Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,890
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]CCM INAOGOPA hata Watu kwenda Mahakamani kuna Siku itabomoa jengo la mahakamaDadeki watajuta kujifanya wanaharakati wa mahakama
USSR
hii habari si njema kwa CCM na Mapolice wao.
Huu ujinga wa Kutumia sehem ya maandiko kuhalalisha upumbavu ..ndio Upumbavu wenyewe.
Wao Polisi, wenye ushahidi thabiti kua Mbowe na wenzake ni Magaidi....
Kwann wasiache watanzania waonyeshwe kua Mbowe na wenzake ni magaidi??? Kwa shahidi za mashahidi wanazotoa ???.
Bahati nzuri nyie MaCCM huwa mnaujua ukweli, ila mnajitoaga akili nakubakisha matope vichwani .
Kenya kesi za namna hii zinarushwa mubashara kwenye vituo vya televisheni, kwahiyo kwa hoja yako vyombo vya habari vinaingilia mahakama sio?Ila kiukweli hii mitandao ya kijamii husasani tweeter jf, na clubhouse wanaingilia sana uhuru wa mahakama.
Kila baada ya kesi kunakuwa na uchambuzi kwenye hii mitandao. Naona kabisa jaji akipata tabu kuamua hii kesi. Maana % kubwa ya watu wapo na mbowe na wenzake. Serekali hii kesi itashindwa vibaya sana.
Tunasubiri update ya kinachoendelea huko mahakamani.
Green kibichi baki na mavi yako..pumbavu kabisa kabisa. Roho mbaya zenu zinaweatesa wenyewe.. mlaaniwe MaCCM.Dadeki watajuta kujifanya wanaharakati wa mahakama
USSR
Habari mbaya sana hii kwa washenzi Policcm na green kibichi,Wamefanikiwa kuingia tayari na updates zimeanza kushushwa
Kosa lao liko wapiDadeki watajuta kujifanya wanaharakati wa mahakama
USSR
Hapo Jo roho yako kwatuuuMungu ni mwema wakati wote!
Wamejitahidi wenzio kujenga magofu Chato ili wasionekane washama😃😀😃😄Ww ni Fala Tu huna la kuniambia mshamba Tu
Hahahaaaa...... Wanaripoti bwashee!Hapo Jo roho yako kwatuuu
Hakuna mwanaharakati wa mahakama ila sheria ndio muhimu kufuatwa. Nikuulize jee kuingia mahakamani nikosa. Policcm wanaposema ni maelekezo kutoka juu maanaa yake nini?Dadeki watajuta kujifanya wanaharakati wa mahakama
USSR
SHIDA NI KUWA MNASHANGILIA KESI BADALA YA KUSUBIRI EITHER KUSHANGILIA AU KULIA WAKATI WA HUKUMU MNAONA KESI NI NYEPESI LAKINI MWISHO MTAKUJA KULIA KILIO CHA MBWA MWIZI
🤗🤗 Leteni BurdaahTupo ndani tayari.
Jee kuingia na kuandika wasiokuwa mahakamani kupata taarifa ni kosa kusheria?Kulikuwa na ulazima gani wa kujipa credit kwenye kuandika ule mtiririko, mngekaa kimya tu bila kujitangaza wasingejua nani anaandika.
MTAJIKOJOLEA SIKU HIYOwewe acha kutupangia cha kufanya kaakimya