Yaliyojiri kesi ya Mbowe na Wenzake: Upande wa Mashtaka waendelea kutoa ushahidi. Kesi yaahirishwa mpaka Septemba 24, 2021

Yaliyojiri kesi ya Mbowe na Wenzake: Upande wa Mashtaka waendelea kutoa ushahidi. Kesi yaahirishwa mpaka Septemba 24, 2021

Yani hapo alipogoma kusoma PGO ndipo alipo jikaanga kabisa bora hata angeisoma kidogo akafafanua anavyo fikiri japo general order iko clear kabisa...... huyu ndio mmoja wa mashahidi aliyetia fora kabisa aiseee hahahaha
 
Kingereza kitupu mzee mwenzangu

Iko kwa lugha ya malkia

E_s7R_bWUAYbwm8
sasa kwa sisi tulioishia form four " B : tukaenda Sisipii ni balaaa tupu
 
THAT IS !!!.


UNAMCHA MUNGU ALAFU UBONGO ULIMI, MOYO WAKO VYOTE UMEVIPA UPOFU WAKUTOKUJUA HII NI SAHIHI HIYO SIO SAHIHI.



MWANAMKE UNAKUA NA KIWANGO CHA UNAFIKI MPAKA UMEPITILIZA ,ALAFU TENA MACHON MWA MAELFU YA WATU ..


MWANAMKE UNAKOSWA AIBU. YA KUTOKUA MNAFIKI NAKUSEMA VITU USOBIMAANISHA.

WEWEE !!!!.


MWANAMKE KIASILI NI MWENYE HURUMA, HURUMA INAYOMKUMBUSHA ILE SIKU ALIPOKUA CHUMBA CHA KUJIFUNGUA.



KUA MWANACCM KUSIWAFANYE MPOTEZE UTU NA UBINADAMU.


NIYALE YALE, TUNDU LISSU AKAPIGWA RISASI , ANGEULIWA??? WATU HAWAKUWAZA ANAWATOTO, ANATEGEMEWA.


ALAFU MTU MMOJA AKASEMA ' ASKARI WETU HUWA HAKOSEI SHABAA"


WEWEEEEE .
Hivi wale waliokuwa wanamkosa Hamza ni polisi wa Nazareti au Galilaya!!??
 
Wawe na subra

Tunaambiwa.... "Heri mwisho wa neno kuliko mwanzo wake, Na mvumilivu rohoni kuliko mwenye roho ya kiburi. Usifanye haraka kukasirika rohoni mwako, Maana hasira hukaa kifuani mwa wapumbavu."

Mhubiri 7: 8 - 9​

Hapa tumepaniki
 
Hivi navyo ni vituko tupu hivi huyu shahidi yani kila kitu hafahamu mbona ni mbumbu sana aiseee.... Hivi jamhuri kwanini hawa waandai mashahidi wao? hii ni aibu sana aiseee yani kila swali sifahamu, sifahamu, sifahaamu ......
Ushahidi wa kufundishwa ndio matokeo yake haya
 
Ila kiukweli hii mitandao ya kijamii husasani tweeter jf, na clubhouse wanaingilia sana uhuru wa mahakama.
Kila baada ya kesi kunakuwa na uchambuzi kwenye hii mitandao. Naona kabisa jaji akipata tabu kuamua hii kesi. Maana % kubwa ya watu wapo na mbowe na wenzake. Serekali hii kesi itashindwa vibaya sana.

Tunasubiri update ya kinachoendelea huko mahakamani.
Hizi Platform zinatusaidia kuzinduka, maana hapo zamani tulikua tumelala doloooo, jaji kama anajua anachokifanya sio kupindisha haki ni kunyosha sasa awe na hofu ya nini kolo
 
Oyaaa, tuendelee kupeana Updates za kinachoendelea , sauti mzipaze.

Kama aliyeondoka...alitaman awe malaika ili mitandao jamii izimwe.

Basi tambueni mitandao jamii inanguvu.

Wapuuzeni wote wanaojaribu kuwatoa kwa reli...hasa hawa vijana uchwara wa CCM.

vijana wenyewe ndiyo hawa wakina [mention]USSR [/mention] ccm majanga
 
Back
Top Bottom