Yaliyojiri kesi ya Mbowe na Wenzake: Upande wa Mashtaka waendelea kutoa ushahidi. Kesi yaahirishwa mpaka Septemba 24, 2021

Yaliyojiri kesi ya Mbowe na Wenzake: Upande wa Mashtaka waendelea kutoa ushahidi. Kesi yaahirishwa mpaka Septemba 24, 2021

Ngoja tumsaidie mleta uzi maana naona kazidiwa, mods mtaunganisha huko juu:

Wakili Kibatala: Wakati shauri limehairishwa tulituma mtu huko Boma Ng'omba na Siha kutokana na unyeti wa Kesi, Je unakumbuka Jina la Muhudumu?

Shahidi: hapana sikumbuki.

Wakili Kibatala: Je unakumbuka jinsia yake aliyewahudumia?

Shahidi: hapana, tulikuwa kwenye gari, Chakula afande Kingai ndiye aliyeleta

Wakili Kibatala: Je ni mara ngapi umekuwa na watuhumiwa na kuwapatia chakula?

Shahidi: ni jambo la kawaida mkiwa kwenye operesheni kumpatia mtu chakula..

Wakili Kibatala: unafahamu PGO imetaja utaratibu wa kupatia chakula watuhumiwa?

Shahidi: Sifahamu

Wakili Kibatala: unafahamu kuwa PGO ndiyo ina maelekezo ya pekee juu ya utaratibu wa kumpatia chakula Mtuhumiwa?

Shahidi: a sheria mbalimbali siyo tu PGO

Wakili Kibatala: zitaje

Shahidi: sifahamu

Wakili Kibatala: Unafahamu kwa Mujibu wa taratibu za Tanzania na kimataifa kuna hotuba inayotambua kuwa na vikosi maalum vya ugaidi Tanzania.. Je unamfahamu?

Shahidi: ungemfuata aliyesema umuulize

Jaji: Shahidi anakuuliza wewe!

Wakili Kibatala: Je kuna sehemu yoyote umejitambulisha wewe ni mmoja ya kikosi Maalum cha kupambana na magaidi Tanzania?

Shahidi: Hapana

Wakili Kibatala: Je inaruhusiwa wakati wa kumuhoji mtuhumiwa kumchoma choma na bisibisi?

Shahidi: Hapana hairusiwi..

Wakili Kibatala: Je inaruhusiwa kumchoma choma mtuhumiwa na bisibisi na kumwambia tutakufanya kama tulichokufanya Moshi?

Shahidi: hairuhusiwi

Wakili Kibatala: Je, inaruhusiwa kumfunga mtu pingu miguuni na mikononi na kumining'iza na kumpiga na marungu kwenye unyayopaka hawezi kutembea?

Shahidi: hairuhusiwi

Wakili Kibatala: Je Tazara ni kituo Class A au B?

Shahidi: hilo sifahamu

Wakili Kibatala: Ulizungumzia kuwa ulimtoa mtuhumiwa kutoka Central kwenda Mbweni?

Shahidi: ndiyo

Wakili Kibatala: Central ulipomtoa mtuhumiwa ni Class A au B?

Shahidi: class A

Wakili Kibatala: kwa hiyo ulimtoa kituo Class A kwenda class A?

Shahidi: ndiyo

Wakili Kibatala: Je unafahamu kuwa taratibu za kumsafirisha mtuhumiwa kwenda popote zimewekwa kwenye PGO?

Shahidi: hilo sifahamu

Wakili Kibatala: PGO inasema kuwa wakati wa kumhamisha mtuhumiwa kutoka Point moja kwenda kwenye point nyingine inatakiwa kuandikwa Detention Register.?

Shahidi: hilo sifahamu

Wakili Kibatala: wewe ulikuwa Arresting Officer.?

Shahidi: ndiyo

Wakili Kibatala: Jaji akimaliza kuandika mwambie kuwa ni kwa PGO ya ngapi

Shahidi: Hapana sifahamu

Wakili Kibatala: Unafanya kazi kwa kutumia PGO au mazoea?

Shahidi: kwa taratibu mbalimbali

Wakili Kibatala: ikiwepo PGO

Shahidi: NDIYO

Wakili Kibatala: Je unafahamu lolote kuhusu Moses Lijenje na umezungumzia hapa hatima ya Moses Lijenje?

Shahidi: Sikuzungumzia

Wakili Kibatala: Je unafahamu lolote kuhusu utaratibu wa kumtangaza mtuhumiwa kwa kutumia tangazo?

Shahidi: Hapana

Wakili Kibatala: umezungumzia kuhusu KUMFUNGA Pingu mshtakiwa, Je kuna sehemu yoyote umezungumzia KUMFUNGUA pingu mshtakiwa ?

Shahidi: Kwenye maelezo yangu siku zungumzia..

Wakili Kibatala: Wakati wakili John Mallya anakuhoji kuhusu chakula alikuhoji kuhusu kiwango cha chakula mtuhumiwa alipewa, unafahamu PGO imezungumzia kiwango, kiasi na aina gani ya chakula ambacho mtuhumiwa anapaswa kupewa akiwa chini ya Ulinzi? je Unafahamu?

Shahidi: Hapana, sifahamu

Wakili Kibatala: Umezungumzia kupewa chakula watuhumiwa wakiwa Boma Ng'ombe na Himo je umezungumzia kuhusu watuhumiwa kupewa chakula wakiwa kituo cha polisi Moshi?

Shahidi: Hapana sikuzungumzia

Wakili Kibatala: Je umezungumzia kuhusu kuwapekua watuhumiwa mauongoni ulipowakuta, Je kwa mujibu wa PGO inaruhusiwa kumfanyia mtu Upekuzi maungoni mbele za Watu?

Shahidi: Ndiyo inaruhusiwa

Wakili Kibatala: PGO ipi?

Shahidi: sifahamu

Wakili Kibatala: akusomea PGO 272(5) inayozungumzia kumpekua mtu mauongoni, PGO inasema kwa Kuanzia Kichwani, Kushuka chini... hapa mwisho inasema nobody search in Public view..

Shahidi: mheshimiwa inaruhusiwa Kwa mujibu wa PGO

Wakili Kibatala: Je, PGO inaruhusu kumpekua mtu maungoni hadharani?

Shahidi: inaruhusu

Wakili Kibatala: Nikikupa PGO utaonyesha ni wapi?

Shahidi: ndiyo..

Peter Kibatala anamkabidhi shahidi PGO


Shahidi: PGO inaruhusu isipokuwa kama utamvua mtu nguo, kuchuchumaa inakatazwa..

Jaji: ungesoma kama wakili Kibatala anavyosoma au ungependa kuelezea?


Shahidi: ingependa kuelezea tu..

Wakili Kibatala: Je UNASOMA PGO au HUSOMI?

Shahidi: SI SO MI Mheshimiwa JAJI

Wakili Kibatala: Ahsante, sasa ngoja Jaji aaandike umekataa kusoma PGO kwa unachokisema..


Wakili Kibatala: Unafahamu Diary ya Afisa wa Polisi?

Shahidi: Ndiyo

Wakili Kibatala: wewe ni Gazetted au siyo Gazetted Officer?

Shahidi: Siyo Gazetted Officer

Wakili Kibatala: Unafahamu PGO inazungumzia Afisa wa Polisi wa cheo kama cha kwako anapotoka eneo la kazi?

Shahidi: siyo Gazetted Officer

Wakili Kibatala: Je unafahamu RPC anatakiwa kukupa wewe ruhusa?

Shahidi: Ndiyo nafahamu

Wakili Kibatala: Je unafahamu RPC anatakiwa kukupa wewe ruhusa?

Shahidi: Siyo RPC pekee yake

Wakili Kibatala: Je nani mwingine?

Shahidi: RPC, RCO na Staff Officer

Wakili Kibatala: Je Ruhusa ya kipolisi inatolewa kwa maandishi au kwa mdomo?

Shahidi: maandishi

Wakili Kibatala: Je umetoa nyaraka (Movement Order) Mahakamani.?

Shahidi: PGO inasema Officer ambaye ni Gazetted haitaji Movement Order na kwa cheo changu Movement yangu ilikuwa inabeba Wengine.

Wakili Kibatala: Tuokoe muda, Sijakuuliza hicho

Shahidi: Muda tunao Mheshimiwa

Jaji: Jibu kuwa ulikuwa na kibali au hukuwa na kibali

Shahidi: ndiyo nilikuwa namjibu

Wakili Kibatala: Jwakati unatoa ushahidi wako hapa na ulionyesha hiyo Movement Order?

Shahidi: ukimaloza inarudishwa ofisini

Wakili Kibatala:
Ulitoa mahakamani au hukutoa?

Shahidi: Haikuhitajika, sikuulizwa lakini ipo..

