kwanza
Ushahidi maana yake ni nini?

Nyie ndiyo ambao Mr. Polepole anawaita wahuni amlibaki ndani ya chama chetu - tutafukiza kuni mbichi mtatoka tu.
 
Ndiyo kazi ninayo fanya- kuwatahadharisha watu kuwa hizi updates
zimehaririwa kujenga taswira kuwa
1. Mbowe ameonewa
2. serikali haina ushahidi
3.polisi ni wajinga
4. mawakili waserikali hawajui
5. mahakama zinaupendeleo au zimebanwa na dola
Fool, ilete ya kwako nyambafu
 
Na sisi tupo hapa nje tunamsubiri Urio, akitoka humu akatueleze vizuri kambini.
Huyo boya ni intake ya 16 na kwa ujinga wake itakuwa wale wa kunduchi kwa colonel Malya na sio Mafinga kwa colonel Mtonga.

Kifupi jamaa kaliaibisha jeshi na hasa 92KJ.

Yeye alitakiwa kuwamwaga police Ili aungane na wenzake.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] URIO haamini alichokutana nacho yaan mweeeeh.

Ataabika zaidi Upande wa Utetezi utakapo leta Ushahidi wake Maana hata Baba Ake Mdogo John Urio Kamkataa, Mama Ake Kamkataa, Mtoto kamkataa kama alipelekwa hata mke wake alivyo hangaika kuitoa Gari kakataa, Sasa Ushahidi ukija ndio atajua hajui

Kaambiwa anakuwa chini ya ulinzi kila siku kakataa.

Yaani Urio leo amekuwa na Makasiriko baada ya kupigwa maswali ya maana.
 
Ushahidi maana yake ni nini?

Nyie ndiyo ambao Mr. Polepole anawaita wahuni amlibaki ndani ya chama chetu - tutafukiza kuni mbichi mtatoka tu.
Mkuu umeelewa nlichouliza au umejib usichoulizwa?? Usijib Kama hujaelewa mkuu,
Kataawahuni
 
Mawakili wa Serikali wanaanda Mashahidi mpaka wawatengeneze. Sasa wanajua kesi ni kila siku ipo kwanini Mashahidi hawawi tayari muda wowote? Na Jaji Anawachekea tuuu

Yaani siku 2 kutafuta Mashahidi na Walikuwa Wameorodheshwa. Ni ajabu
 
Hivi majibu ya sijui najua Jaji anachukua lipi? Shahidi huyu ambae anaonekana ndie msingi wa kesi hii kajitahidi ila udhubiti wa ugaidi bado haujajengeka vema kabda watakapoletwa wengine naona kazi upo kudhibitisha ugaidi.

Huyu shahidi sijui ajira yake jeshini itakuwaje kama ipo bado. Ni ngumu sana Jeshi la wananchi kuingizwa kwenye kesi za kisiasa. Lakini this TZ you never know.
 
We jamaa ni bonge la mbumbumbu yaani mpk sisi tusiojua chochote kuhusu sheria tumeanza kupata mwanga lkn ww umeashupaza shingo utadhani unafuatilia hii kesi peke yako.
Asante mkuu, nakubaliana nawe kabisa ila tunza hiki ulichokiandika kunasiku kitakusaidia huko mbele, huwezi kujua ya Mungu mengi
 
1. Komandoo aliyepelekewa mtoto aliyezaliwa Mafichoni alikozuiliwa na wasiojulikana
2. Mama yake aliyeenda kumwangalia mwanaye Urio mafichoni alikoshikiliwa.
3.Mke wake aliyeenda kuchukua gari lao Rav 4. Huko mafichoni ilikokuwa.
4. Paroko alikokuwa anasali Urio.

Maneno haya hayajajitokeza kizimbani kwa bahati Mbaya ....... Mungu funua kila kilichoko uvunguni
Bahati mbaya akina Kibatala hawajui huyo Shahidi Hana mshahara tangu October 2020.

