Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Watu hawajui kuwa kauli zao wenyewe huwa zinawaletea laana.Sikiliza ndugu ,unatafuta laana katika maisha Kwa sababu ya umaskini wako.
Huku ni liko tuna mtu mmoja alikuwa napiga kelele sana kipindi cha Magufuli akifurahia sana LISSU kupigwa risasi akifurahia sana Ben saanane kupotezwa .Leo hii anamuuguza Mama yake Kwa kansa(CA OF LIVER) isiy
Kibwana na sele wanazo Siri Siri zote wapigieni
Kulikuwa na ulazima gani wa kujipa credit kwenye kuandika ule mtiririko, mngekaa kimya tu bila kujitangaza wasingejua nani anaandika
Kwahiyo USSR unamtishia mshikaji. MBONA yeye hajakutishia.ataishia pabaya Kwa kipi. Hatakama wewe NI usalama Acha kujimwambafai Kwa wanadamu wenzio.Sote NI WA Mungu na maeeneo NI kwake.Huna tofauti na samaki aina ya CHANGUDOA, ukimshika kichwani analegea mkiani.
Wewe umeona wapi nimetoa hisia za huruma.
Acha kutumika utaishia pabaya.
Traaakohiyo imoji ni moyo au matako..tuanzie kwanza hapo... 😀
😀 😀
Ndugu hawo wapumbavu wakishapatiwa bando kwenye hayo makopo yao yakuhongwa pale lumumba wanajiona wanahatimiliki na hii dunia na hakuna anaeweza kufanya lolote kwa sababu tu wanatumia wale mbwa wa kipoliccm na kuwalinda lakini kinachonishangaza kwanini nguvu yao hawakuitumia ili magufuli asife kwa sababu ya nguvu zao walizonazo. MUNGU NI SAMEHE HAPA.Sikiliza ndugu ,unatafuta laana katika maisha Kwa sababu ya umaskini wako.
Huku ni liko tuna mtu mmoja alikuwa napiga kelele sana kipindi cha Magufuli akifurahia sana LISSU kupigwa risasi akifurahia sana Ben saanane kupotezwa .Leo hii anamuuguza Mama yake Kwa kansa(CA OF LIVER)...
Sasa kama shahidi ni kilaza si ataharibu kesi? Wewe unadhani kesi inashindwa au kushindaje?Kazi ni kupima ukilaza wa polosi au kushinda kesi
USSR
Mpaka sasa mbowe na Timu yake wanaongoza kwa goli 5 kwa O ya Polisiccm na waliowatuma kuwabambikia kesi, ushindi wa mbowe upo wazi hakuna chenga hata Jaji akiamua kujitoa fahamu apindishe Sheria atavuna laana ya wapinga uonevu kote DunianiKazi ni kupima ukilaza wa polosi au kushinda kesi
USSR
Mpaka sasa mbowe kashinda kesi kilichobaki ni kuachiwa huru tuSasa kama shahidi ni kilaza si ataharibu kesi? Wewe unadhani kesi inashindwa au kushindaje?
Mkuu shule ni muhimu sana. Nakushauri kasome uelewe. Acha kujionesha jinsi gani ulivyo kichwa ngumu.Kazi ni kupima ukilaza wa polosi au kushinda kesi
USSR
Badilika !Ungekuwa heri Leo usikie Sauti Mungu,!!Naona umekosa hoja umebaki na ushabiki na hisia zako binafsi. Mimi ni zaidi ya hapo. Hivyo nafunga rasmi suala lako.
[emoji3][emoji3]Traaako
Karibuuu[emoji3][emoji3]
A Kingai wangekuwa nazo wangekuwa wameshazileta zamani.Ili kuthibitisha swala la muda watuhumiwa walipo ingia na kutoka polisi Central Dar es Salaam kwenye hii kesi ya uhaini ya Mbowe mahakama iangalie tarehe na muda kwenye picha za CCTV. Ninaami pale Polisi Central walipoingizwa watuhumiwa kuna CCTV camera. Mimi naona mabishano makubwa kwenye shauri hili ndogo ni swala la muda.
Tena ambazo afande amempa mwanae wa shule ya msingi afanye photoshop.Cctv nchi hii huwa ni urembo tu,vinginevyo utaletewa picha za Infinix hot 9