Wakili Kibatala: Ulitoa au hukutoa?

Shahidi: Sikutoa

Wakili Kibatala: Je unafahamu hata RCO kama afande kingai anasehemu anatakiwa kuripoti?

Shahidi: siwezi kumuongelea Afande wangu.

Wakili Kibatala: ongelea concept unaifahamu au huifahamu, kwa sababu hata mimi nafahamu juu ya mawakili Senior taratibu zao zikoje..

Shahidi: sifahamu

Wakili Kibatala:Umezungumzia mtuhumiwa kuwa na Jacket

Shahidi: ndiyo

Wakili Kibatala: Je unafahamu kuwa hilo Jacket ndilo lililotumika kumfungia machoni asione mtuhumiwa?

Shahidi: Hapana sifahamu

Wakili Kibatala: Je unafahamu anayetakiwa kufanya upekuzi ni afisa wa Polisi mkamataji

Shahidi: yeyote anaweza kufanya upekuzi

Wakili Kibatala: Je nikikupa PGO unaweza kunionyesha popote ambapo polisi yeyote anaweza kufanya upekuzi?

Shahidi: Hapana

Wakili Kibatala: Wakati wote wa kazi yako ulishawahi kufuata PGO ukawa nayo karibu na kuitumia?

Shahidi: Hapana

Wakili Kibatala: Mh. Jaji ni hayo tu, sina swali lingine

Jaji: Ahsante, kila siku naona mtuhumiwa mmoja tu ndiyo anakunywa maji, mmewapa wengine? wapeni Maji wanywe,Askari Magereza Myakague ni haya tunayokunywa wote

Jaji: Mawakili wa Serikali kuna lolote kwa ajili ya Re: examination?

Wakili wa Serikali: tupo tayari

Wakili wa Serikali: nitakuhoji kwa ufafanuzi. je Ijumaa wakati Kibatala anakuhoji ulisema anachanganya PGO ulikuwa una maana gani?

Shahidi: Wakati wakili Kibatala ananihoji alitaka PGO ya 272 leo nashukuru kafanya Research kidogo kwa sababu alikuwa anaongela kuhusu kuchukua Maelezo, Leo ndiyo kanihoji kwa usahihi kuhusu ukamataji..

Wakili wa Serikali: Hiyo PGO inayozungumzia kuhusu maelezo eleza ni kwa namna gani?

Shahidi: wakati unamchukulia maelezo ndiyo unamuhoji kwa kumuonya kama utatumia mahakamani Kama ushahidi

Wakili wa Serikali:wakati Kibatala anakuhoji kuhusu kumtoboa na bisibisi kila kitu ulikuwa unasema hairuhusiwi

Shahidi: Hairuhusiwi kwa mujibu wa katiba zetu, kama torture na vinginevyo..

Wakili wa Serikali: Fafanua kuhusiana kumfunga na mtu kwa Jacket

Shahidi: kama nilivyomuuliza wakili Kibatala hairuhusiwi na hakuna haja ya kufanya hivyo

Wakili wa Serikali: Hakuna sehemu uliomba ruhusa kufuata Notebook yako hapa Mahakamani, kwanini ulifanya hivyo?

Shahidi: Sikuhitaji kwa sababu yote niliyoyaeleza nilikuwa nayakaumbuka

Wakili wa Serikali: uliulizwa swali kuwa hukuandika katika maelezo yako kama mliwapatia chakula Adam kasekwa mkiwa Boma Ng'ombe na Himo

Shahidi: Sikuandika katika maelezo yangu kwa sababu nili' focus katika mambo ya ukamataji

Wakili wa Serikali: uliulizwa hapa pia kuhusiana na uhitaji wa movement Order kutoka kituo chako cha kazi, Kwanini hukuileta hapa mahakamani?

Shahidi: kwa mujibu wa taratibu, Polisi ukimaliza kuitumia Movement Order unarudisha ofisini, nikaendelea na kazi..

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Mimi ni hayo hatuna kingine..

Jaji: Shahidi tunashukuru umemaliza ushahidi wako unaweza kwenda sasa..

Shahidi anatoka kizimbani...

Jaji: upande wa serikali..

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa tunaomba kuendelea na shahidi wa tatu..

Jaji: sawa Mleteni Shahidi wa 3

Mahakama ipo kimya..

Shahidi amefika


Jaji: Shahidi jitambulishe

Shahidi: naitwa Askari namba H2343, afande Msemwa

Jaji: Apa

Shahidi: mimi Afande H2343 naapa Ninachosema kitakuwa kweli, Eeh! Mwenyezi Mungu nisaidie

Jaji: anayehoji nani upande wa serikali?

Wakili wa Serikali: MIMI NASSORO KATUGA

Wakili wa Serikali: Shahidi ungependa kusimama au kukaa?

Shahidi: Kusimama

Wakili wa Serikali: Kituo chako cha Polisi ni wapi?

Shahidi: Kituo cha Polisi Oysterbay

Wakili wa Serikali: upo tangu lini?

Shahidi: Mwaka huu January/February

Wakili wa Serikali: Umeajiriwa mwaka gani?

Shahidi: 2013

Wakili wa Serikali: Ulianzia kituo gani?

Shahidi: nilianzia Polisi Ilala na baadae nikahamia Central Polisi

Wakili wa Serikali: Central ulikuwa mpaka lini?

Shahidi: 2014 Mwanzoni Mpaka Mwaka jana mwishoni kuanzia January 2021 nikaenda Oysterbay

Wakili wa Serikali: Oyesterbay upo kitengo gani?

Shahidi: upelelezi

Wakili wa Serikali: Ukiwa Central Polisi Ilala ulikuwa unafanya kazi gani?

Shahidi: nilikuwa General Duty sisi ambao tunavaa uniform kawaida tofauti na wale wa kofia nyekundu FFU

Wakili wa Serikali: Ulikuwa na Jukumu gani?

Shahidi: nilikuwa nalinda raia na mali zao..

Shahidi: Doria na ukaaji wa point pamoja na kuwa chumba cha mashtaka

Wakili wa Serikali: Umezungumzia chumba cha mashtaka ni nini?

Shahidi: ni pale wanapokaa Askari (CRO) kwa ajili ya kupokea taarifa mbalimbali na ufunguaji wa kesi na kupokea watuhumiwa wanaoletwa

Wakili wa Serikali: Watuhumiwa wanaoletwa kutoka wapi?

Shahidi: sehemu mbalimbali

Wakili wa Serikali: unasema ulikuwa kwenye chumba cha mashitaka, ufanyaji kazi unakuwa ni Vipi?

Shahidi: kwanza lazima kiwe na CRO incharge kazi utakazofanya ni zile utazopewa na CRO incharge

Jaji: naona Joto ni kali, naomba madirisha yafunguliwe..

Wakili wa Serikali: Naweza kukumbushwa alipoishia?

Jaji: CRO panakuwa na Incharge..

Wakili wa Serikali: Enheee Endelea..

Shahidi: Unakuwa unafanya majukumu unayopewa na Incharge..

Wakili wa Serikali: iambie mahakama sasa kwa ufupi sana mnapokuwa mnapokea watuhumiwa nini kinafanyika?

Shahidi: Mnapopolea watuhumiwa kuna taratibu zake ukiwa CRO kinakamilishwa na kitu kinaitwa DR (Detention Register)

Wakili wa Serikali: iambie mahakama ni kitu gani

Shahidi: ni kitabu kinachotunza kumbukumbu za kituo cha Polisi

Wakili wa Serikali: Kwa namna gani!?

Shahidi: Kuna taratibu zake za kumpokea mtuhumiwa na askari anayekuwa chumba cha mashtaka uzifahamu..

Wakili wa Serikali: iambie Mahakama ni taratibu gani..

Shahidi: kwanza wakati unamuhoji ni Kumpekua ili wakati unampekua unakuwa mpo nae salama

Wakili wa Serikali: Wakati mnampekua mnafanya utaratibu gani?

Shahidi: Chochote kinaweza kuanza kuhojiwa na kumpekua

Shahidi: Kiuhalisia nilichofundishwa CCP kuwa mtu anapokuwa amekamatwa anakuwa na Mawazo yeye mwenyewe

Wakili wa Serikali: Mimi sitaki mawazo yako, sasa wewe unafanya kitu gani?

Shahidi: kuhakikisha haingii na kitu chenye madhara Mahabusu..

Wakili wa Serikali: Kingine?

Shahidi: Kumuingiza kitabu cha mahabusu (Detention Register)

Wakili wa serikali: Unampekuaje?

Shahidi: Unampekua kwa kumwambia nyoosha mikono Juu, kwa kugeukia ukuta na kuushika, na mwisho wa kumpekua ni kumwambia kaa chini

Wakili wa Serikali: unamhoji kwa namna gani

Shahidi: kama Mtuhumiwa analetwa kwa kesi ambayo imeshafunguliwa anatakiwa awe na Case reference namba yake

Wakili wa Serikali: kesi inayokuwa imefunguliwa wapi?

