Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙂🙂Watu mna siri balaa. Kumbe Moshi kuna wauza mbege wametulia hivi na mmekaa kimya. Sijapenda [emoji23]
😀 Shetani amshinde shetani mwenzake tena?.Utawala ukifitinika uko karibu kuanguka.MUNGU asimame na akina Mbowe ili tumshinde huyu shetani, ibilisi, dikteta na katili.
Hangaya mswalihina!!! maajabu ya dunia! Kuachia Ali choki nani anapakua mzigo au amebakia kuchokonoa/kusaga vibinti vidogo!!!??Afu Hangaya anajifanya mswahilina huku anatesa wapinzani wake.
Kuna hii walimlisha "mchana na jua linawaka"Unaona kabisa kafundishwa, atakumbana na maswali, time will tell soon
Unatafakari Nini sasa na hizi kesi za mbege?Hii kesi iwe fundisho kwa vyama vingine ambavyo badala ya kufanya kazi za siasa, vinajigeuza kuwa Genge la kihalifu.
inapaswa kujitathimini kila wakati.
Shahidi huyu kakaririshwa. Tusubiri cross-examination kutoka upande wa utetezi hapo ndipo tutasikia vituko.Mmempa shahidi no 4 kamusi na dictionary ili imsaidie zaidi? Ukiulizwa maana ya gaidi unaomba ruhusa ya kwenda ........
Huyu ndiyo muuza mbege...!!!????Huyu anatanyooshwa leoView attachment 1994442View attachment 1994443
December nitatembelea URU MADUKANI. Pisi Kali vile!!!!
Hata anavyojibu unaona amelishw. Mchana na jua linawaka anataka kuweka visibility kuwa kulikuwa na mwanga kuona matukio aliyoyasema..... favourable conditions for identification......weakest evidence hajui....Kuna hii walimlisha "mchana na jua linawaka"
naona wazee wa kazi wameshamtia shahidi mtero... sahihi siyo yake kumbe ....hatari fire
Una uhakika mkuu?Hangaya mswalihina!!! maajabu ya dunia! Kuachia Ali choki nani anapakua mzigo au amebakia kuchokonoa/kusaga vibinti vidogo!!!??
Katika mashahidi wote hakuna aliyetaja madawa ulipokuwa huyu dada na kingai.MUNGU asimame na akina Mbowe ili tumshinde huyu shetani, ibilisi, dikteta na katili.