Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makamanda wa Siro wamevagaaKesi ndogo inayofuata Ni kingai na mahita kuiba pesa za watuhumiwa.
Adamoo 260000
Mohamedi 300000
Shaidi wa tatu 40000
Jumla 600000.Kibatala ninekuelewa dawa yao ndiyo hiyo kuwa shahidi anageuka kuwa mtuhumiwa.
Sasa hapo tutaona Kama tuna mahakama za kutoa haki au kuna vijiwe ili watu waanze kutafuta haki kwa staili nyingine.
Swali Kama hili linàsaidia Nini katika kujenga hoja yake? may be akisema.siwezi vunjika implication yake Ni kuwa huyu hajui anachosema maana hata chuma kinavunjika/bend depending on forces appliedWS anafanya kejeli za kijinga eti oh wewe komando huwezi vunjika
Sorry, unadhani inaweza kuleta sura gani mpya labda?
Katika hilo kulikuwa na mgogoro katika maelezo ya shahidi, Huku Jaji akiomba ufafanuzi kwa mawakili both side kipi aandike katika hayo maelezo ya shahidi, akashauri wakae wajadiliane..Nisaidie na Mimi Nini kilitokea.....
Upo sahihi.Hicho kituo Ogopa sana,ukipita pale kwanza ni mgeni huwezi kujua kama kuna kituo cha Polisi na hata kama unajua utashangaa kuona kituo hakina harakati nyingi kama vituo vingine,kipo kimya sana. Halafu hiki kituo kina history na vinasaba na watu wasiojulikana,watuhumiwa na wahalifu wengi wanaotolewa Mikioani kuletwa Dar hukifia pale.
Na ushahidi huo wakiuleta kuwa aliondolewa kwa ajili ya nidhamu, itakuwa objected maana Kama hamkumpa barua, tutaaminije hicho mnachokileta... beyond reasonable doubt. Kwanini yeye hana certificate ya matibabu Lugalo kuwa alikuwa anatibiwa Nini?1. Ni kama tu Jeshi litakanusha maelezo ya washitakiwa [makomandoo] ya sababu za kuondolewa jeshini na waka - concur na sababu za upande wa mashitaka (Jamhuri)..
2. Hata hivyo, lipo moja linaweza kumfunga na kumletea utata mwajiri [JWTZ] wa kina Adamoo na wenzake iwapo atakataa sababu walizozitoa na kuja na zake wasizojua wao, ni kujibu swali hili kwa usahihi: Waliondolewaje kazini/jeshini? Taraibu za kisheria za ku - fire, hire and suspend za utumishi majeshini zilifuatwa...?
3. Hopefully, JWTZ hawataweza kushiriki ujinga na uhayawani huu Wa wanasiasa...!
Inategemea na situation. Huna kosa, hujui kama unatafutwa, kwa kifupi upo na mishe zako kama raia wa kawaida.Komandoo gani anakamatwa kirahisi kama mwizi wa kuku??
Ulitaka auwe askari?Komandoo gani anakamatwa kirahisi kama mwizi wa kuku??
watasema wanazo na wamewatunzia.Kesi ndogo inayofuata Ni kingai na mahita kuiba pesa za watuhumiwa.
Adamoo 260000
Mohamedi 300000
Shaidi wa tatu 40000
Jumla 600000.Kibatala ninekuelewa dawa yao ndiyo hiyo kuwa shahidi anageuka kuwa mtuhumiwa.
Sasa hapo tutaona Kama tuna mahakama za kutoa haki au kuna vijiwe ili watu waanze kutafuta haki kwa staili nyingine.
Hakuna mwanaccm mcha MunguHivi mama anajiskiaje akona haya ambayo ana uhakika ni kusingiziwa. Hata Mtume (SAW) hamuogopi kweli?
angekinukisha kidogo.Ulitaka auwe askari?
Hicho kituo Ogopa sana,ukipita pale kwanza ni mgeni huwezi kujua kama kuna kituo cha Polisi na hata kama unajua utashangaa kuona kituo hakina harakati nyingi kama vituo vingine,kipo kimya sana. Halafu hiki kituo kina history na vinasaba na watu wasiojulikana,watuhumiwa na wahalifu wengi wanaotolewa Mikioani kuletwa Dar hukifia pale.
Hapo ndiyo utajua kuwa hawakuwa magaidi.Komandoo gani anakamatwa kirahisi kama mwizi wa kuku??
Tufanye hivi siyo komandoo!!Maana hata Kingai anasema ni makomandoo,wao wanasema ni makomandoo .Wewe Malaya wa kisiasa unasema siyo makomandooKomandoo gani anakamatwa kirahisi kama mwizi wa kuku??
ikikuumiza sana chomoa.Tufanye hivi siyo komandoo!!Maana hata Kingai anasema ni makomandoo,wao wanasema ni makomandoo .Wewe Malaya wa kisiasa unasema siyo makomandoo
wakililzwa watamwambia Jaji kwamba bado walikuwa wanakusanya upelelezi, sheria za nchi yetu hazijaweka time limit ipi upelelezi uwe umekamilika - hapa ndipo tatizo lilipo.Siri ya Tazara inafichuka na hii kesi.
Wameweka watu mahabusu miezi nane bila kuwafikisha mahakamani.
Tazara ni Guantanamo ya Tz
updates vipi mkuu?Hakuna mwanaccm mcha Mungu