Shahidi: popote pale ndani ya Tanzania

Wakili wa Serikali: hiyo Reference inahusisha vitu gani?

Shahidi: reference ndiyo kitu kinafahamila sana Mtaani RB, mfano kesi za Oysterbay zinakuwa na neno Kifupisho OB kwa maana Oysterbay Mkwaju, RB kwa maana imeripotiwa

Wakili wa Serikali: hiyo ya Oysterbay je ya Central?

Shahidi: Cental ni neno CD na reference namba kesi ilianza kupelelezwa inakuwa na IR badala ya RB

Wakili wa Serikali: Baada ya namba nini kingine analeta?

Shahidi: na Jina la kosa analokuwa ametenda

Wakili wa Serikali: Vitu gani Vingine?

Shahidi: Unapata Particulars kwa aliyemleta mtuhumiwa na zingine kwa mtuhumiwa mwenyewe..

Wakili wa Serikali: zipi hizo?

Shahidi: Majina, Miaka yake, Jinsia yake..

Wakili wa Serikali: Jinsia ukimaanisha?

Shahidi: kama ni mwanamke au mwanaume

Jaji: wewe unajuaje?

Shahidi: namkagua pia kuthibitisha

Wakili wa Serikali: Kingine?

Shahidi: hali yake ya Ki afya

Wakili wa Serikali: akikujibu wewe unafanyaje?

Shahidi: lazima ujiridhishe kama mgongoni unaweza kumkagua

Wakili wa Serikali: iambie Mahakama kwenye ukaguzi wa jinsia mnafanya kitu gani?

Shahidi: ni kujihakikishia physically

Jaji: inamana mwanamke unamkagua wewe?

Wakili wa Serikali: ndiyo nilichotaka ila niliogopa nisije kuonekana namuongoza

Shahidi: CRO panakuwa na Askari wa kike kwa Ukaguzi wa Mwanamke. Akiletwa mwanamke ukaguzi utafanywa na Askari wa Kike

Wakili wa Serikali: Tarehe 7 Mwezi wa 8 2020 Ulikuwa wapi

Shahidi: nilikuwa bado sijahamia Oysterbay nilikuwa bado mkoa wa kipolisi Ilala, Central

Wakili wa Serikali: Unakumbuka nini siku hiyo?

Shahidi: niliiingia kazini, nilikuwa na zamu ya CRO shifti

Wakili wa Serikali: Unaposema CRO shift unamaana gani?

Shahidi: pale CRO panakuwa na Shift sababu tunafanya kazi masaa 24 kwa hiyo tunafanya kazi kwa zamu

Wakili wa Serikali: ulipoingia kazini ulifanya nini?

Shahidi: niliingia kazini Alfajiri na askari wengine watano

Wakili wa Serikali: unaweza kuwataja kama unawakumbuka

Shahidi: WP fatuma,Aziz na wengine

Wakili wa Serikali: Mliingia kazini Saa ngapi?

Shahidi: 12 Alfajiri

Wakili wa Serikali: Siku hiyo CRO Incharge alikuwa ni nani?

Shahidi: Palikuwa na Inspector msaidizi wa Polisi

Wakili wa Serikali: Siku hiyo wewe ulikuwa na jukumu gani

Shahidi: nilikuwa ni mtunza mahabusu, mahabusu wa kiume ni mimi, na wakike wata dili na WP SEMENI

Wakili wa Serikali: Unakumbuka Jukumu la Kufungua kesi.?

Shahidi: Nakumbuka Afande Emmanuel na Afande Samuel

Wakili wa Serikali: Ulikuwa na majukumu gani

Shahidi: ilikuwa saa 12 kasoro nilifika na kupangiwa majukumu na wengine

Wakili wa Serikali: Kitu gani ulifanya

Shahidi: baada ya kukabidhiwa mahabusu naenda kuhakiki kule mahabusu chini kwa kutaja jina mojamoja

Wakili wa Serikali: Nini Unakumbuka kikafuata?

Shahidi: siku hiyo ilikuwa tofauti kidogo baada ya kukagua mahabusu nikamuona Afande Kingai akiwa anaingia na Mahabusu

Wakili wa Serikali: Mahakama ingependa kujua ulikuwa unamfahamu kabla?

Shahidi: ndiyo nilikuwa namhfhamu

Wakili wa Serikali: alikuwa na nani?

Shahidi: Afande Jumanne

Wakili wa Serikali: ulikuwa unamfahamu Jumanne?

Shahidi: ndiyo, alikuwa makao Makuu ya polisi kabla

Wakili wa Serikali: nini kilifuata?

Shahidi: akaniambia ni watuhumiwa kesi yao imefunguliwa hapa

Wakili wa Serikali: unakumbuka RB yao?

Shahidi: Sikumbuli RB ila kosa nakumbuka

Wakili wa Serikali: Unakumbuka kosa gani

Shahidi: Kula njama za kutenda makosa ya ugaidi

Jaji: naona tunge' break kidogo... Tutarudi saa saba na nusu kuendelea...
 
Ngoja tumsaidie mleta uzi maana naona kazidiwa, mods mtaunganisha huko juu:

Wakili Kibatala: Wakati shauri limehairishwa tulituma mtu huko Boma Ng'omba na Siha kutokana na unyeti wa Kesi, Je unakumbuka Jina la Muhudumu?

Shahidi: hapana sikumbuki.

Wakili Kibatala: Je unakumbuka jinsia yake aliyewahudumia?

Shahidi: hapana, tulikuwa kwenye gari, Chakula afande Kingai ndiye aliyeleta

Wakili Kibatala: Je ni mara ngapi umekuwa na watuhumiwa na kuwapatia chakula?

Shahidi: ni jambo la kawaida mkiwa kwenye operesheni kumpatia mtu chakula..

Wakili Kibatala: unafahamu PGO imetaja utaratibu wa kupatia chakula watuhumiwa?

Shahidi: Sifahamu

Wakili Kibatala: unafahamu kuwa PGO ndiyo ina maelekezo ya pekee juu ya utaratibu wa kumpatia chakula Mtuhumiwa?

Shahidi: a sheria mbalimbali siyo tu PGO

Wakili Kibatala: zitaje

Shahidi: sifahamu

Wakili Kibatala: Unafahamu kwa Mujibu wa taratibu za Tanzania na kimataifa kuna hotuba inayotambua kuwa na vikosi maalum vya ugaidi Tanzania.. Je unamfahamu?

Shahidi: ungemfuata aliyesema umuulize

Jaji: Shahidi anakuuliza wewe!

Wakili Kibatala: Je kuna sehemu yoyote umejitambulisha wewe ni mmoja ya kikosi Maalum cha kupambana na magaidi Tanzania?

Shahidi: Hapana

Wakili Kibatala: Je inaruhusiwa wakati wa kumuhoji mtuhumiwa kumchoma choma na bisibisi?

Shahidi: Hapana hairusiwi..

Wakili Kibatala: Je inaruhusiwa kumchoma choma mtuhumiwa na bisibisi na kumwambia tutakufanya kama tulichokufanya Moshi?

Shahidi: hairuhusiwi

Wakili Kibatala: Je, inaruhusiwa kumfunga mtu pingu miguuni na mikononi na kumining'iza na kumpiga na marungu kwenye unyayopaka hawezi kutembea?

Shahidi: hairuhusiwi

Wakili Kibatala: Je Tazara ni kituo Class A au B?

Shahidi: hilo sifahamu

Wakili Kibatala: Ulizungumzia kuwa ulimtoa mtuhumiwa kutoka Central kwenda Mbweni?

Shahidi: ndiyo

Wakili Kibatala: Central ulipomtoa mtuhumiwa ni Class A au B?

Shahidi: class A

Wakili Kibatala: kwa hiyo ulimtoa kituo Class A kwenda class A?

Shahidi: ndiyo

Wakili Kibatala: Je unafahamu kuwa taratibu za kumsafirisha mtuhumiwa kwenda popote zimewekwa kwenye PGO?

Shahidi: hilo sifahamu

Wakili Kibatala: PGO inasema kuwa wakati wa kumhamisha mtuhumiwa kutoka Point moja kwenda kwenye point nyingine inatakiwa kuandikwa Detention Register.?

Shahidi: hilo sifahamu

Wakili Kibatala: wewe ulikuwa Arresting Officer.?

Shahidi: ndiyo

Wakili Kibatala: Jaji akimaliza kuandika mwambie kuwa ni kwa PGO ya ngapi

Shahidi: Hapana sifahamu

Wakili Kibatala: Unafanya kazi kwa kutumia PGO au mazoea?

