Yaliyojiri kesi ya Mbowe na Wenzake: Upande wa Mashtaka waendelea kutoa ushahidi. Kesi yaahirishwa mpaka Septemba 24, 2021

Cha ajabu Gazeti la Uhuru lilikuwa linaripoti kila kitu kilichojiri mahakamani. Gazeti lilikuwa linagombewa na kuisha kabla ya saa nne asubuhi, Leo hii mhh!
Sasa hivi kinachofichwa ni dhulma na dunia imebadilika ila wakati ule watu walijua maadili ya kazi zao sasa hivi watu wanatetea matumbo yao haki hakuna anayehitaji ionekane ila wachache sana.
 
Sasa hivi kinachofichwa ni dhulma na dunia imebadilika ila wakati ule watu walijua maadili ya kazi zao sasa hivi watu wanatetea matumbo yao haki hakuna anayehitaji ionekane ila wachache sana.
Hofu imetawala ubongo, badala ya ubongo kuitawala hofu😂🤣
 
Hapo bado ugaidi wenyewe na uhujumu uchumi , mbowe lazima afungwe tu hakuna namna

USSR
 
Mara mseme waliwatesa mara mbona makomandoo waoga mara nini,acha mshuglikiwe inauma sana

USSR
 
Namuona Shetwani akianguka kwa kasi kubwa sana toka juu angani! Asante Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo
Uongo na ukatili hudumu kwa kip;indi kifupi sana!
 
Namuona Shetwani akianguka kwa kasi kubwa sana toka juu angani! Asante Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo
Uongo na ukatili hudumu kwa kip;indi kifupi sana!
Shetani anatokea angani !!!!!!
. USSR
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…