BestOfMyKind
JF-Expert Member
- Apr 26, 2012
- 1,350
- 1,464
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupitia yale mahojiano yake na Salim Kikeke, bila shaka huyo Kiongozi wa upinzani anachosubiria ni kifungo tu.Sitaki kuamini kama mama yenu hangaya amedhamilia kumfunga kiongozi wa chama kikuu cha upinzani, hata kwa mwenendo wa jaji naona giza mbele
Jana ilikuwa michosho.Ya Leo tamu , tofauti na ya Jana ilikuwa Mbaya sana
Hapa maza alichemka, anaipa Mahakama wakati mgumu sana kusimamia hii kesi, ndiyo maana jaji wa kwanza akajitoa, kumhukumu mtu asiye na hatia ni kazi kubwa mno ndani ya nafsi ya mwanadamu.Kupitia yake mahojiano yake na Salim Kikeke, bila shaka huyo Kiongozi wa upinzani anachosubiria ni kifungo tu.
Maana aliiaminisha dunia ya kwamba "watuhumiwa wenzake" tayari wamesha hukumiwa na tayari kwa sasa wanatumikia vifungo vyao katika magereza mbalimbali nchini!
Sasa cha kujiuliza na hawa akina Adamoo wanao endelea na kesi sijui wapo kwenye kundi gani! 🤔
Shahdi wa Airtel kagoma, labla mjaribu huyo wa Hallotel anaweza kukubali.Shahidi: Alikutwa pia na simu, Na Line za Simu, Airtel na Hallotel,
Endelea kula nyama mtori utaukuta chiniUzi umekuja kwa kuchelea sana leo
Jana ilikuwa michosho hata kusoma haivutii yanijana ilikuwa michosho.
Ana watoto karibu kila mkoa na wengi kazaa na maWP au wake za watu. Asilimia kubwa kawaingiza Polisi.Huyu Mahita alikuwa kitombi sana enzi zake...
Ni kweli kabisa...Hapa maza alichemka, anaipa Mahakama wakati mgumu sana kusimamia hii kesi, ndiyo maana jaji wa kwanza akajitoa, kumhukumu mtu asiye na hatia ni kazi kubwa mno ndani ya nafsi ya mwanadamu.
Afu msikitini hakosi swala tano....Ana watoto karibu kila mkoa na wengi kazaa na maWP au wake za watu. Asilimia kubwa kawaingiza Polisi.
Mahita, IGP mstaafuMahita baba ama mtoto ?
Form 45 siifahamu lakini najua hujazwa maelezo.....huyu shahidi mhhhBaada ya jana kuahirishwa, Kesi ya mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe inaendelea kuunguruma leo mahakamani. Jana Mrakibu Mwandamizi wa Jeshi la Polisi, Sebastian Madembwe alitoa ushahidi wake. Jaji aliahirisha mpaka leo. Kuwa nami.
=======
Jaji ameingia Mahakamani Kesi namba 16 ya Mwaka 2021
Kuna ule msikiti wake aliujenga Kule Moro waislam wamegoma kuutumia mpk leo,wanasema Ni haramu.Afu msikitini hakosi swala tano....
Kama mwendazake na siti za mbele kanisani....