Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM: Majina ya walioteuliwa kuwania nafasi za Ubunge kwenye Majimbo mbalimbali nchini

Tupokelewe[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]
 
dah hatari sana, futa hii mentality chief tena tupambane kama jamii iliyostaarabika hili lisiwepo kamwe..

Kodi hulipwa na Watanzania wote kwa serikali moja..

Mie sio mnafki. Kwenye ideal society tutasema hivyo na hicho ndicho kilichofanya Kilimanjaro na Arusha wafike mbali, kwakuwa wengine waliona aibu kusema.

Ukweli ni kwamba Mkuu anaipa kanda ya ziwa priority ambayo hii kanda haijawahi kupata. Ni sawa na JK alivyoipaga kanda ya Pwani kipaumbele. Na mkuu amebeba mikoa yote ya kanda hii, sio usukumani tu. Hii ni fursa kwa hii mikoa ambayo licha ya kuongoza kwa rasilimali zinazoingizia pato taifa, ilibaki kuwa na hali mbaya sana.

Huu ni ushauri wangu usiopapasa macho. Rorya watajiamulia wao na watoto wao mwelekeo wao.

Kwa mtazamo wangu, mikoa pekee ambayo inaweza chagua upinzani bila madhara ni mikoa iliendelea kwenye huduma humimu za jamii kama Dar, Arusha na Kilimanjaro.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…