Shahidi: kwa taratibu mbalimbali

Wakili Kibatala: ikiwepo PGO

Shahidi: NDIYO

Wakili Kibatala: Je unafahamu lolote kuhusu Moses Lijenje na umezungumzia hapa hatima ya Moses Lijenje?

Shahidi: Sikuzungumzia

Wakili Kibatala: Je unafahamu lolote kuhusu utaratibu wa kumtangaza mtuhumiwa kwa kutumia tangazo?

Shahidi: Hapana

Wakili Kibatala: umezungumzia kuhusu KUMFUNGA Pingu mshtakiwa, Je kuna sehemu yoyote umezungumzia KUMFUNGUA pingu mshtakiwa ?

Shahidi: Kwenye maelezo yangu siku zungumzia..

Wakili Kibatala: Wakati wakili John Mallya anakuhoji kuhusu chakula alikuhoji kuhusu kiwango cha chakula mtuhumiwa alipewa, unafahamu PGO imezungumzia kiwango, kiasi na aina gani ya chakula ambacho mtuhumiwa anapaswa kupewa akiwa chini ya Ulinzi? je Unafahamu?

Shahidi: Hapana, sifahamu

Wakili Kibatala: Umezungumzia kupewa chakula watuhumiwa wakiwa Boma Ng'ombe na Himo je umezungumzia kuhusu watuhumiwa kupewa chakula wakiwa kituo cha polisi Moshi?

Shahidi: Hapana sikuzungumzia

Wakili Kibatala: Je umezungumzia kuhusu kuwapekua watuhumiwa mauongoni ulipowakuta, Je kwa mujibu wa PGO inaruhusiwa kumfanyia mtu Upekuzi maungoni mbele za Watu?

Shahidi: Ndiyo inaruhusiwa

Wakili Kibatala: PGO ipi?

Shahidi: sifahamu

Wakili Kibatala: akusomea PGO 272(5) inayozungumzia kumpekua mtu mauongoni, PGO inasema kwa Kuanzia Kichwani, Kushuka chini... hapa mwisho inasema nobody search in Public view..

Shahidi: mheshimiwa inaruhusiwa Kwa mujibu wa PGO

Wakili Kibatala: Je, PGO inaruhusu kumpekua mtu maungoni hadharani?

Shahidi: inaruhusu

Wakili Kibatala: Nikikupa PGO utaonyesha ni wapi?

Shahidi: ndiyo..

Peter Kibatala anamkabidhi shahidi PGO


Shahidi: PGO inaruhusu isipokuwa kama utamvua mtu nguo, kuchuchumaa inakatazwa..

Jaji: ungesoma kama wakili Kibatala anavyosoma au ungependa kuelezea?


Shahidi: ingependa kuelezea tu..

Wakili Kibatala: Je UNASOMA PGO au HUSOMI?

Shahidi: SI SO MI Mheshimiwa JAJI

Wakili Kibatala: Ahsante, sasa ngoja Jaji aaandike umekataa kusoma PGO kwa unachokisema..


Wakili Kibatala: Unafahamu Diary ya Afisa wa Polisi?

Shahidi: Ndiyo

Wakili Kibatala: wewe ni Gazetted au siyo Gazetted Officer?

Shahidi: Siyo Gazetted Officer

Wakili Kibatala: Unafahamu PGO inazungumzia Afisa wa Polisi wa cheo kama cha kwako anapotoka eneo la kazi?

Shahidi: siyo Gazetted Officer

Wakili Kibatala: Je unafahamu RPC anatakiwa kukupa wewe ruhusa?

Shahidi: Ndiyo nafahamu

Wakili Kibatala: Je unafahamu RPC anatakiwa kukupa wewe ruhusa?

Shahidi: Siyo RPC pekee yake

Wakili Kibatala: Je nani mwingine?

Shahidi: RPC, RCO na Staff Officer

Wakili Kibatala: Je Ruhusa ya kipolisi inatolewa kwa maandishi au kwa mdomo?

Shahidi: maandishi

Wakili Kibatala: Je umetoa nyaraka (Movement Order) Mahakamani.?

Shahidi: PGO inasema Officer ambaye ni Gazetted haitaji Movement Order na kwa cheo changu Movement yangu ilikuwa inabeba Wengine.

Wakili Kibatala: Tuokoe muda, Sijakuuliza hicho

Shahidi: Muda tunao Mheshimiwa

Jaji: Jibu kuwa ulikuwa na kibali au hukuwa na kibali

Shahidi: ndiyo nilikuwa namjibu

Wakili Kibatala: Jwakati unatoa ushahidi wako hapa na ulionyesha hiyo Movement Order?

Shahidi: ukimaloza inarudishwa ofisini

Wakili Kibatala:
Ulitoa mahakamani au hukutoa?

Shahidi: Haikuhitajika, sikuulizwa lakini ipo..

Wakili Kibatala: Ulitoa au hukutoa?

Shahidi: Sikutoa

Wakili Kibatala: Je unafahamu hata RCO kama afande kingai anasehemu anatakiwa kuripoti?

Shahidi: siwezi kumuongelea Afande wangu.

Wakili Kibatala: ongelea concept unaifahamu au huifahamu, kwa sababu hata mimi nafahamu juu ya mawakili Senior taratibu zao zikoje..

Shahidi: sifahamu

Wakili Kibatala:Umezungumzia mtuhumiwa kuwa na Jacket

Shahidi: ndiyo

Wakili Kibatala: Je unafahamu kuwa hilo Jacket ndilo lililotumika kumfungia machoni asione mtuhumiwa?

Shahidi: Hapana sifahamu

Wakili Kibatala: Je unafahamu anayetakiwa kufanya upekuzi ni afisa wa Polisi mkamataji

Shahidi: yeyote anaweza kufanya upekuzi

Wakili Kibatala: Je nikikupa PGO unaweza kunionyesha popote ambapo polisi yeyote anaweza kufanya upekuzi?

Shahidi: Hapana

Wakili Kibatala: Wakati wote wa kazi yako ulishawahi kufuata PGO ukawa nayo karibu na kuitumia?

Shahidi: Hapana

Wakili Kibatala: Mh. Jaji ni hayo tu, sina swali lingine

Jaji: Ahsante, kila siku naona mtuhumiwa mmoja tu ndiyo anakunywa maji, mmewapa wengine? wapeni Maji wanywe,Askari Magereza Myakague ni haya tunayokunywa wote

Jaji: Mawakili wa Serikali kuna lolote kwa ajili ya Re: examination?

Wakili wa Serikali: tupo tayari

Wakili wa Serikali: nitakuhoji kwa ufafanuzi. je Ijumaa wakati Kibatala anakuhoji ulisema anachanganya PGO ulikuwa una maana gani?

Shahidi: Wakati wakili Kibatala ananihoji alitaka PGO ya 272 leo nashukuru kafanya Research kidogo kwa sababu alikuwa anaongela kuhusu kuchukua Maelezo, Leo ndiyo kanihoji kwa usahihi kuhusu ukamataji..

Wakili wa Serikali: Hiyo PGO inayozungumzia kuhusu maelezo eleza ni kwa namna gani?

Shahidi: wakati unamchukulia maelezo ndiyo unamuhoji kwa kumuonya kama utatumia mahakamani Kama ushahidi

Wakili wa Serikali:wakati Kibatala anakuhoji kuhusu kumtoboa na bisibisi kila kitu ulikuwa unasema hairuhusiwi

Shahidi: Hairuhusiwi kwa mujibu wa katiba zetu, kama torture na vinginevyo..

Wakili wa Serikali: Fafanua kuhusiana kumfunga na mtu kwa Jacket
thanks neo
 
Ngoja tumsaidie mleta uzi maana naona kazidiwa, mods mtaunganisha huko juu:

Wakili Kibatala: Wakati shauri limehairishwa tulituma mtu huko Boma Ng'omba na Siha kutokana na unyeti wa Kesi, Je unakumbuka Jina la Muhudumu?

Shahidi: hapana sikumbuki.

Wakili Kibatala: Je unakumbuka jinsia yake aliyewahudumia?

Shahidi: hapana, tulikuwa kwenye gari, Chakula afande Kingai ndiye aliyeleta

Wakili Kibatala: Je ni mara ngapi umekuwa na watuhumiwa na kuwapatia chakula?

Shahidi: ni jambo la kawaida mkiwa kwenye operesheni kumpatia mtu chakula..

Wakili Kibatala: unafahamu PGO imetaja utaratibu wa kupatia chakula watuhumiwa?

Shahidi: Sifahamu

Wakili Kibatala: unafahamu kuwa PGO ndiyo ina maelekezo ya pekee juu ya utaratibu wa kumpatia chakula Mtuhumiwa?

