Wewe jamaa huwa na kwambia unatafuta laana ,utalaaniwe wewe na kizazi chako acha kazi za uwakala wa shetani.Onana sasa CCM wote Kwenye Huu Uzi wamekimbia umebaki pekee yako unaongea kama kichaaMawakili wa PGO kila wakili PGO sema wameteswaje?
USSR
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe jamaa huwa na kwambia unatafuta laana ,utalaaniwe wewe na kizazi chako acha kazi za uwakala wa shetani.Onana sasa CCM wote Kwenye Huu Uzi wamekimbia umebaki pekee yako unaongea kama kichaaMawakili wa PGO kila wakili PGO sema wameteswaje?
USSR
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]anatumia [emoji527] kufikiriyaani unampa title ya 'Mkuu' huyo MATAGA?
Huyo hata akili za kuvukia Barabara Hana,
Walishazitoa na zimefungiwa kwenye Cold room pale Lumumba ndio maana unaona wamekua Kama misukule hata hafikirii mambo madogo Kama hayo
Yanashangilia hata upumbavu tu!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Ooooh Shahidi wa Pili ndiye ameharibu kabisa!Inaonekana hujui Shahidi wakwanza ,wa Pili na watatu!Shahidi wa pili kaflow vizuri
Kwa mwendelezo wa leo huyu wa pili hata kama ametunga ila anacheza ndani ya kuaminikaOoooh Shahidi wa Pili ndiye ameharibu kabisa!Inaonekana hujui Shahidi wakwanza ,wa Pili na watatu!
Shahidi wa Pili kila kitu hajui /hafahamu
Mkuu unataka league na mimi? Hutaniweza na muda wa kuanza kukupa CV ya KIBATALA sina. And huwa sipendi ubishani hasa kwa watu wenye kutanguliza ushabiki.Kesi gani kibatara aliwahi kushinda
USSR
OPKwa mwendelezo wa leo huyu wa pili hata kama ametunga ila anacheza ndani ya kuaminika
Tupo wengi sana. Tuna watu.Wewe jamaa huwa na kwambia unatafuta laana ,utalaaniwe wewe na kizazi chako acha kazi za uwakala wa shetani.Onana sasa CCM wote Kwenye Huu Uzi wamekimbia umebaki pekee yako unaongea kama kichaa
Vijana wa kazi vijana shupavuMungu ni mwema Sana fanyeni kazi yenu iliyotukuka ya kutuhabarisha.
Bavicha wanalialia humu kwa ujinga wao polisi 3 mawakili 0 45minShahidi wa pili kaflow vizuri
Hoja za sisizo na mashiko za mawakili wa PGO wa Chadema tunazipotezea. Tutamsubiri Mbowe gereza la ISANGA, Dodoma kesi ikiisha.
LISSU: Hofu kama ya Mungu, au ya shetani au ya Dikteta, inazuiliwa kisheria?Ila kiukweli hii mitandao ya kijamii husasani tweeter jf, na clubhouse wanaingilia sana uhuru wa mahakama.
Kila baada ya kesi kunakuwa na uchambuzi kwenye hii mitandao. Naona kabisa jaji akipata tabu kuamua hii kesi. Maana % kubwa ya watu wapo na mbowe na wenzake. Serekali hii kesi itashindwa vibaya sana.
Tunasubiri update ya kinachoendelea huko mahakamani.
SSR alikuwa bado mdogo wakati kibatala anashinda kesi.unajitoa fahamu wewe yaani na ukubwa wote huo hauzijui kesi alizoshinda Wakili Msomi?
Itoshe tu kusema hakuna kesi iliyowahi mshinda huyu nguli labda Kama ulikua humjui maana inaonekana umeishi Sana Kolomije mambo ya huku mjini hata huyajui!
Pole Sana USSR
hahahaaa Moja kati ya kesi za kubumba walizombambikia Tundu LissuLISSU: Hofu kama ya Mungu, au ya shetani au ya Dikteta, inazuiliwa kisheria?
SHAHIDI: Ndio inazuiliwa,
LISSU: Sheria gani?
SHAHIDI: SIJUI.
2017
Area Dhahahaaa Moja kati ya kesi za kubumba walizombambikia Tundu Lissu
Ule mwaka aliwatoa jasho kesi ikaenda mbaka Night
Judge akazitupilia Huko baada ya Mwamba kupangua zaidi ya mashtaka 50
Ikiwemo uchochezi & co
Wakamshindwa jiwe akatuma vikaragosi wampige risasi pale Area Gani vile Dodoma
😁😁😁😁
Lissu alishindikana kwa kila njia. Hata kwa Risasi. Mwisho wa siku muuaji kafa yeyehahahaaa Moja kati ya kesi za kubumba walizombambikia Tundu Lissu
Ule mwaka aliwatoa jasho kesi ikaenda mbaka Night
Judge akazitupilia Huko baada ya Mwamba kupangua zaidi ya mashtaka 50
Ikiwemo uchochezi & co
Wakamshindwa jiwe akatuma vikaragosi wampige risasi pale Area Gani vile Dodoma
😁😁😁😁