Ushahidi maana yake ni nini?Kwan mkuu urio amekuja kutoa ushahidi wa kesi au amekuja kuthibitisha kuwa mbowe Ni gaidi?? Heb nijib hapa kwanza
Fool, ilete ya kwako nyambafuNdiyo kazi ninayo fanya- kuwatahadharisha watu kuwa hizi updates
zimehaririwa kujenga taswira kuwa
1. Mbowe ameonewa
2. serikali haina ushahidi
3.polisi ni wajinga
4. mawakili waserikali hawajui
5. mahakama zinaupendeleo au zimebanwa na dola
Huyo boya ni intake ya 16 na kwa ujinga wake itakuwa wale wa kunduchi kwa colonel Malya na sio Mafinga kwa colonel Mtonga.Na sisi tupo hapa nje tunamsubiri Urio, akitoka humu akatueleze vizuri kambini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] URIO haamini alichokutana nacho yaan mweeeeh.
Mkuu umeelewa nlichouliza au umejib usichoulizwa?? Usijib Kama hujaelewa mkuu,Ushahidi maana yake ni nini?
Nyie ndiyo ambao Mr. Polepole anawaita wahuni amlibaki ndani ya chama chetu - tutafukiza kuni mbichi mtatoka tu.
Hawa jamaa ni WA kuwasamehe tu.[emoji848]View attachment 2103903
Asante mkuu, nakubaliana nawe kabisa ila tunza hiki ulichokiandika kunasiku kitakusaidia huko mbele, huwezi kujua ya Mungu mengiWe jamaa ni bonge la mbumbumbu yaani mpk sisi tusiojua chochote kuhusu sheria tumeanza kupata mwanga lkn ww umeashupaza shingo utadhani unafuatilia hii kesi peke yako.
Bahati mbaya akina Kibatala hawajui huyo Shahidi Hana mshahara tangu October 2020.1. Komandoo aliyepelekewa mtoto aliyezaliwa Mafichoni alikozuiliwa na wasiojulikana
2. Mama yake aliyeenda kumwangalia mwanaye Urio mafichoni alikoshikiliwa.
3.Mke wake aliyeenda kuchukua gari lao Rav 4. Huko mafichoni ilikokuwa.
4. Paroko alikokuwa anasali Urio.
Maneno haya hayajajitokeza kizimbani kwa bahati Mbaya ....... Mungu funua kila kilichoko uvunguni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan patamu hapo lol.Ataabika zaidi Upande wa Utetezi utakapo leta Ushahidi wake Maana hata Baba Ake Mdogo John Urio Kamkataa, Mama Ake Kamkataa, Mtoto kamkataa kama alipelekwa hata mke wake alivyo hangaika kuitoa Gari kakataa, Sasa Ushahidi ukija ndio atajua hajui
Kaambiwa anakuwa chini ya ulinzi kila siku kakataa.
Yaani Urio leo amekuwa na Makasiriko baada ya kupigwa maswali ya maana.
Ninamuona urio the best witness, maana Kwanza ameitendea haki taaluma yake Ni komando kwel kwel, amekwepa mitego karib yote na witness wake hata mm binafsi imenisaidia kujua kuwa kumbe hii kesi haikukosewa, ilikuwa Ni lazima maana hakuna mtu ambae yupo juu ya sheria...
Analeta ushabiki kwenye vitu vikivyo waziWe jamaa ni bonge la mbumbumbu yaani mpk sisi tusiojua chochote kuhusu sheria tumeanza kupata mwanga lkn ww umeashupaza shingo utadhani unafuatilia hii kesi peke yako.
Kwahiyo kuwasiliana na mtu ni kosa? Hayo mawasiliano ni wapi yameonyesha nia ya kutenda ugaidi?Ninamuona urio the best witness, maana Kwanza ameitendea haki taaluma yake Ni komando kwel kwel, amekwepa mitego karib yote na witness wake hata mm binafsi imenisaidia kujua kuwa kumbe hii kesi haikukosewa, ilikuwa Ni lazima maana hakuna mtu ambae yupo juu ya sheria...
Mkuu urio karb 95% ya alichokutana nacho alikuwa anakijua zaidi ya alivyo kieleza, na ndo maana ktk re- examination, Wala hakuuliza maswal mengi, ndo ujue Sasa sheria Ni tactics and technical.. Ni Kama kibatala ameingia Cha kike bila kujua
Shetani. Tushukuru COVID-19Ohooo mkuu umejib vyema, naomba uelewe na ufungue uelewa kuw Hawa woteee yaan sabaya na mbowe walikuwa wanagombania nafsi yake, sabaya aliletwa for a mission, na mbowe alikuwa ana intercept mission, baada ya pande zote mbili kupambana sabaya akawini, mbowe akasema sawa huku umenishinda na je upande mwingine,?? Nakuhakikishia angekuwepo JPM kusingekuwa na kesi ya Mbowe Wala ya sabaya, ndo maana naita niza kisiasa mkuu
We jamaa ni bonge la mbumbumbu yaani mpk sisi tusiojua chochote kuhusu sheria tumeanza kupata mwanga lkn ww umeashupaza shingo utadhani unafuatilia hii kesi peke yako.
Hahahahah naona kama unasema kinyume chake- ona Mh. Kibatala alivyochanganikiwaShahidi kàambiwa na mawakili wake ukiona unaulizwa maswali magumu fanya mambo mawili;
1. Kasirika halafu foka na ikibidi cheka kicheko cha ''kama mwehu" hivi..
Ona sasa kumbe kuna ushahidi Mzito hivi unao halafu hukujitokeza kutoa kwa wapelele. Hasa hapo ulipoona Mbowe anamuambia Sabaya kuwa " Huku umeshinda na je Upande Mwingine?"Ohooo mkuu umejib vyema, naomba uelewe na ufungue uelewa kuw Hawa woteee yaan sabaya na mbowe walikuwa wanagombania nafsi yake, sabaya aliletwa for a mission, na mbowe alikuwa ana intercept mission, baada ya pande zote mbili kupambana sabaya akawini, mbowe akasema sawa huku umenishinda na je upande mwingine,?? Nakuhakikishia angekuwepo JPM kusingekuwa na kesi ya Mbowe Wala ya sabaya, ndo maana naita niza kisiasa mkuu
Exactly. This is a commendable job.Asante Sana Suley. Hongera kwa kazi nzuri. Tuko tayari kusikiliza