Yaliyojiri kesi ya Mbowe na Wenzake: Upande wa Mashtaka waendelea kutoa ushahidi. Kesi yaahirishwa mpaka Septemba 24, 2021

Yaliyojiri kesi ya Mbowe na Wenzake: Upande wa Mashtaka waendelea kutoa ushahidi. Kesi yaahirishwa mpaka Septemba 24, 2021

Sikiliza ndugu ,unatafuta laana katika maisha Kwa sababu ya umaskini wako.

Huku ni liko tuna mtu mmoja alikuwa napiga kelele sana kipindi cha Magufuli akifurahia sana LISSU kupigwa risasi akifurahia sana Ben saanane kupotezwa .Leo hii anamuuguza Mama yake Kwa kansa(CA OF LIVER) isiy
Watu hawajui kuwa kauli zao wenyewe huwa zinawaletea laana.
Karma is real.
If anything jifunze njia ya mwendazake.
Na nkuhakikishieni kuwa mimi si mwana CDM.
 
Jikombe
Kulikuwa na ulazima gani wa kujipa credit kwenye kuandika ule mtiririko, mngekaa kimya tu bila kujitangaza wasingejua nani anaandika

Huna tofauti na samaki aina ya CHANGUDOA, ukimshika kichwani analegea mkiani.

Wewe umeona wapi nimetoa hisia za huruma.

Acha kutumika utaishia pabaya.
Kwahiyo USSR unamtishia mshikaji. MBONA yeye hajakutishia.ataishia pabaya Kwa kipi. Hatakama wewe NI usalama Acha kujimwambafai Kwa wanadamu wenzio.Sote NI WA Mungu na maeeneo NI kwake.
 
Sikiliza ndugu ,unatafuta laana katika maisha Kwa sababu ya umaskini wako.

Huku ni liko tuna mtu mmoja alikuwa napiga kelele sana kipindi cha Magufuli akifurahia sana LISSU kupigwa risasi akifurahia sana Ben saanane kupotezwa .Leo hii anamuuguza Mama yake Kwa kansa(CA OF LIVER)...
Ndugu hawo wapumbavu wakishapatiwa bando kwenye hayo makopo yao yakuhongwa pale lumumba wanajiona wanahatimiliki na hii dunia na hakuna anaeweza kufanya lolote kwa sababu tu wanatumia wale mbwa wa kipoliccm na kuwalinda lakini kinachonishangaza kwanini nguvu yao hawakuitumia ili magufuli asife kwa sababu ya nguvu zao walizonazo. MUNGU NI SAMEHE HAPA.

Yoyote anaesema ccm haitaondoka madarakani kwasababu ya kutegemea nguvu ya dola huyo ni wakulaaaniwa.

Ccm itaondoka kwa njia nyepesi sana na huo ndio ukweli.
 
Kazi ni kupima ukilaza wa polosi au kushinda kesi

USSR
Mpaka sasa mbowe na Timu yake wanaongoza kwa goli 5 kwa O ya Polisiccm na waliowatuma kuwabambikia kesi, ushindi wa mbowe upo wazi hakuna chenga hata Jaji akiamua kujitoa fahamu apindishe Sheria atavuna laana ya wapinga uonevu kote Duniani
 
Mpegie Sele atakupa siri zote na anajua tarehe ya kuachiwa huru 0715132277 au 0787132277
 
Ili kuthibitisha swala la muda watuhumiwa walipo ingia na kutoka polisi Central Dar es Salaam kwenye hii kesi ya uhaini ya Mbowe mahakama iangalie tarehe na muda kwenye picha za CCTV.

Ninaami pale Polisi Central walipoingizwa watuhumiwa kuna CCTV camera. Mimi naona mabishano makubwa kwenye shauri hili ndogo ni swala la muda.
 
Kin
Ili kuthibitisha swala la muda watuhumiwa walipo ingia na kutoka polisi Central Dar es Salaam kwenye hii kesi ya uhaini ya Mbowe mahakama iangalie tarehe na muda kwenye picha za CCTV. Ninaami pale Polisi Central walipoingizwa watuhumiwa kuna CCTV camera. Mimi naona mabishano makubwa kwenye shauri hili ndogo ni swala la muda.
A Kingai wangekuwa nazo wangekuwa wameshazileta zamani.
 
Serikali ya ccm inapenda Sana kushughulika na vitu visivyotija kwa taifa.
 
Back
Top Bottom