Shahidi: a sheria mbalimbali siyo tu PGO

Wakili Kibatala: zitaje

Shahidi: sifahamu

Wakili Kibatala: Unafahamu kwa Mujibu wa taratibu za Tanzania na kimataifa kuna hotuba inayotambua kuwa na vikosi maalum vya ugaidi Tanzania.. Je unamfahamu?

Shahidi: ungemfuata aliyesema umuulize

Jaji: Shahidi anakuuliza wewe!

Wakili Kibatala: Je kuna sehemu yoyote umejitambulisha wewe ni mmoja ya kikosi Maalum cha kupambana na magaidi Tanzania?

Shahidi: Hapana

Wakili Kibatala: Je inaruhusiwa wakati wa kumuhoji mtuhumiwa kumchoma choma na bisibisi?

Shahidi: Hapana hairusiwi..

Wakili Kibatala: Je inaruhusiwa kumchoma choma mtuhumiwa na bisibisi na kumwambia tutakufanya kama tulichokufanya Moshi?

Shahidi: hairuhusiwi

Wakili Kibatala: Je, inaruhusiwa kumfunga mtu pingu miguuni na mikononi na kumining'iza na kumpiga na marungu kwenye unyayopaka hawezi kutembea?

Shahidi: hairuhusiwi

Wakili Kibatala: Je Tazara ni kituo Class A au B?

Shahidi: hilo sifahamu

Wakili Kibatala: Ulizungumzia kuwa ulimtoa mtuhumiwa kutoka Central kwenda Mbweni?

Shahidi: ndiyo

Wakili Kibatala: Central ulipomtoa mtuhumiwa ni Class A au B?

Shahidi: class A

Wakili Kibatala: kwa hiyo ulimtoa kituo Class A kwenda class A?

Shahidi: ndiyo

Wakili Kibatala: Je unafahamu kuwa taratibu za kumsafirisha mtuhumiwa kwenda popote zimewekwa kwenye PGO?

Shahidi: hilo sifahamu

Wakili Kibatala: PGO inasema kuwa wakati wa kumhamisha mtuhumiwa kutoka Point moja kwenda kwenye point nyingine inatakiwa kuandikwa Detention Register.?

Shahidi: hilo sifahamu

Wakili Kibatala: wewe ulikuwa Arresting Officer.?

Shahidi: ndiyo

Wakili Kibatala: Jaji akimaliza kuandika mwambie kuwa ni kwa PGO ya ngapi

Shahidi: Hapana sifahamu

Wakili Kibatala: Unafanya kazi kwa kutumia PGO au mazoea?

Shahidi: kwa taratibu mbalimbali

Wakili Kibatala: ikiwepo PGO

Shahidi: NDIYO

Wakili Kibatala: Je unafahamu lolote kuhusu Moses Lijenje na umezungumzia hapa hatima ya Moses Lijenje?

Shahidi: Sikuzungumzia

Wakili Kibatala: Je unafahamu lolote kuhusu utaratibu wa kumtangaza mtuhumiwa kwa kutumia tangazo?

Shahidi: Hapana

Wakili Kibatala: umezungumzia kuhusu KUMFUNGA Pingu mshtakiwa, Je kuna sehemu yoyote umezungumzia KUMFUNGUA pingu mshtakiwa ?

Shahidi: Kwenye maelezo yangu siku zungumzia..

Wakili Kibatala: Wakati wakili John Mallya anakuhoji kuhusu chakula alikuhoji kuhusu kiwango cha chakula mtuhumiwa alipewa, unafahamu PGO imezungumzia kiwango, kiasi na aina gani ya chakula ambacho mtuhumiwa anapaswa kupewa akiwa chini ya Ulinzi? je Unafahamu?

Shahidi:
Hapana, sifahamu

Wakili Kibatala: Umezungumzia kupewa chakula watuhumiwa wakiwa Boma Ng'ombe na Himo je umezungumzia kuhusu watuhumiwa kupewa chakula wakiwa kituo cha polisi Moshi?

Shahidi:
Hapana sikuzungumzia

Wakili Kibatala: Je umezungumzia kuhusu kuwapekua watuhumiwa mauongoni ulipowakuta, Je kwa mujibu wa PGO inaruhusiwa kumfanyia mtu Upekuzi maungoni mbele za Watu?

Shahidi:
Ndiyo inaruhusiwa

Wakili Kibatala: PGO ipi?

Shahidi:
sifahamu

Wakili Kibatala: akusomea PGO 272(5) inayozungumzia kumpekua mtu mauongoni, PGO inasema kwa Kuanzia Kichwani, Kushuka chini... hapa mwisho inasema nobody search in Public view..

Shahidi:
mheshimiwa inaruhusiwa Kwa mujibu wa PGO

Wakili Kibatala: Je, PGO inaruhusu kumpekua mtu maungoni hadharani?

Shahidi:
inaruhusu

Wakili Kibatala: Nikikupa PGO utaonyesha ni wapi?

Shahidi:
ndiyo..

Peter Kibatala anamkabidhi shahidi PGO


Shahidi:
PGO inaruhusu isipokuwa kama utamvua mtu nguo, kuchuchumaa inakatazwa..

Jaji: ungesoma kama wakili Kibatala anavyosoma au ungependa kuelezea?


Shahidi:
ingependa kuelezea tu..

Wakili Kibatala: Je UNASOMA PGO au HUSOMI?

Shahidi:
SI SO MI Mheshimiwa JAJI

Wakili Kibatala: Ahsante, sasa ngoja Jaji aaandike umekataa kusoma PGO kwa unachokisema..


Wakili Kibatala:
Unafahamu Diary ya Afisa wa Polisi?

Shahidi:
Ndiyo

Wakili Kibatala: wewe ni Gazetted au siyo Gazetted Officer?

Shahidi:
Siyo Gazetted Officer

Wakili Kibatala: Unafahamu PGO inazungumzia Afisa wa Polisi wa cheo kama cha kwako anapotoka eneo la kazi?

Shahidi:
siyo Gazetted Officer

Wakili Kibatala: Je unafahamu RPC anatakiwa kukupa wewe ruhusa?

Shahidi:
Ndiyo nafahamu

Wakili Kibatala: Je unafahamu RPC anatakiwa kukupa wewe ruhusa?

Shahidi:
Siyo RPC pekee yake

Wakili Kibatala: Je nani mwingine?

Shahidi:
RPC, RCO na Staff Officer

Wakili Kibatala: Je Ruhusa ya kipolisi inatolewa kwa maandishi au kwa mdomo?

Shahidi:
maandishi

Wakili Kibatala: Je umetoa nyaraka (Movement Order) Mahakamani.?

Shahidi:
PGO inasema Officer ambaye ni Gazetted haitaji Movement Order na kwa cheo changu Movement yangu ilikuwa inabeba Wengine.

Wakili Kibatala: Tuokoe muda, Sijakuuliza hicho

Shahidi: Muda tunao Mheshimiwa

Jaji: Jibu kuwa ulikuwa na kibali au hukuwa na kibali

Shahidi: ndiyo nilikuwa namjibu

Wakili Kibatala: Jwakati unatoa ushahidi wako hapa na ulionyesha hiyo Movement Order?

Shahidi: ukimaloza inarudishwa ofisini

Wakili Kibatala:
Ulitoa mahakamani au hukutoa?

Shahidi: Haikuhitajika, sikuulizwa lakini ipo..

Wakili Kibatala: Ulitoa au hukutoa?

Shahidi: Sikutoa

Wakili Kibatala: Je unafahamu hata RCO kama afande kingai anasehemu anatakiwa kuripoti?

Shahidi: siwezi kumuongelea Afande wangu.

Wakili Kibatala: ongelea concept unaifahamu au huifahamu, kwa sababu hata mimi nafahamu juu ya mawakili Senior taratibu zao zikoje..

Shahidi: sifahamu

Wakili Kibatala:Umezungumzia mtuhumiwa kuwa na Jacket

Shahidi: ndiyo

Wakili Kibatala: Je unafahamu kuwa hilo Jacket ndilo lililotumika kumfungia machoni asione mtuhumiwa?

Shahidi: Hapana sifahamu

Wakili Kibatala: Je unafahamu anayetakiwa kufanya upekuzi ni afisa wa Polisi mkamataji

Shahidi: yeyote anaweza kufanya upekuzi

Wakili Kibatala: Je nikikupa PGO unaweza kunionyesha popote ambapo polisi yeyote anaweza kufanya upekuzi?

Shahidi: Hapana

Wakili Kibatala: Wakati wote wa kazi yako ulishawahi kufuata PGO ukawa nayo karibu na kuitumia?

Shahidi: Hapana

Wakili Kibatala: Mh. Jaji ni hayo tu, sina swali lingine

Jaji: Ahsante, kila siku naona mtuhumiwa mmoja tu ndiyo anakunywa maji, mmewapa wengine? wapeni Maji wanywe,Askari Magereza Myakague ni haya tunayokunywa wote

Jaji: Mawakili wa Serikali kuna lolote kwa ajili ya Re: examination?

