Lema Alivuliwa Ubunge Na Mahakama, Alikata Rufaa Lakini Alifukuzwa Bungeni, Spika Hakusubiri Rufaa Yake Isikilizwe, Wabunge 9 wa CUF Walifukuzwa Uanachama. Walienda Mahakamani Lakini Walitolewa Bungeni, Spika Hakusubiri Kesi Yao Isikilizwe, Je Kwa Kina Halima Sheria Imebadilika?
 
Kichekesho mawakili wa kina Mdee wanaiomba mahakama iweke zuio wasivuliwe ubunge, wakati Tulia asubuhi kule bungeni alishasema hatawavua ubunge.

Inaonekana hawa wanawake 19 wakati wakifungua hii kesi hawakuwa wakijua mabosi wao ndani ya CCM wanawaza nini, wakaona bora wajilinde wenyewe..
 
Mbowe ni gaidi?
No Mbowe sio gaidi, hakuna mahakama iliyotoa uamuzi, case ya Mr.Mbowe imamelizwa kisiasa, it's pity na nchi yetu huwezi kuifungulia serikali kesi ya madai kwa muda wake uliopotezwa na wrong arrest kwake&others
 
Reactions: Qwy
aibu sana kwa tulia yaani anapwaya sana
 
Kibatala kaaanza maswali yake ya kichokozi
 
Hili jopo la Wanasheria wa Serikali wanne wanamtetea nani au wanamuwakilisha nani?

Hao watakuwa wanamuelekeza hakimu cha kufanya kulingana na mtiririko wa kesi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…