Miss Madeko
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 4,364
- 5,609
Kwa leo nilichogundua kwenye hii kesi ni hivi ilindiwa jopo na Sabaya akishirikina na Mwendazake ili kumkomoa Mbowe baada ya kuona hana namna ingine baada ya ile ya kumuua Akwelina kuvumba. Jiulize Sabaya analukuki ya matukio na huyo Jnne ndio alimwekea mzee mstaafu meno ya tembo imaging yule mzee aliongea kwa huzuni sana, hivi leo Mahita kichwa kubwa anaulizwa kama alifahamu au intelijensia ilikuwa na taarifa za uhalifu wa sabaya uliofanyikia katika mkoa wake hajui ila ya mkoa mwingine anajua haya maajabu yako Tanzania tuu.Ni kweli kabisa...
Japo ktk mazingira fulani Mungu huruhusu wachache wasio na hatia waumie kwa ajili ya wokovu wa wengi...
Mfano ni Yesu Kristo na upande wa pili Yuda Iskariote akiwa kama facilitator wa mpango bila yeye kujua...
Hapa "maza" ni Yuda Iskariote pasipo kujua akishirikiana na wenzake ana - facilitate hukumu ya watu wasio na hatia...
Yuda Iskariote aliingiwa na pepo (demon) la usaliti lililo facilitate hukumu ya kifo isiyo haki ya Yesu Kristo...
Lilipomaliza zamu yake, likampisha pepo (demon) la mauti/kifo na likaenda kummaliza kwa kujinyonga mwenyewe huku akitamka maneno haya, "OLE WANGUliz MIMI MAANA NIMEISALITI DAMU ISIYO NA HATIA...!!
"Maza" na wenzake vipande 30 vya fedha [Samia na wenzake ni madaraka] yamepofusha fahamu zao]. Hakika kama hawajifunzi kutokana na tukio la Yesu Kristo na Yuda Iskariote na wakaendelea na mpango wao huu muovu, HAKIKA WATAKUFA KIFO KIBAYA NA CHA AIBU KWAO NA VIZAZI VYAO VYOTE....!!!
Na siwezi kujua kwanini mama Samia haioni aibu na kuachia hii kesi tena bila masharti na kumlipa Mbowe muda aliomweka huko magereza hii aibu haitafutika kwenye utawala wake kamwe kamwe,