Wakili wa Serikali: tupo tayari

Wakili wa Serikali: nitakuhoji kwa ufafanuzi. je Ijumaa wakati Kibatala anakuhoji ulisema anachanganya PGO ulikuwa una maana gani?

Shahidi: Wakati wakili Kibatala ananihoji alitaka PGO ya 272 leo nashukuru kafanya Research kidogo kwa sababu alikuwa anaongela kuhusu kuchukua Maelezo, Leo ndiyo kanihoji kwa usahihi kuhusu ukamataji..

Wakili wa Serikali: Hiyo PGO inayozungumzia kuhusu maelezo eleza ni kwa namna gani?

Shahidi: wakati unamchukulia maelezo ndiyo unamuhoji kwa kumuonya kama utatumia mahakamani Kama ushahidi

Wakili wa Serikali:wakati Kibatala anakuhoji kuhusu kumtoboa na bisibisi kila kitu ulikuwa unasema hairuhusiwi

Shahidi: Hairuhusiwi kwa mujibu wa katiba zetu, kama torture na vinginevyo..

Wakili wa Serikali: Fafanua kuhusiana kumfunga na mtu kwa Jacket
Mwendelezo wa hili hapo kwa wakili wa serikali tunaendelea hapo
 
ha ha ha ha, Shahidi kashagoma !!!

SISOMI...

2935469_E_t4qvjWYAQxp9b.jpg
Asomi kashajua yaliyomo yatamvuruga kichwa hana clue yoyote
 
Yaani hawa Policcm walienda kukamata watuhumiwa wa ugaidi kama wanaenda kamata vibaka wa kuku?
Haaaaa inashangaza aisee hawana weredi kabisa ndio taabu ya hawa askari wetu kua zero vichwani,
Wao kupokea maagizo ya wanasiasa na wanajifanyia mambo kienyeji kama makondoo yaliyokosa mchungaji

Ona sasa wanavyoaibika kwa weupe wao vichwani!

Only in Afrika!
 
Shahidi: Unampekua kwa kumwambia nyoosha mikono Juu, kwa kugeukia ukuta na kuushika, na mwisho wa kumpekua ni kumwambia kaa chini


Lmaooo 😂
 
Jaji ameingia Mahakamani.

Kesi Na. 16 ya mwaka 2021 inatajwa

Kesi namba 16 ya 2021, jamhuri dhidi ya Khalfan Bwire, Adam Hassana Kasekwa (Adamoo), Mohammed Abdalah Ling'wenya na Freeman Aikael Mbowe

Jaji anamuita Wakili wa Serikali...

Wakili wa Serikali anatambulisha Jopo lake
  1. Robert Kidando
  2. Nassoro Katuga
  3. Ignas Mwanuka
  4. Esther Martin
  5. Tulumanywa Majigo
Pia anawatambulisha mawakili na mawakili wengine watatu.

Mawakili upande wa Utetezi wanatambulishwa
  1. Peter Kibatala
  2. Jeremiah Mtobesya
  3. Fred Kihwelo
  4. John Malya
  5. Gaston Garubindi
  6. Seleman Mtauka
  7. Michael Mwangasa
  8. Evaresta Kisanga
  9. Khadija Aron
  10. Maria Mushi
  11. Deogratius Mahinyila
  12. Nashon Nkungu
  13. Jebra Kambole
Anasema anamtambulisha Wakili Fredrick Kihwelo kwa sababu maalum

Mawakili wa mshtakiwa wa kwanza ni Jeremiah Mtobesya na Nashon Nkungu.
Mshtakiwa wa tatu atawakilishwa na Dickson Matata na Fredrick Kihwelo
Mshtakiwa wa pili atawakilishwa na John Mallya
Mawakili wengine wote watamwakilisha mshtakiwa wa nne

Jaji anauliza kama mawakili wa serikali wanalolote Juu ya ingizo Jipya la wakili Fredrick Kihwelo kama kuna mgongano wa maslahi.

Wakili wa Serikali anasema hakuna tatizo kwa sababu tangu kesi ianze hajaonekana kwenye Column yoyote.

Jaji: hiyo wakili Fredrick Kihwelo anamshikia mikoba wakili Dickson Matata au atakuwa moja kwa moja kwa mshtakiwa watatu?

Kibatala: kuanzia leo mshtakiwa watatu atawakilishwa na wakili Fredrick Kihwelo na kusaidiana na Dickson Matata ambaye leo hayupo mahakamani

Wakili wa Serikali anahoji mshtakiwa mwenyewe anasemaje baada ya kumsikiliza Kibatala

Jaji: hilo tayari nimeshaliongelea kuwa baada ya utambulisho wa Kibatala nitamuhoji Mshtakiwa

Jaji: Ling'wenya bila shaka umesikia?

Ling'wenya: Nimesikia Mh. nakubaliana na Wakili Kibatala

Jaji: Kuna taarifa gani kuhusiana na Wakili Dickson Matata kutokwepo mahakamani?

Kibatala: Ana appear mbele ya Jaji mwingine wa mahakama Kuu ambaye ni Jaji Senior

Jaji: Kama hakuna session inayoendelea huko mahakamani anaweza kuomba udhuru huko, Otherwise ni mahakama ya Rufaa na pia kama kuna kesi inaendelea huko Seniority inatake place.

Jaji: Ila ni vizuri tukawa tunajua na mjue katika kesi, kesi za Jinai zinapewa kipaumbele kuliko kesi za madai, ni vizuri tujue ni kesi gani aliyopo huko.

Kibatala: Sina Details sana ila ukiniruhusu naweza kumuuliza ili ujaze.

Jaji: Je, mawakili wa serikali kuna jambo lolote la kuongezea?

Wakili wa Serikali: Hatuna mheshimiwa

Jaji: Sawa, upande wa Serikali mpo tayari?

Wakili wa serikali: Nadhani tulikuja kwa ajili ya kesi ndogo na kuna shahidi alihitajika kuendelea, shahidi yupo tayari kuendelea

Jaji: Mawakili wa utetezi, mpo tayari kuendelea?

Kibatala: Ndiyo mheshimiwa.

Jaji: Shahidi aliyebakiza ushahidi wake apande kizimbani tuendeleee

Jaji: siku ya Ijumaa tulikuapisha, Nakukumbusha kuwa kiapo chako kinaendelea

Shahidi: Sawa Mheshimiwa

Kibatala: Unakumbuka mara ya mwisho wakati unatoa ushahidi ulisema mkiwa maeneo ya Boma Ng'ombe washtakiwa walikula Chakula. Je, unakumbuka walikula chakula gani?

Shahidi: Ndizi, Nyamachoma na MO Energy

Kibatala: Wakati shauri limehairishwa tulituma mtu huko Boma Ng'omba na Siha kutokana na unyeti wa Kesi, Je unakumbuka Jina la Muhudumu?

Shahidi: Hapana sikumbuki.

Kibatala: Je, unakumbuka jinsia yake aliyewahudumia?

Shahidi: Hapana, tulikuwa kwenye gari, Chakula afande Kingai ndiye aliyeleta

Kibatala: Je, ni mara ngapi umekuwa na watuhumiwa na kuwapatia chakula?

Shahidi: Ni jambo la kawaida mkiwa kwenye operesheni kumpatia mtu chakula

Kibatala: unafahamu PGO imetaja utaratibu wa kupatia chakula watuhumiwa?

Shahidi: Sifahamu

Kibatala: unafahamu kuwa PGO ndiyo ina maelekezo ya pekee juu ya utaratibu wa kumpatia chakula Mtuhumiwa?

Shahidi: na sheria mbalimbali siyo tu PGO

Kibatala: Zitaje

Shahidi: Sifahamu

Kibatala: Unafahamu kwa Mujibu wa taratibu za Tanzania na kimataifa kuna hotuba inayotambua kuwa na vikosi maalum vya ugaidi Tanzania.. Je unamfahamu?

Shahidi: Ungemfuata aliyesema umuulize

Jaji: Shahidi anakuuliza wewe!

Kibatala: Je, kuna sehemu yoyote umejitambulisha wewe ni mmoja ya kikosi Maalum cha kupambana na magaidi Tanzania?

Shahidi: Hapana

Kibatala: Je, inaruhusiwa wakati wa kumuhoji mtuhumiwa kumchoma choma na bisibisi?

Shahidi: Hapana hairusiwi

Kibatala: Je inaruhusiwa kumchoma choma mtuhumiwa na bisibisi na kumwambia tutakufanya kama tulichokufanya Moshi?

Shahidi: Hairuhusiwi

Kibatala: Je, inaruhusiwa kumfunga mtu pingu miguuni na mikononi na kumining'iza na kumpiga na marungu kwenye unyayopaka hawezi kutembea?

