Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,779
- 9,999
Jiwe alikua muoga Kama demu Aisee Hadi alikua anatia huruma jamaa Ile 2020 Kwenye kampeni jamaa alikua anaweweseka Kwa spana naona hata kifo chake frustration zinachangia,presha ikapanda moyo ukapata shock!Lissu alishindikana kwa kila njia. Hata kwa Risasi. Mwisho wa siku muuaji kafa yeye
Jiwe was so tired. Hakuweza kujibu hoja za Lissu Licha wa kusaidiwa sana na Tume fake na policcm lakini Bado Lisuu alimzidi kete kwa mbali mnoJiwe alikua muoga Kama demu Aisee Hadi alikua anatia huruma jamaa Ile 2020 Kwenye kampeni jamaa alikua anaweweseka Kwa spana naona hata kifo chake frustration zinachangia,presha ikapanda moyo ukapata shock!
Mambo mengine ni kama Karma!
Wasomi hao wewe ulikimbia umandeDadeki watajuta kujifanya wanaharakati wa mahakama
USSR
Mbowe mvua inamuhusu subiri isangaHoja za sisizo na mashiko za mawakili wa PGO wa Chadema tunazipotezea. Tutamsubiri Mbowe gereza la ISANGA, Dodoma kesi ikiisha.
Weka kesi alizoshinda acha storySSR alikuwa bado mdogo wakati kibatala anashinda kesi.
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Lisu yuko wapi ukimbiziniJiwe alikua muoga Kama demu Aisee Hadi alikua anatia huruma jamaa Ile 2020 Kwenye kampeni jamaa alikua anaweweseka Kwa spana naona hata kifo chake frustration zinachangia,presha ikapanda moyo ukapata shock!
Mambo mengine ni kama Karma!
Nadhani siku hiyo utasherekea sana!Hoja za sisizo na mashiko za mawakili wa PGO wa Chadema tunazipotezea. Tutamsubiri Mbowe gereza la ISANGA, Dodoma kesi ikiisha.
Magu alikuwa na kiburi kuliko wewe.Lisu yuko wapi ukimbizini
USSR
Good for you sir!Lakini Mungu ni wetu sote lolote la weza kutokea kwako Kabla ya MBOWE kufungwa.Kama huamini kaulize Chato.Mbowe mvua inamuhusu subiri isanga
Sure sisi ni vilaza hatuna kesi ya kushinda ndiyo maana tunaaibika mahakamaniMliwahi kushinda kesi gani nyie vilaza wa ufipa
USSR
Watanzania wote watafurahi gaidi akifungwa. Tutakuwa salana zaidi.Nadhani siku hiyo utasherekea sana!
Nadhani siku hiyo ndo itakuuwa ndo mwisho wa mgonjwa ndani ya ukoo wako
Nadhani siku hiyo itakuuwa Ni mwisho wa vifo ndani ya familia yako
Nadhani siku hiyo itakuuwa ndo mwisho wa njaa na umaskini
Mwisho,shetani hajawahi kumshinda Mungu ,hata wewe ukweli unaujua Polisi wenu Ni vilaza Hakuna ushindi Kwenye kesi hiyo Lakini Kwa kuwa mnatumia ROHO za Ibilisi MBOWE atafungwa gereza la DODOMA
halafu ndio wewe utatoka kwenye lindi la ufukara na kuombaomba ulilomo???Hapo bado ugaidi wenyewe na uhujumu uchumi , mbowe lazima afungwe tu hakuna namna
USSR
Jibu zuri sana hili na kama atajibizana baada ya hapa zitakuwa HAZIMTOSHI AU ZINAMBANA!!Sure sisi ni vilaza hatuna kesi ya kushinda ndiyo maana tunaaibika mahakamani
Mzee wangu alipata kuniambia watu wenye upeo mdogo hupenda kujisifu na kujitukuza "salana" ndio nini akilidhoofu???Watanzania wote watafurahi gaidi akifungwa. Tutakuwa salana zaidi.
Watu wengi hawajui kazi ya wakili. Wanadhani mahakamani ni kufika na kupiga porojo. Ona sasa bila maswali hayo tungejuaje kuwa polisi wetu ni zero. Hakuna wanayoyajua.Bwana mdogo Acha Uboya wewe shule imekusaidia Nini zaidi ya kulamba makalio ya mabosi wako pale Lumumba?
Huna fact Toka mwanzo unapiga tu kelele Kama za mbwa Koko humu Kwa malipo ya buku Saba na kununuliwa bando na wanaume wenzio Ili uje upost uharo humu
Wewe ni mweupe Sana kichwani
Badilisha hiyo I'd name jiite LIBOYA la 2021!
Hata akili za kuvukia Barabara inaonekana huna
Kibatala kakuzidi Elimu,Pesa, Exposure na Kila kitu Kama unaona anauliza maswali ya kijinga Nenda pale kamjibu kiuwerevu tuone usipotoa haja kubwa Kama yule boya mwenzio!
Shwaini!
Sikiliza ndugu ,unatafuta laana katika maisha Kwa sababu ya umaskini wako.Watanzania wote watafurahi gaidi akifungwa. Tutakuwa salana zaidi.
Mungu atakuwa amejibu maombi yako ,Itabidi uende kanisani utoe shukrani.Mbowe mvua inamuhusu subiri isanga
Mungu atakuwa amejibu maombi yako ,Itabidi uende kanisani utoe shukraniMbowe mvua inamuhusu subiri isanga
hahahaaaaaha hatari sana Aisee!Watu wengi hawajui kazi ya wakili. Wanadhani mahakamani ni kufika na kupiga porojo. Ona sasa bila maswali hayo tungejuaje kuwa polisi wetu ni zero. Hakuna wanayoyajua.
We subiri siku Sir_ro akipandishwa kizimbani. Watatamani wazime mtandao, lakini tayari tumesha andaa VPN