Halaiser JF-Expert Member Joined Apr 3, 2014 Posts 4,230 Reaction score 6,653 Nov 6, 2021 #241 Pua ya zege said: Mkuu unashangaa fagio kugeuzwa mwiko wakati ugaidi wooote mpaka wa kukata miti ulikuwa unategemea bastora hiyohiyo moja na risasi 3 Click to expand... Hivi kweli IGP anafuatilia sakata hili na anaona ni poa tuu? Au nae ni miongoni mwa wale form four failure???
Pua ya zege said: Mkuu unashangaa fagio kugeuzwa mwiko wakati ugaidi wooote mpaka wa kukata miti ulikuwa unategemea bastora hiyohiyo moja na risasi 3 Click to expand... Hivi kweli IGP anafuatilia sakata hili na anaona ni poa tuu? Au nae ni miongoni mwa wale form four failure???
J Jorojik JF-Expert Member Joined Dec 21, 2012 Posts 6,512 Reaction score 7,912 Nov 6, 2021 #242 wa kupuliza said: Kuna ule msikiti wake aliujenga Kule Moro waislam wamegoma kuutumia mpk leo,wanasema Ni haramu. Click to expand... Ile rangi kwanza haikubaliki kabisa Kwa msikiti takatifu......rangi yà njano na kijani! Imagine! Waliogomea wapo sahihi sana
wa kupuliza said: Kuna ule msikiti wake aliujenga Kule Moro waislam wamegoma kuutumia mpk leo,wanasema Ni haramu. Click to expand... Ile rangi kwanza haikubaliki kabisa Kwa msikiti takatifu......rangi yà njano na kijani! Imagine! Waliogomea wapo sahihi sana