Uzuzu unakusumbua mkuu, wewe unaona ni halali kwa president kumteua mtu kuwa Judge?au CJ?,why hawa wasiombe na kufanyiwa interview?,na kiapo Chao kiwe kwa CJ sio president, ila sikushangai maana ni zao la shule za kayumba ,yule aliyezianzisha hata mjukuu wake hajasoma huko