Yaliyojiri Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi - 27/09/2021

Yaliyojiri Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi - 27/09/2021

Kesi ndogo inayofuata Ni kingai na mahita kuiba pesa za watuhumiwa.
Adamoo 260000
Mohamedi 300000
Shaidi wa tatu 40000
Jumla 600000.Kibatala ninekuelewa dawa yao ndiyo hiyo kuwa shahidi anageuka kuwa mtuhumiwa.

Sasa hapo tutaona Kama tuna mahakama za kutoa haki au kuna vijiwe ili watu waanze kutafuta haki kwa staili nyingine.
Makamanda wa Siro wamevagaa
 
WS anafanya kejeli za kijinga eti oh wewe komando huwezi vunjika
Swali Kama hili linàsaidia Nini katika kujenga hoja yake? may be akisema.siwezi vunjika implication yake Ni kuwa huyu hajui anachosema maana hata chuma kinavunjika/bend depending on forces applied
 
Sorry, unadhani inaweza kuleta sura gani mpya labda?

1. Ni kama tu Jeshi litakanusha maelezo ya washitakiwa [makomandoo] ya sababu za kuondolewa jeshini na waka - concur na sababu za upande wa mashitaka (Jamhuri)..

2. Hata hivyo, lipo moja linaweza kumfunga na kumletea utata mwajiri [JWTZ] wa kina Adamoo na wenzake iwapo atakataa sababu walizozitoa na kuja na zake wasizojua wao, ni kujibu swali hili kwa usahihi: Waliondolewaje kazini/jeshini? Taraibu za kisheria za ku - fire, hire and suspend za utumishi majeshini zilifuatwa...?

3. Hopefully, JWTZ hawataweza kushiriki ujinga na uhayawani huu Wa wanasiasa...!
 
Nisaidie na Mimi Nini kilitokea.....
Katika hilo kulikuwa na mgogoro katika maelezo ya shahidi, Huku Jaji akiomba ufafanuzi kwa mawakili both side kipi aandike katika hayo maelezo ya shahidi, akashauri wakae wajadiliane..

After that Judge akapata cha kuandika.

For more updates mkuu zama twita. IAMMARTIN yupo anasongesha.
 
Hicho kituo Ogopa sana,ukipita pale kwanza ni mgeni huwezi kujua kama kuna kituo cha Polisi na hata kama unajua utashangaa kuona kituo hakina harakati nyingi kama vituo vingine,kipo kimya sana. Halafu hiki kituo kina history na vinasaba na watu wasiojulikana,watuhumiwa na wahalifu wengi wanaotolewa Mikioani kuletwa Dar hukifia pale.
Upo sahihi.
 
1. Ni kama tu Jeshi litakanusha maelezo ya washitakiwa [makomandoo] ya sababu za kuondolewa jeshini na waka - concur na sababu za upande wa mashitaka (Jamhuri)..

2. Hata hivyo, lipo moja linaweza kumfunga na kumletea utata mwajiri [JWTZ] wa kina Adamoo na wenzake iwapo atakataa sababu walizozitoa na kuja na zake wasizojua wao, ni kujibu swali hili kwa usahihi: Waliondolewaje kazini/jeshini? Taraibu za kisheria za ku - fire, hire and suspend za utumishi majeshini zilifuatwa...?

3. Hopefully, JWTZ hawataweza kushiriki ujinga na uhayawani huu Wa wanasiasa...!
Na ushahidi huo wakiuleta kuwa aliondolewa kwa ajili ya nidhamu, itakuwa objected maana Kama hamkumpa barua, tutaaminije hicho mnachokileta... beyond reasonable doubt. Kwanini yeye hana certificate ya matibabu Lugalo kuwa alikuwa anatibiwa Nini?
 
Kesi ndogo inayofuata Ni kingai na mahita kuiba pesa za watuhumiwa.
Adamoo 260000
Mohamedi 300000
Shaidi wa tatu 40000
Jumla 600000.Kibatala ninekuelewa dawa yao ndiyo hiyo kuwa shahidi anageuka kuwa mtuhumiwa.

Sasa hapo tutaona Kama tuna mahakama za kutoa haki au kuna vijiwe ili watu waanze kutafuta haki kwa staili nyingine.
watasema wanazo na wamewatunzia.
 
Hicho kituo Ogopa sana,ukipita pale kwanza ni mgeni huwezi kujua kama kuna kituo cha Polisi na hata kama unajua utashangaa kuona kituo hakina harakati nyingi kama vituo vingine,kipo kimya sana. Halafu hiki kituo kina history na vinasaba na watu wasiojulikana,watuhumiwa na wahalifu wengi wanaotolewa Mikioani kuletwa Dar hukifia pale.

Aliwahi kuniambia jamaa mmoja zile activities za kutesa watuhumiwa zilizokuwa zinafanyikiaga sitakishari zilihamishiwa hapo Tazara kuanzia 2015
 
Siri ya Tazara inafichuka na hii kesi.

Wameweka watu mahabusu miezi nane bila kuwafikisha mahakamani.

Tazara ni Guantanamo ya Tz
wakililzwa watamwambia Jaji kwamba bado walikuwa wanakusanya upelelezi, sheria za nchi yetu hazijaweka time limit ipi upelelezi uwe umekamilika - hapa ndipo tatizo lilipo.

Unaweza kukamatwa leo na upelelezi ukaendelea hata miaka 2.
 
Back
Top Bottom