Shahidi: Hairuhusiwi

Kibatala: Je, Tazara ni kituo Class A au B?

Shahidi: Hilo sifahamu

Kibatala: Ulizungumzia kuwa ulimtoa mtuhumiwa kutoka Central kwenda Mbweni?

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Central ulipomtoa mtuhumiwa ni Class A au B?

Shahidi: Class A

Kibatala: Kwa hiyo ulimtoa kituo Class A kwenda class A?

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Je, unafahamu kuwa taratibu za kumsafirisha mtuhumiwa kwenda popote zimewekwa kwenye PGO?

Shahidi: Hilo sifahamu

Kibatala: PGO inasema kuwa wakati wa kumhamisha mtuhumiwa kutoka Point moja kwenda kwenye point nyingine inatakiwa kuandikwa Detention Register.?

Shahidi: Hilo sifahamu

Kibatala: Wewe ulikuwa Arresting Officer.?

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Jaji akimaliza kuandika mwambie kuwa ni kwa PGO ya ngapi

Shahidi: Hapana sifahamu

Kibatala: Unafanya kazi kwa kutumia PGO au mazoea?

Shahidi: kwa taratibu mbalimbali

Kibatala: ikiwepo PGO

Shahidi: NDIYO

Kibatala: Je, unafahamu lolote kuhusu Moses Lijenje na umezungumzia hapa hatima ya Moses Lijenje?

Shahidi: Sikuzungumzia

Kibatala: Je, unafahamu lolote kuhusu utaratibu wa kumtangaza mtuhumiwa kwa kutumia tangazo?

Shahidi: Hapana

Kibatala: umezungumzia kuhusu KUMFUNGA Pingu mshtakiwa, Je kuna sehemu yoyote umezungumzia KUMFUNGUA pingu mshtakiwa ?

Shahidi: Kwenye maelezo yangu siku zungumzia.

Kibatala: Wakati wakili John Mallya anakuhoji kuhusu chakula alikuhoji kuhusu kiwango cha chakula mtuhumiwa alipewa, unafahamu PGO imezungumzia kiwango, kiasi na aina gani ya chakula ambacho mtuhumiwa anapaswa kupewa akiwa chini ya Ulinzi? je Unafahamu?

Shahidi: Hapana, sifahamu

Kibatala: Umezungumzia kupewa chakula watuhumiwa wakiwa Boma Ng'ombe na Himo, je umezungumzia kuhusu watuhumiwa kupewa chakula wakiwa kituo cha polisi Moshi?

Shahidi: Hapana sikuzungumzia

Kibatala: Je, umezungumzia kuhusu kuwapekua watuhumiwa mauongoni ulipowakuta, Je kwa mujibu wa PGO inaruhusiwa kumfanyia mtu Upekuzi maungoni mbele za Watu?

Shaidi: Ndiyo inaruhusiwa

Kibatala: PGO ipi?

Shahidi: sifahamu

Kibatala: nakusomea PGO 272(5) inayozungumzia kumpekua mtu mauongoni, PGO inasema kwa Kuanzia Kichwani, Kushuka chini... hapa mwisho inasema nobody search in Public view.

Shahidi: mheshimiwa inaruhusiwa Kwa mujibu wa PGO

Kibatala: Je, PGO inaruhusu kumpekua mtu maungoni hadharani?

Shahidi: inaruhusu

Kibatala: Nikikupa PGO utaonyesha ni wapi?

Shahidi: ndiyo..

Peter Kibatala anamkabidhi shahidi PGO

Shahidi: PGO inaruhusu isipokuwa kama utamvua mtu nguo, kuchuchumaa inakatazwa.

Jaji: ungesoma kama wakili Kibatala anavyosoma au ungependa kuelezea?

Shahidi: Ningependa kuelezea tu..

Kibatala: Je, UNASOMA PGO au HUSOMI?

Shahidi: SISOMI Mheshimiwa JAJI

Kibatala: Ahsante, sasa ngoja Jaji aaandike umekataa kusoma PGO kwa unachokisema.

Kibatala: Unafahamu Diary ya Afisa wa Polisi?

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Wewe ni Gazetted au siyo Gazetted Officer?

Shahidi: Siyo Gazetted Officer

Kibatala: Unafahamu PGO inazungumzia Afisa wa Polisi wa cheo kama cha kwako anapotoka eneo la kazi?

Shahidi: Siyo Gazetted Officer

Kibatala: Je unafahamu RPC anatakiwa kukupa wewe ruhusa?

Shahidi: Ndiyo nafahamu

Kibatala: Je unafahamu RPC anatakiwa kukupa wewe ruhusa?

Shahidi: Siyo RPC pekee yake

Kibatala: Je nani mwingine?

Shahidi: RPC, RCO na Staff Officer

Kibatala: Je Ruhusa ya kipolisi inatolewa kwa maandishi au kwa mdomo?

Shahidi: maandishi

Kibatala: Je umetoa nyaraka (Movement Order) Mahakamani.?

Shahidi: PGO inasema Officer ambaye ni Gazetted haitaji Movement Order na kwa cheo changu Movement yangu ilikuwa inabeba Wengine.

Kibatala: Tuokoe muda, Sijakuuliza hicho

Shahidi: Muda tunao Mheshimiwa

Jaji: Jibu kuwa ulikuwa na kibali au hukuwa na kibali

Shahidi: Ndiyo nilikuwa namjibu

Kibatala: Wakati unatoa ushahidi wako hapa na ulionyesha hiyo Movement Order?

Shahidi: Ukimaloza inarudishwa ofisini

Kibatala: Ulitoa mahakamani au hukutoa?

Shahidi: Haikuhitajika, sikuulizwa lakini ipo..

Kibatala: Ulitoa au hukutoa?

Shahidi: Sikutoa

Kibatala: Je, unafahamu hata RCO kama afande kingai anasehemu anatakiwa kuripoti?

Shahidi: Siwezi kumuongelea Afande wangu.

Kibatala: Ongelea concept unaifahamu au huifahamu, kwa sababu hata mimi nafahamu juu ya mawakili Senior taratibu zao zikoje.

Shahidi: Sifahamu

Kibatala: Umezungumzia mtuhumiwa kuwa na Jacket

Shahidi: ndiyo

Kibatala: Je, unafahamu kuwa hilo Jacket ndilo lililotumika kumfungia machoni asione mtuhumiwa?

Shahidi: Hapana sifahamu

Kibatala: Je, unafahamu anayetakiwa kufanya upekuzi ni afisa wa Polisi mkamataji

Shahidi: Yeyote anaweza kufanya upekuzi

Kibatala: Je nikikupa PGO unaweza kunionyesha popote ambapo polisi yeyote anaweza kufanya upekuzi?

Shahidi: Hapana

Kibatala: Wakati wote wa kazi yako ulishawahi kufuata PGO ukawa nayo karibu na kuitumia?

Shahidi: Hapana

Kibatala: Mh. Jaji ni hayo tu, sina swali lingine

Jaji: Ahsante, kila siku naona mtuhumiwa mmoja tu ndiyo anakunywa maji, mmewapa wengine? wapeni Maji wanywe,Askari Magereza Myakague ni haya tunayokunywa wote

Jaji: Mawakili wa Serikali kuna lolote kwa ajili ya Re: examination?

Wakili wa serikali: Tupo tayari

Wakili wa Serikali: Nitakuhoji kwa ufafanuzi. Je, Ijumaa wakati Kibatala anakuhoji ulisema anachanganya PGO ulikuwa una maana gani?

Shahidi: Wakati wakili Kibatala ananihoji alitaka PGO ya 272 leo nashukuru kafanya Research kidogo kwa sababu alikuwa anaongela kuhusu kuchukua Maelezo, Leo ndiyo kanihoji kwa usahihi kuhusu ukamataji.

Wakili wa Serikali: Hiyo PGO inayozungumzia kuhusu maelezo eleza ni kwa namna gani?

Shahidi: wakati unamchukulia maelezo ndiyo unamuhoji kwa kumuonya kama utatumia mahakamani Kama ushahidi

Wakili wa Serikali: Wakati Kibatala anakuhoji kuhusu kumtoboa na bisibisi kila kitu ulikuwa unasema hairuhusiwi

Shahidi: Hairuhusiwi kwa mujibu wa katiba zetu, kama torture na vinginevyo.

Wakili wa Serikali: Fafanua kuhusiana kumfunga na mtu kwa Jacket

Shahidi: Kama nilivyomuuliza wakili Kibatala hairuhusiwi na hakuna haja ya kufanya hivyo

Wakili wa Serikali: Hakuna sehemu uliomba ruhusa kufuata Notebook yako hapa Mahakamani, kwanini ulifanya hivyo?

