Lecheminduroi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 1,183
- 3,584
Huko UVCCM kuna nini? Mbona CCM mnapenda sana ushoga?Huyu anavimelea vya mchicha mwiba
USSR
Ina maana kila anayewakosoa mnapokosea ni shoga si ndio? Njaa zinawaondoa utu ndugu zangu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko UVCCM kuna nini? Mbona CCM mnapenda sana ushoga?Huyu anavimelea vya mchicha mwiba
USSR
sheria ndiyo inavyosema
My baby mama D,are you serious .ukuje ukuje nifutie viatu niwahi
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
kazi ya lawama.Nakushuru Mungu kwa kuniepusha na kazi ya upolisi
CDM ni jamhuri ya wapambanaji
Kuna sheria pia kuna kanuni na taratibu
Usikariri
Mwisho ameshajulikana mwanzoKwani hata wangeruhusiwa kuingia mahakamani kuna kitu wangeweza badilisha?
Tusubiri mwisho mwema
Ndio utajua hujui🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwaiyo wametumia kanuni au taratibu?
Mwisho ameshajulikana mwanzo
Dharau mwibaHawana MbWinu
Wanatumia nguvu kuliko akili
Dadeki watajuta kujifanya wanaharakati wa mahakama
USSR
wanaua watuKwanini?
Wameshaingia mahakamaniDadeki watajuta kujifanya wanaharakati wa mahakama
USSR
WameshaingiaKulikuwa na ulazima gani wa kujipa credit kwenye kuandika ule mtiririko, mngekaa kimya tu bila kujitangaza wasingejua nani anaandika.
Hawana MbWinu
Wanatumia nguvu kuliko akili
Nonalisema hili kwa uhakika sana. Mashahidi wanatia aibu. Tena ni aibu zaidi kwa mawakili wao maana wao maafisa wa mahakama wenye jukumu la kuwaandaa vyema mashahidi.Wacha weeeee
Uko sahihi kabisa. Hili jeshi la polisi iko shida. Kama wana ushahidi usio na shaka, hawa watu wakiingia mahakamani watabadili nini?Kwani hata wangeruhusiwa kuingia mahakamani kuna kitu wangeweza badilisha?
Tusubiri mwisho mwema