Kazetela
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 1,714
- 1,642
Jinsi anavyojichanganya ndivyo point zake zinaporomokaHuyu si alikataa kuwa yeye sio Gazetted Officer, hapa anasema yeye ni Gazetted Officer
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jinsi anavyojichanganya ndivyo point zake zinaporomokaHuyu si alikataa kuwa yeye sio Gazetted Officer, hapa anasema yeye ni Gazetted Officer
na yawezekana Kingai akafunguliwa mashtaka ya matumizi mabaya ya fweza za serikaliKuna mtego ambao bado hawajaelewana. Unawaza kudai kwamba walikula hivyo vitu. Je wakati wakiagiza nyama choma, ndizi na Mo Energy walipewa risiti? Na hizo pesa zilifanyiwa retirement kama utaratibu wa malipo ya pesa za umma unavyohitaji? Mwisho wa siku kukosekana kwa vidhibiti (risiti na fomu za retirement) kutaleta shida kwa upande wa mashuhuda walioshuhudia kama mahabusu walikula ama hawajala wakati wakisafirishwa.
Points unadhani ni masumbwi hayoJinsi anavyojichanganya ndivyo point zake zinaporomoka
Mwanzo alikataa sio Gazetted officer, sasa hivi anajieleza kuwa yeye ni Gazetted officer haitaji kuripoti popote kwa movement orderYeye ni gazetted officer au sio...mbona simuelewi
Kingereza kitupu mzee mwenzanguMkuu PGO imeandikwa kingereza au kiswahili maana jamaa karuka vibaya mno
mtiririko umekuzidia unataka kuuvuruga au???Unasaidiwa na sisi masela unakuja kujigamba humu ,Toto la jirani mangi pale Kona
USSR
Ohoo kazi ya Jaji Ni Nini hapo karagabahoPoints unadhani ni masumbwi hayo
USSR
Yaani hapo kashachanganyikiwa...[emoji1787][emoji1787]Huyu si alikataa kuwa yeye sio Gazetted Officer, hapa anasema yeye ni Gazetted Officer
Ni hatari sana. Nakumbuka jinsi wakili Lakha alivyosababisha baadhi ya mashahidi kuomba udhuru. Unahojiwa mpaka unajiona wewe sio shahidi bali ni mtuhumiwa wa kesi ya Uhaini!!!na yawezekana Kingai akafunguliwa mashtaka ya matumizi mabaya ya fweza za serikali
Imeandikwa kwa KiingerezaMkuu PGO imeandikwa kingereza au kiswahili maana jamaa karuka vibaya mno
Huo mkanganyiko lazima maana mambo ya kutunga huwa hayapatani na maswali chonganishi!!Mwanzo alikataa sio Gazetted officer, sasa hivi anajieleza kuwa yeye ni Gazetted officer haitaji kuripoti popote kwa movement order
Ndio namimi nimeshangaa...kweli pale kizimbani tupasikie tuMwanzo alikataa sio Gazetted officer, sasa hivi anajieleza kuwa yeye ni Gazetted officer haitaji kuripoti popote kwa movement order
Pale ukienda kibavicha panamoto sema sisi tumezoeaNdio namimi nimeshangaa...kweli pale kizimbani tupasikie tu
Halafu huyo ni Afisa Msomi wa Polisi tena Inspector asiejua ABC za majukumu yake afanyayo kila sikuHivi navyo ni vituko tupu hivi huyu shahidi yani kila kitu hafahamu mbona ni mbumbu sana aiseee.... Hivi jamhuri kwanini hawa waandai mashahidi wao? hii ni aibu sana aiseee yani kila swali sifahamu, sifahamu, sifahaamu ......
Tulia hapa tunafatilia mambo ya msingi na kujifunza sio ujinga ujingaPale ukienda kibavicha panamoto sema sisi tumezoea
USSR
Duuh, kama ndiyo hivyo leo atabanwa haja kubwa huyoKingereza kitupu mzee mwenzangu
ha ha ha ha, Shahidi kashagoma !!!Shahidi: SI SO MI Mheshimiwa JAJI
Iko kwa lugha ya malkiaPGO imeandikwa kingereza au kiswahili maana jamaa karuka vibaya mno