Kilwa94
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 2,676
- 3,046
Hujui kitu mzee dola ni kitu kingine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui kitu mzee dola ni kitu kingine.
Mjukuu wa mzee Mgaya ana mang'ana!Ana hamu na mikusu😂😂😂😂Bwashee picha ya kada inakuchefua tena au inakuumiza kwa kukukumbusha machungu?
[emoji1][emoji1][emoji1].Narudia tena kwenu nyie vijana ambao hamjaoa binti wa polisi hata awe pisi kali namna gani msioe ili kuepusha uzao wako na laana.
Atafune na mkalifya.😝😝😝😝Tafuna limao na maganda yake Bwashee.
Sasa hivi wamepotea, wamesaya wote [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mjukuu wa mzee Mgaya ana mang'ana!Ana hamu na mikusu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bado wanaipitia hotuba ya "muheshimiwa" aliyoisoma pale UN.😝😝😝😝Sasa hivi wamepotea, wamesaya wote [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaaaa.......!Tafuna limao na maganda yake Bwashee.
Bongo zao zimetikisika. Chief Hangaya amewachanganya balaa.Bado wanaipitia hotuba ya "muheshimiwa" aliyoisoma pale UN.[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Unaongea ushuziHuyo gaidi anatupotezea muda afungwe haraka miaka 50
Angetolewa haya yote yasingefunuliwa wazi kiasi hikiKesi kesi watu wanajipa matumaini humu. Hii kesi si mliizira jamani hata dhamana mkasema hamtamtolea chair abaki huko huko jela. Maisha haya
Narudia tena kwenu nyie vijana ambao hamjaoa binti wa polisi hata awe pisi kali namna gani msioe ili kuepusha uzao wako na laana.
Unataka kumwambia Nini bwana Sirro?Watoto wasihukumiwe kwa makosa ya wazazi wao.
Tatizo inawezekana hata hujui hii kesi ni ya matukio ya Julai 2020. Sasa niambie nani alikuwa Rais 2020, mama au lile zee?Kwani Mbowe kakamatwa lini? Na ni nani alisema kuwa Mbowe na wenzake wanatumikia kifungo?
Hupaswi kuwa na hasira na mtu mpaka ukashindwa ku reason kawaida tu. Magufuli hayupo. Waliopo warekebishe ambayo aliyakosea.
Shukuruni Mungu mashujaa wa JWTZ wameamua kuwa watulivu. Wakiamua hivyo vijamaa vyenu vitalamba mchanga kwa kutumia vijambioKunyooshwa kivipi wakati polisi wameshatoa dozi ya maana kwa hao wavunja tofali(makomando bandia).