Yaliyojiri kesi ya Mbowe na Wenzake: Upande wa Mashtaka waendelea kutoa ushahidi. Kesi yaahirishwa mpaka Septemba 24, 2021

Yaliyojiri kesi ya Mbowe na Wenzake: Upande wa Mashtaka waendelea kutoa ushahidi. Kesi yaahirishwa mpaka Septemba 24, 2021

Lissu alishindikana kwa kila njia. Hata kwa Risasi. Mwisho wa siku muuaji kafa yeye
Jiwe alikua muoga Kama demu Aisee Hadi alikua anatia huruma jamaa Ile 2020 Kwenye kampeni jamaa alikua anaweweseka Kwa spana naona hata kifo chake frustration zinachangia,presha ikapanda moyo ukapata shock!
Mambo mengine ni kama Karma!
 
Jiwe alikua muoga Kama demu Aisee Hadi alikua anatia huruma jamaa Ile 2020 Kwenye kampeni jamaa alikua anaweweseka Kwa spana naona hata kifo chake frustration zinachangia,presha ikapanda moyo ukapata shock!
Mambo mengine ni kama Karma!
Jiwe was so tired. Hakuweza kujibu hoja za Lissu Licha wa kusaidiwa sana na Tume fake na policcm lakini Bado Lisuu alimzidi kete kwa mbali mno
 
Jiwe alikua muoga Kama demu Aisee Hadi alikua anatia huruma jamaa Ile 2020 Kwenye kampeni jamaa alikua anaweweseka Kwa spana naona hata kifo chake frustration zinachangia,presha ikapanda moyo ukapata shock!
Mambo mengine ni kama Karma!
Lisu yuko wapi ukimbizini

USSR
 
Hoja za sisizo na mashiko za mawakili wa PGO wa Chadema tunazipotezea. Tutamsubiri Mbowe gereza la ISANGA, Dodoma kesi ikiisha.
Nadhani siku hiyo utasherekea sana!

Nadhani siku hiyo ndo itakuuwa ndo mwisho wa mgonjwa ndani ya ukoo wako
Nadhani siku hiyo itakuuwa Ni mwisho wa vifo ndani ya familia yako

Nadhani siku hiyo itakuuwa ndo mwisho wa njaa na umaskini


Mwisho,shetani hajawahi kumshinda Mungu ,hata wewe ukweli unaujua Polisi wenu Ni vilaza Hakuna ushindi Kwenye kesi hiyo Lakini Kwa kuwa mnatumia ROHO za Ibilisi MBOWE atafungwa gereza la DODOMA
 
Mbowe mvua inamuhusu subiri isanga
Good for you sir!Lakini Mungu ni wetu sote lolote la weza kutokea kwako Kabla ya MBOWE kufungwa.Kama huamini kaulize Chato.
 
Hii case ikiisha nipewe tu muhuri maana nitakuwa Kibatala Jr.
 
Nadhani siku hiyo utasherekea sana!

Nadhani siku hiyo ndo itakuuwa ndo mwisho wa mgonjwa ndani ya ukoo wako
Nadhani siku hiyo itakuuwa Ni mwisho wa vifo ndani ya familia yako

Nadhani siku hiyo itakuuwa ndo mwisho wa njaa na umaskini


Mwisho,shetani hajawahi kumshinda Mungu ,hata wewe ukweli unaujua Polisi wenu Ni vilaza Hakuna ushindi Kwenye kesi hiyo Lakini Kwa kuwa mnatumia ROHO za Ibilisi MBOWE atafungwa gereza la DODOMA
Watanzania wote watafurahi gaidi akifungwa. Tutakuwa salana zaidi.
 
Bwana mdogo Acha Uboya wewe shule imekusaidia Nini zaidi ya kulamba makalio ya mabosi wako pale Lumumba?
Huna fact Toka mwanzo unapiga tu kelele Kama za mbwa Koko humu Kwa malipo ya buku Saba na kununuliwa bando na wanaume wenzio Ili uje upost uharo humu
Wewe ni mweupe Sana kichwani
Badilisha hiyo I'd name jiite LIBOYA la 2021!
Hata akili za kuvukia Barabara inaonekana huna
Kibatala kakuzidi Elimu,Pesa, Exposure na Kila kitu Kama unaona anauliza maswali ya kijinga Nenda pale kamjibu kiuwerevu tuone usipotoa haja kubwa Kama yule boya mwenzio!

Shwaini!
Watu wengi hawajui kazi ya wakili. Wanadhani mahakamani ni kufika na kupiga porojo. Ona sasa bila maswali hayo tungejuaje kuwa polisi wetu ni zero. Hakuna wanayoyajua.

We subiri siku Sir_ro akipandishwa kizimbani. Watatamani wazime mtandao, lakini tayari tumesha andaa VPN
 
Watanzania wote watafurahi gaidi akifungwa. Tutakuwa salana zaidi.
Sikiliza ndugu ,unatafuta laana katika maisha Kwa sababu ya umaskini wako.

Huku ni liko tuna mtu mmoja alikuwa napiga kelele sana kipindi cha Magufuli akifurahia sana LISSU kupigwa risasi akifurahia sana Ben saanane kupotezwa .Leo hii anamuuguza Mama yake Kwa kansa(CA OF LIVER) isiyopona Mungu hakuacha tu hilo akamwadhibu amepata ajali amekatwa mguu ni mlemavu!Mke wake alijifungua akatokwa na damu nyingi (PPH) akafariki,ameacha kitoto kichanga.Alikuwa ni maarufu sana humu Jamii forum Sasa hivi hata simu ya smartphone hana.CCM aliyosababisha laana kwake ilimpa msaada Kwa kuchangishana kwa kumuuguza Mama yake ikachoka.Juzi ananiambia ni afadhali ningekufa tu .Watu wasionahuruma huwa Wana mkumbusha kuhusu LISSU .

akilinene nakukumbusha Kama nilivyomwambia ndugu yako zandrano kuwa usijaribu sana kumuombea ndugu yako mabaya Kwa sababu ya njaa,Usijaribu kuomba kifo Kwa ndugu yako Kwasababu ya 7000/-.
USSR Magufuri alitamani sana LISSU afe lakini akafa yeye kwanza.

Leo hii mnatamani MBOWE afungwe bila hatia yoyote,Lakini mwaka huu Kabla haujaisha,Mungu mwenye kuhukumu ya kweli at waonesha Na kuwafundisha.

Huyu mwenzenu mpaka PolePole alikuwa anamkubali Leo hii anateseka
 
Watu wengi hawajui kazi ya wakili. Wanadhani mahakamani ni kufika na kupiga porojo. Ona sasa bila maswali hayo tungejuaje kuwa polisi wetu ni zero. Hakuna wanayoyajua.

We subiri siku Sir_ro akipandishwa kizimbani. Watatamani wazime mtandao, lakini tayari tumesha andaa VPN
hahahaaaaaha hatari sana Aisee!
 
Back
Top Bottom