Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Watu hawataki kumfanyia dhihaka Maulana...Kuna ule msikiti wake aliujenga Kule Moro waislam wamegoma kuutumia mpk leo,wanasema Ni haramu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu hawataki kumfanyia dhihaka Maulana...Kuna ule msikiti wake aliujenga Kule Moro waislam wamegoma kuutumia mpk leo,wanasema Ni haramu.
Hapo umeona nani kakanwa?View attachment 1999377kuna vitu vitatu havifichiki daima jua,mwezi na ukweli shahidi wako umemuandaa mwenyewe unakuja kumkana mchana kweupe ogopa sana viapo vya kumtaja Mungu,Mungu anakupa unachoomba.
Sana sana. Shahidi anajichanganya ile mbaya.Uzi umekuja kwa kuchelea sana leo
Hapo umeona nani kakanwa?
Eti hajui chochote kuhusu sheria inayo husiana na mambo ya upekuzi! Askari Mpelelezi mwenye shahada ya sheria!Sana sana. Shahidi anajichanganya ile mbaya.
Hii kesi ni ya kipuuzi sana! Anaambiwa awataje hao Viongozi wa serikali, anaishia tu kumtaja mhalifu ambaye yuko jela akitumikia kifungo cha miaka 30! Huku akiwa na kesi nyingine mahakamani!.....kwahiyo Mbowe alitaka kuhujumu VIONGOZI wa Serikali ambao ni Sabaya pekee!!
Takbiirrrrr….!Kuna ule msikiti wake aliujenga Kule Moro waislam wamegoma kuutumia mpk leo,wanasema Ni haramu.