Yaliyojiri kesi ya Mbowe leo Novemba 05, 2021: Inspector Mahita Mohamed atoa ushahidi

Jiwe alikuwa raisi mshamba kuwahi kutokea. Hii yote sababu hakupenda kukosolewa na kuamua kumtesa Mbowe.
Ni wewe ni mtu mpumbavu sana ambaye unaamini kuwa Mbowe hapaswi kupimwa mahakamani, hata hivyo mpaka umauti unamfika huyo jiwe kuu la pembeni Mbowe alikuwepo uraiani.
 
That’s your interpretation which is different from my interpretation. They are LIARS trying their level best to tell lies to help this illegal government on their FAKE against Mbowe.

 
Hahaha aMahita hataki kuumiza kichwa kabisa, saafi kabisa hii kesi ni ya kipuuuzi mno mno
 
Degree ya kudesa, hajaonyesha uwezo wa hiyo degree acha kushobokea degree we mshamba.
Wewe na ujanja wako wote unaishia kufanya weighs za hoja mtandaoni nilitegemea kuwa ungekuwa ndio jaji basi, Pathetic.
 
Ni wewe ni mtu mpumbavu sana ambaye unaamini kuwa Mbowe hapaswi kupimwa mahakamani, hata hivyo mpaka umauti unamfika huyo jiwe kuu la pembeni Mbowe alikuwepo uraiani.
Akili yako haina akili.
Kesi iliandaliwa na Magufuli na akina ADEMOO waliwekwa jela na Mwendawazimu yule. Kesi ya zamani hii watu wapo jela zaidi ya mwaka sasa .
 
Mwambie huyo anajifanya hajui uhalifu mkubwa unaotendwa na polisiccm nchini kiasi cha kuchukiwa na asilimia kubwa ya Watanzania nchini kote.

police wa bongo hata kama ana phd kichwani huwa ziro kabisa
 
Ana ushahidi wa kubambikia meno wakati hakuwepo kwenye tukio,
Ila hana ushahidi wakusimamishwa wakati yupo kwenye mfumo wa jeshi.
Ana digirii ya sheria
 
Kulikua na kipindi cha tv cha vioja mahakamani huko Kenya, kulikua na vichekesho sana! Japo kwa sasa hakipo tena ila shukurani kwa sasa tunakipata live hapa hapa kwetu Tanzania kupitia kesi hii.
Wewe ni mimi kabisa aisee yaan kama leo hivi VIOJA ni zaidi ya Alexander na si ni mimi wewe ni Alender ndio ni mimi mhhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…