Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Wakati mwingine hakuna kumung'unya maneno!Niliko mimi hakuna uhusiano wowote na hili jambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati mwingine hakuna kumung'unya maneno!Niliko mimi hakuna uhusiano wowote na hili jambo
Unasaidiwa na sisi masela unakuja kujigamba humu ,Toto la jirani mangi pale KonaNina Bonge la Mke yaan Booonge la mke. boooonge la mwanamke alafu amenizalia mtoto mzuriiiiiiiii yaan Toto langu la kiume ni li HB balaaaaa
Unagongewa mke unakuja kuleta sifa jf tutafukua hapa utakimbia waulize bavicha wenzako mm sio wa kukimbilia utapotea hapaSi tumekubaliana ya kwetu tunamalizana hapahapa bila upande watatu kujua.?.
Sasa hujui, ungewatag, omba Shoga yako, akusaidie kuwatag hapo
Waje waone.
Mkuu mpuuzi hupuuzwa, mjinga huelimishwa lakini upumbavu ni next level kudeal nao inahitaji mbinu mbadala!Achana na huyo bibi
Wakati hao wakiwa na kilio, wewe utakua na kicheko?SHIDA NI KUWA MNASHANGILIA KESI BADALA YA KUSUBIRI EITHER KUSHANGILIA AU KULIA WAKATI WA HUKUMU MNAONA KESI NI NYEPESI LAKINI MWISHO MTAKUJA KULIA KILIO CHA MBWA MWIZI
yessWakati hao wakiwa na kilio, wewe utakua na kicheko?
Mkuu hata tukisema umchukue tukuongeze na hela hutaki?NARUDIA KUKUAMBIA, HATA HAYO MAANDIKO, NINAYAJUA KULIKO HATA UNAVYORUKA RUKA NA VIFUNGU.
NA NIHAYO MAANDIKO AMBAYO NDANI YAKE KUNA " SIFA ZA MKE BORA"... KASOME ..WIMBO ULIO BORA
UJISAIDIE KUJUA NI WAPI UMEPUNGUA.
KUKUAMBIA WEWE HATA BURE SICHUKUI, MAANA YANGU NI KWAMBA MIMI NI SELECTIVE, SIO MWANAUME WA WA MWANAMKE YOYOTE ILIMRADI ANA K.
MIMI NI MWANAUME WA MWANAMKE ,MAKINI, BORA, SMART WA KICHWANI, MWILI, ULIMI, MOYO NA MCHAJI WA MUNGU WA KWELIKWELI.
mimi sio MWANAUME wa mwanamke kama wee ambaye Ulimi wako na Akili yako na Moyo wako vinapishana sanaaaaaaaaaa , mimi sio mwanaume wa mwanamke kama wee ambaye ni wazi unasema kitu ambacho hukimaanishi.
Mimi sio mwanaume wa mwanamke mdhaifu kama wewe.
Mimi sio mwanaume wa mwanamke Mwenye Ukinyonga kama wewe.
Mimi sio mwanaume wa mwanamke KIPOFU KAMA WEWE .
Mimi sio Mwanaume wa mwanamke MBINAFSI ,ATAFUTAYE FAIDA ZAKE MWENYEWE kama wewe.
Mimi sio mwanaume wa Mwanamke MNAFIKI KAMA WEWE.
Mimi sio Mwanaume wa Mwanamke asificha udhaifu wa ujinga wake Mbele ya Hadhira .
MIMI NI MWANAUME WA MWANAMKE AMBAYE, AKIPITA MAHALI WATU WATASEMA " HUYU MWANAMKE ,MUMEWE KAPATA ,AMEKAMILIKA KILA MAHALI".
KWA MUKTADHA HUO NARUDIA KUSEMA...WEWE HATA NIPEWE BUREEEE,SIICHUKUII, YAAAN HATA WANIWEKE MSALABANI, WANIGONGE MISUMALI, NA MISHALE, SICHUKUIIIIII
YAAN HATA NIAMBIWE NIKIKUBALI KUA NAWEEE, SHIDA ZANGU ZINAKOMA, SICHUKUIIIIIIIIII
NDUGU ZANGU WANA JF MNIELEWE HAPA... [emoji117] KWA UANAUME NILIONAO MIMI Carlos The Jackal SIWEZI KUCHUKUA HATA KWA BURE HUYU mama D
Vipi mangi anayemla mkeo na wewe kuleta sifa hapa unaliwa na unamsifia tu acha usaidiweEehh wewe umeona Ban ndio njia pekee ya kukusaidia.
Sasa sikiliza nikuambie.. KUNA VIJANA WAKO CCM ,WANAPIGA SIASA SAFI .
Huuu ujinga ujinga kushabikia kila upumbavuu ,NI SIASA UCHWARA.
Tumieni Muda kuandaa MAKALA za kisiasa, Mkimshauri Mama.
Mama anawashangaa kwa mautumbo yenu ya kuchekelea ujinga...Mama sio muumini wa kubambikizia watu Kesi.
KAMA HAMJAMUELEWA MAMA, BASI MNASAFARI NDEFU YAKWENA.
mkuu tungepata kapicha ka huyo shahidi.asiejua kazi yake.
Ha haaa. Kumbe ni wanawake Joni ,ussr,yehodaya,, Elitwege,mkaruka Basi itakuwa wale wavaa dela bila Pichu inAcha kujivika ngozi ya kondoo wewe chui!
Kuna haja gani ya kutumia neno la MUNGU ukijuwa fika upo upande wa dhulma?
Wewe na mwenzio Yehodaya mkiachana na uchumia tumbo ni wanawake mnaooneka mpo fresh tu upstair lakini njaa zinawatia aibu!
Ficha upumbavu wako,hata hujui hii kesi ndogo inahusu nini. By the way akiendelea kunyea debe si ndio lengo na furaha nyie watesi?maswali mengine huwaga ya kupoteza muda tu wakitoka hapo wanaenda nyumbani mbowe anaendelea kwenda kunyea kwenye debe mawakili wa utetezi hamna huruma hata kidogo
haswaaaaa wacha anyee debe sana na manyapara wanafanya vitu vyao pale fasi ya kuyambaFicha upumbavu wako,hata hujui hii kesi ndogo inahusu nini. By the way akiendelea kunyea debe si ndio lengo na furaha nyie watesi?