Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Kheeee... Eti ndiyo inaruhusiwa kumpekuwa mtu maungoni mbele za watu... Anauzwa kwa PGO ipi, eti HAFAHAMU..!! Dah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashangaa sana yaani kila kitu hajui, inaonyesha ABC za kazi anazofanya hazijuiHuyu ndio shahid msomi polisi...je hao wengine?
Yaani aibu naona Mimi,yaani kama Polisi wa Cheo cha Inspector tena msomi wa chuo kikuu hajui mambo madogo kama hayo tena ya utaratibu wa kazi wa kila siku sasa itakuwaje kwa wale wa chini yake wa la Saba na form failure?Huyu ndio shahid msomi polisi...je hao wengine?
Huko uliko kunakutosha kutuliza tako.Ninyi wana CHADEMA mnapenda sana kwenda Mahakamani any time Gaidi Mwenyekigoda akiwa na kesi huko, kwa nini, hamna shughuli nyingine za kufanya? Acheni Mahakama ifanye kazi yake bila mashinikizo au mnalipwa kwenda Mahakamani kufanya fujo? Nina hakika kabisa mkipata matatizo yoyote ya jinai, siyo Koroboi wala Tobo atakaye kuja kuwatetea! Kaeni mkijua hilo ndugu zangu.
Chief katika ubora wako..Ninyi wana CHADEMA mnapenda sana kwenda Mahakamani any time Gaidi Mwenyekigoda akiwa na kesi huko, kwa nini, hamna shughuli nyingine za kufanya? Acheni Mahakama ifanye kazi yake bila mashinikizo au mnalipwa kwenda Mahakamani kufanya fujo? Nina hakika kabisa mkipata matatizo yoyote ya jinai, siyo Koroboi wala Tobo atakaye kuja kuwatetea! Kaeni mkijua hilo ndugu zangu.
Ndio yeye,tena Inspector Msomi wa Chuo Kikuu etiHuyu Shahidi wa sasa hivi ndiye yule Inspekta Mahita?
tupate tangazo la mdhamini
Achia mbali kutoa ushahidi, yaani ni aibu hata kuwa ameajiriwa na jeshi la polisi...Yaani aibu naona Mimi,yaani kama Polisi wa Cheo cha Inspector tena msomi wa chuo kikuu hajui mambo madogo kama hayo tena ya utaratibu wa kazi wa kila siku sasa itakuwaje kwa wale wa chini yake wa la Saba na form failure?
Tupo pamoja mkuu!!tupate tangazo la mdhamini
maswali mengine huwaga ya kupoteza muda tu wakitoka hapo wanaenda nyumbani mbowe anaendelea kwenda kunyea kwenye debe mawakili wa utetezi hamna huruma hata kidogo
Kama yanayoandikwa na Martin M. M uko twitter kuhusiana na hii kesi kama kinachoandikwa ni kweli basi kuna tatizo kubwa kwenye jeshi letu la Polisi.Ndio yeye,tena Inspector Msomi wa Chuo Kikuu eti
ANGETIMIZA UGAIDI WAKE LEOUNGEYASEMA HAYO UNAYOYAWAZA WE KUNGUNI?Mkuu wewe ni mwanadamu tu huna mamlaka na pumzi yako jitahidi sana kutokufurahia mateso ya mwanadamu mwingine.
Wewe umesema unamke mzuri Sana ,umesahau mangi anakusaidia kumridhishaAlafu Ndio unawaita Mods wanipe Ban
Mjinga mmoja wee, kwa hili nmeona wewe ni MSHABIKI MAANDAZI WA CCM....
Natamani kuona CV ya jamaa..chuoni alikuwa anasomea nin?..sababu vingine ni basic tuNashangaa sana yaani kila kitu hajui, inaonyesha ABC za kazi anazofanya hazijui
Acha bhana kumsema sana mtoto wa kike. Siyo jambo jema. Me naamini nyote mpo vizuri lakini kuna sehemu ndogo tu katika huu uzi mmetofautiana.SICHUKUIII BORA MNIHASI .
MNIFANYE UUME USISIMAME ...
Bora umemwambia ukweli aisee mama D Ni mnafiki Sana hafai kuwa mke ht kidogo ...halafu anajifanya kuhubiri neno nyie ndio wapakwa mafuta wa motoniMwanamke kama wewe , unayejua kitu na bado unajiondoa ufaham na kujifanya hujui.
HATA KAMA NI SIASA, ILA UKWELI NI HUFAI HATA KUA MKE WAMTU.
Kuna mambo mengi sana Ndoani kwako. Utayazusha na kuyashupalia shingo., wee ni mfitini .
Huyu si alikataa kuwa yeye sio Gazetted Officer, hapa anasema yeye ni Gazetted Officer