Yaliyojiri kesi ya Mbowe na Wenzake: Upande wa Mashtaka waendelea kutoa ushahidi. Kesi yaahirishwa mpaka Septemba 24, 2021

Yaliyojiri kesi ya Mbowe na Wenzake: Upande wa Mashtaka waendelea kutoa ushahidi. Kesi yaahirishwa mpaka Septemba 24, 2021

Cha ajabu Gazeti la Uhuru lilikuwa linaripoti kila kitu kilichojiri mahakamani. Gazeti lilikuwa linagombewa na kuisha kabla ya saa nne asubuhi, Leo hii mhh!
Sasa hivi kinachofichwa ni dhulma na dunia imebadilika ila wakati ule watu walijua maadili ya kazi zao sasa hivi watu wanatetea matumbo yao haki hakuna anayehitaji ionekane ila wachache sana.
 
Hapo bado ugaidi wenyewe na uhujumu uchumi , mbowe lazima afungwe tu hakuna namna

USSR
 
Yaani hawa Policcm walienda kukamata watuhumiwa wa ugaidi kama wanaenda kamata vibaka wa kuku?
Haaaaa inashangaza aisee hawana weredi kabisa ndio taabu ya hawa askari wetu kua zero vichwani,
Wao kupokea maagizo ya wanasiasa na wanajifanyia mambo kienyeji kama makondoo yaliyokosa mchungaji

Ona sasa wanavyoaibika kwa weupe wao vichwani!

Only in Afrika!
Mara mseme waliwatesa mara mbona makomandoo waoga mara nini,acha mshuglikiwe inauma sana

USSR
 
Namuona Shetwani akianguka kwa kasi kubwa sana toka juu angani! Asante Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo
Uongo na ukatili hudumu kwa kip;indi kifupi sana!
 
Namuona Shetwani akianguka kwa kasi kubwa sana toka juu angani! Asante Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo
Uongo na ukatili hudumu kwa kip;indi kifupi sana!
Shetani anatokea angani !!!!!!
. USSR
 
Back
Top Bottom