Shahidi: Sikuhitaji kwa sababu yote niliyoyaeleza nilikuwa nayakaumbuka

Wakili wa Serikali: Uliulizwa swali kuwa hukuandika katika maelezo yako kama mliwapatia chakula Adam kasekwa mkiwa Boma Ng'ombe na Himo

Shahidi: Sikuandika katika maelezo yangu kwa sababu nili' focus katika mambo ya ukamataji

Wakili wa Serikali: Uliulizwa hapa pia kuhusiana na uhitaji wa movement Order kutoka kituo chako cha kazi, Kwanini hukuileta hapa mahakamani?

Shahidi: Kwa mujibu wa taratibu, Polisi ukimaliza kuitumia Movement Order umarudisha ofisini, nikaendelea na kazi.

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Mimi ni hayo hatuna kingine..

Jaji: Shahidi tunashukuru umemaliza ushahidi wako unaweza kwenda sasa..

Shahidi anatoka kizimbani.

Jaji: Upande wa Serikali.

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa tunaomba kuendelea na shahidi wa tatu..

Jaji: sawa Mleteni Shahidi wa 3 Mahakama ipo kimya.

---

Shahidi wa tatu amefika

Jaji
: Shahidi jitambulishe

Shahidi: Naitwa Askari namba H2343, afande Msemwa

Jaji: Apa

Shahidi: Mimi Afande H2343 naapa Ninachosema kitakuwa kweli, Eeh! Mwenyezi Mungu nisaidie

Jaji: Anayehoji nani upande wa serikali?

Wakili wa Serikali: MIMI NASSORO KATUGA

Wakili wa Serikali: Shahidi ungependa kusimama au kukaa?

Shahidi: Kusimama

Wakili wa Serikali: Kituo chako cha Polisi ni wapi?

Shahidi: Kituo cha Polisi Oysterbay

Wakili wa Serikali: upo tangu lini?

Shahidi: Mwaka huu January/February

Mawakili wa Serikali: Umeajiriwa mwaka gani? Shahidi: 2013 Wakili wa Serikali: Ulianzia kituo gani?

Shahidi: Nilianzia Polisi Ilala na baadae nikahamia Central Polisi

Wakili wa Serikali: Central ulikuwa mpaka lini?

Shahidi: 2014 Mwanzoni Mpaka Mwaka jana mwishoni kuanzia January 2021 nikaenda Oysterbay

Wakili wa Serikali: Oyesterbay upo kitengo gani?

Shahidi: Upelelezi

Wakili wa Serikali: Ukiwa Central Polisi Ilala ulikuwa unafanya kazi gani?

Shahidi: Nilikuwa General Duty sisi ambao tunavaa uniform kawaida tofauti na wale wa kofia nyekundu FFU

Wakili wa Serikali: Ulikuwa na Jukumu gani?

Shahidi: Nilikuwa nalinda raia na mali zao.

Shahidi: Doria na ukaaji wa point pamoja na kuwa chumba cha mashtaka

Wakili wa Serikali: Umezungumzia chumba cha mashtaka ni nini?

Shahidi: Ni pale wanapokaa Askari (CRO) kwa ajili ya kupokea taarifa mbalimbali na ufunguaji wa kesi na kupokea watuhumiwa wanaoletwa

Wakili wa Serikali: Watuhumiwa wanaoletwa kutoka wapi?

Shahidi: Sehemu mbalimbali

Wakili wa Serikali: Unasema ulikuwa kwenye chumba cha mashitaka, ufanyaji kazi unakuwa ni Vipi?

Shahidi: Kwanza lazima kiwe na CRO incharge kazi utakazofanya ni zile utazopewa na CRO incharge

Jaji: naona Joto ni kali, naomba madirisha yafunguliwe.

Wakili wa Serikali: Naweza kukumbushwa alipoishia?

Jaji: CRO panakuwa na Incharge

Wakili wa Serikali: Enheee Endelea...

Shahidi: Unakuwa unafanya majukumu unayopewa na Incharge.

Wakili wa Serikali: Iambie mahakama sasa kwa ufupi sana mnapokuwa mnapokea watuhumiwa nini kinafanyika?

Shahidi: Mnapopolea watuhumiwa kuna taratibu zake ukiwa CRO kinakamilishwa na kitu kinaitwa DR (Detention Register)

Wakili wa Serikali: Iambie mahakama ni kitu gani

Shahidi: Ni kitabu kinachotunza kumbukumbu za kituo cha Polisi

Wakili wa Serikali: Kwa namna gani!?

Shahidi: Kuna taratibu zake za kumpokea mtuhumiwa na askari anayekuwa chumba cha mashtaka uzifahamu.

Wakili wa Serikali: Iambie Mahakama ni taratibu gani..

Shahidi: Kwanza wakati unamuhoji ni Kumpekua ili wakati unampekua unakuwa mpo nae salama

Wakili wa Serikali: Wakati mnampekua mnafanya utaratibu gani?

Shahidi: Chochote kinaweza kuanza kuhojiwa na kumpekua

Shahidi: Kiuhalisia nilichofundishwa CCP kuwa mtu anapokuwa amekamatwa anakuwa na Mawazo yeye mwenyewe

Wakili wa Serikali: Mimi sitaki mawazo yako, sasa wewe unafanya kitu gani?

Shahidi: kuhakikisha haingii na kitu chenye madhara Mahabusu..

Wakili wa Serikali: Kingine?

Shahidi: Kumuingiza kitabu cha mahabusu (Detention Register)

Wakili wa Serikali: Unampekuaje?

Shahidi: Unampekua kwa kumwambia nyoosha mikono Juu, kwa kugeukia ukuta na kuushika, na mwisho wa kumpekua ni kumwambia kaa chini

Wakili wa Serikali: unamhoji kwa namna gani

Shahidi: Kama Mtuhumiwa analetwa kwa kesi ambayo imeshafunguliwa anatakiwa awe na Case reference namba yake

Wakili wa Serikali: Kesi inayokuwa imefunguliwa wapi?

Shahidi: Popote pale ndani ya Tanzania

Wakili wa Serikali: Hiyo Reference inahusisha vitu gani?

Shahidi: Reference ndiyo kitu kinafahamila sana Mtaani RB, mfano kesi za Oysterbay zinakuwa na neno Kifupisho OB kwa maana Oysterbay Mkwaju, RB kwa maana imeripotiwa

Wakili wa Serikali: Hiyo ya Oysterbay je ya Central?

Shahidi: Cental ni neno CD na reference namba kesi ilianza kupelelezwa inakuwa na IR badala ya RB

Wakili wa Serikali: Baada ya namba nini kingine analeta?

Shahidi: na Jina la kosa analokuwa ametenda

Wakili wa Serikali: Vitu gani Vingine?

Shahidi: Unapata Particulars kwa aliyemleta mtuhumiwa na zingine kwa mtuhumiwa mwenyewe.

Wakili wa Serikali: zipi hizo?

Shahidi: Majina, Miaka yake, Jinsia yake..

Wakili wa Serikali: Jinsia ukimaanisha?

Shahidi: Kama ni mwanamke au mwanaume

Jaji: Wewe unajuaje?

Shahidi: Namkagua pia kuthibitisha

Wakili wa Serikali: Kingine?

Shahidi: Hali yake ya Ki afya

Wakili wa Serikali: Akikujibu wewe unafanyaje?

Shahidi: Lazima ujiridhishe kama mgongoni unaweza kumkagua

Wakili wa Serikali
: Iambie Mahakama kwenye ukaguzi wa jinsia mnafanya kitu gani?

Shahidi: Ni kujihakikishia physically

Jaji: Ina maana mwanamke unamkagua wewe?

Wakili wa Serikali: Ndiyo nilichotaka ila niliogopa nisije kuonekana namuongoza

Shahidi: CRO panakuwa na Askari wa kike kwa Ukaguzi wa Mwanamke. Akiletwa mwanamke ukaguzi utafanywa na Askari wa Kike

Wakili wa Serikali: Tarehe 7 Mwezi wa 8 2020 Ulikuwa wapi

Shahidi: Nilikuwa bado sijahamia Oysterbay nilikwa bado mkoa wa kipolisi Ilala, Central

Wakili wa Serikali: Unakumbuka nini siku hiyo?

Shahidi: Niliiingia kazini, nilikuwa na zamu ya CRO shifti

Wakili wa Serikali: Unaposema CRO shift unamaana gani?

Shahidi: Pale CRO panakuwa na Shift sababu tunafanya kazi masaa 24 kwa hiyo tunafanya kazi kwa zamu
Uwakili wa kitundu lissu hautafua daffu. Hapa instafutwa haki iko wapi sio nani anauliza maswali ya mtego. Mtego mkuu kama mbowe gaidi ndio utanasa mtu.
 
Back
Top Bottom