Wamuulize hiyo maana tunamuonea huruma
 
Ataabika zaidi Upande wa Utetezi utakapo leta Ushahidi wake Maana hata Baba Ake Mdogo John Urio Kamkataa, Mama Ake Kamkataa, Mtoto kamkataa kama alipelekwa hata mke wake alivyo hangaika kuitoa Gari kakataa, Sasa Ushahidi ukija ndio atajua hajui

Kaambiwa anakuwa chini ya ulinzi kila siku kakataa.

Yaani Urio leo amekuwa na Makasiriko baada ya kupigwa maswali ya maana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan patamu hapo lol.
 
Ninamuona urio the best witness, maana Kwanza ameitendea haki taaluma yake Ni komando kwel kwel, amekwepa mitego karib yote na witness wake hata mm binafsi imenisaidia kujua kuwa kumbe hii kesi haikukosewa, ilikuwa Ni lazima maana hakuna mtu ambae yupo juu ya sheria...

Yaani hapo ndio unaona umecheza mind games kishenzi, tunataka Mbowe afungwe kama Sabaya maana tunajua tofauti ya haya mambo.
 
We jamaa ni bonge la mbumbumbu yaani mpk sisi tusiojua chochote kuhusu sheria tumeanza kupata mwanga lkn ww umeashupaza shingo utadhani unafuatilia hii kesi peke yako.
Analeta ushabiki kwenye vitu vikivyo wazi
 
Ninamuona urio the best witness, maana Kwanza ameitendea haki taaluma yake Ni komando kwel kwel, amekwepa mitego karib yote na witness wake hata mm binafsi imenisaidia kujua kuwa kumbe hii kesi haikukosewa, ilikuwa Ni lazima maana hakuna mtu ambae yupo juu ya sheria...
Kwahiyo kuwasiliana na mtu ni kosa? Hayo mawasiliano ni wapi yameonyesha nia ya kutenda ugaidi?
 
Ohooo mkuu umejib vyema, naomba uelewe na ufungue uelewa kuw Hawa woteee yaan sabaya na mbowe walikuwa wanagombania nafsi yake, sabaya aliletwa for a mission, na mbowe alikuwa ana intercept mission, baada ya pande zote mbili kupambana sabaya akawini, mbowe akasema sawa huku umenishinda na je upande mwingine,?? Nakuhakikishia angekuwepo JPM kusingekuwa na kesi ya Mbowe Wala ya sabaya, ndo maana naita niza kisiasa mkuu
Shetani. Tushukuru COVID-19
 
We jamaa ni bonge la mbumbumbu yaani mpk sisi tusiojua chochote kuhusu sheria tumeanza kupata mwanga lkn ww umeashupaza shingo utadhani unafuatilia hii kesi peke yako.

Huyu Poyoyo ni mmoja wa waliotunga hii kesi ya kipuuzi , na mwingine anajiita mjingamimi. Wanatetea huu upuuzi katika hali ya kupotosha ukweli.
 
Shahidi kàambiwa na mawakili wake ukiona unaulizwa maswali magumu fanya mambo mawili;

1. Kasirika halafu foka na ikibidi cheka kicheko cha ''kama mwehu" hivi..
Hahahahah naona kama unasema kinyume chake- ona Mh. Kibatala alivyochanganikiwa

Kibatala: Unafahamu Tundu Lissu alishambuliwa kwa risasi kwenye viwanja vya bunge ?

Shahidi: Sifahamu.
 
Ohooo mkuu umejib vyema, naomba uelewe na ufungue uelewa kuw Hawa woteee yaan sabaya na mbowe walikuwa wanagombania nafsi yake, sabaya aliletwa for a mission, na mbowe alikuwa ana intercept mission, baada ya pande zote mbili kupambana sabaya akawini, mbowe akasema sawa huku umenishinda na je upande mwingine,?? Nakuhakikishia angekuwepo JPM kusingekuwa na kesi ya Mbowe Wala ya sabaya, ndo maana naita niza kisiasa mkuu
Ona sasa kumbe kuna ushahidi Mzito hivi unao halafu hukujitokeza kutoa kwa wapelele. Hasa hapo ulipoona Mbowe anamuambia Sabaya kuwa " Huku umeshinda na je Upande Mwingine?"
 
Back
Top Bottom