waterproof
JF-Expert Member
- Aug 14, 2020
- 387
- 349
Ngoma ya kikurya hiyo... Mura, Owaching'ombe, Amang'ana gasarikire....
Leah Jeremiah komanyaMkuu ebu niangalizie jimbo la Meatu nani kapita
Tupokelewe[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]Wana JF sisi tuliokatwa kwa sababu ya kutotoa rushwa katika maeneo mengi tumeumia sana kuona vinara wengi wa rushwa ndo wamepenya.
Kwa kuwa nia yetu ilikuwa ni kuwatumikia watanzania tunaomba vyama vya upinzani vitupokee kwa kipindi hiki kifupi.
Kwa wale waliochukua fomu za NEC tunaomba mtuwekee hapa tuanze kuzijaza ili kama kuna makosa tuweze kuzirekebisha mapema. Lengo lingine ni kuandaa viambatanisho vinavyotakiwa kwa mfano background ya picha ya passport nk
Tumebaki na siku 5 zinatosha sana kukamilisha ujazaji wa fomu na kurudisha.
Tunaomba namba za viongozi wa upinzani kwa kila kata au jimbo ambalo vyama vya upinzani hawajateua bado wagombea wao ili sisi watia nia masikini tuweze kuonesha vipawa vyetu vya uongozi huko.
Chonde chonde msitubeze....tupendane
Wajumbe oyee
Ndiye Mbunge wetu mtarajiwa anayesubiria kuapishwa.Hahahaaaa...... huyo ndiye mbunge wangu mpya!
Hao wamepitaNa mollel + Mwita
Sawa mkuuHivyo hivyo tujaribu...
[emoji23] sasa kitasaidia nn...wajipange tu next timeWajumbe inabidi waitishe kikao cha dharula haraka..
Boniface Nyangindu Butondo, alikuwa m/kiti wa halmashauri ya KishapuAloteuliwa kugombea kishapu nanii na ka picha jamenii
Bwashee umeuona huo muziki!Leo ndiyo uzinduzi wa kunyanyuliana vitofali. Badamu batachuruzika
Jiwe kalikorogaBwashee umeuona huo muziki!
Halima aanze kufungasha!Ndiye Mbunge wetu mtarajiwa anayesubiria kuapishwa.
Mkuu, yale ya Mrisho Gambo yametumia..[emoji41]tusubiri muda, labda kama mnategemea kauli ya "nikupe gari, mshahara .... halafu umtangaze mpinzani" Salary Slip ebu nipe Kawe ikoje na
dah hatari sana, futa hii mentality chief tena tupambane kama jamii iliyostaarabika hili lisiwepo kamwe..
Kodi hulipwa na Watanzania wote kwa serikali moja..