Yaliyojiri Kisutu, Dar: Kesi ya Freeman Mbowe, yaahirishwa hadi 13 Agosti, 2021, Mashtaka yasomwa upya

Wewe ni mtoto wa juzi hujui kitu. Mbowe amechamba sana hadi kakamata kinyesi. Kaa kimya fanya yako
 
Wewe ni mtoto wa juzi hujui kitu. Mbowe amechamba sana hadi kakamata kinyesi. Kaa kimya fanya yako
Mtoto was juzi Ni wewe unayeandika propaganda mfu zisizo na kichwa Wala miguu!
Fyta mkia Kama huna hoja!
 
Sasa mi najuaje Kama sio ya kubambikiwa, na wewe unajuaje Kama Ni ya kubambikwa! Usiniambie 'unajua tu' nipe facts
 
Duh... Kufadhili? Si walisema gaidi? Nilijua kavaa bomu akaenda kwenye mkusanyiko wa watu, kabla hajafyatua fuse akakamatwa! Kumbe kufadhili?

Hamna kesi hapo!
Mkuu kwako kufadhili ugaidi unaona siyo kosa. Akitokea mtu anayefadhili majambazi kwa kuwapatia silaha na fedha za kufanyia ujambazi kwako hilo siyo kosa? Kwa uelewa wako huo nadhani ni bora ubaki huko huko CHADEMA
 
Kama siyo kubambikwa, inakuwaje mtu amefutiwa shitaka la madawa ya kulevya? Unafutaje shitaka la namna hiyo kama ushahidi upo?
 
Hao polisi wamejazana hapo hawana kazi nyingine za kufanya ? hawa ndio wanaokula hela zetu za kodi bure, na wanasababuisha walimu wasilipwe mishahara stahiki na kwa wakati, hii nchi ya hovyo sana, watu wanazurula tu wanalipwa mishahara ya bure
Kuna mwajiriwa wa serikali asiyelipa Kodi?
 
jamani watanzania wenzangu wenye magonjwa kama;
1. KISUKARI
2. UKIMWI
3. SARATANI
4. KIFUA KIKUU
5. CELI MUNDU
Chukueni tahadhari hili wimbi la tatu lina puputisha balaa, aise.
 
Kuna wadada fulani nimewaona pale Mahakamani wakikumbatiana na Mbowe, mbona wewe hizo picha hukuziweka kama hizo ulizoweka, au hukuziona au umezingatia uadilifu na weledi wa kazi humu JF!?
 
Nguvu waliyotumia kujaza mapolisi mahakamani wangekuwa wanaitumia kupeleka maji vijijini huko ambapo watu hunywa maji ya kisima kimoja na mifugo ingekuwa heri !
 
Unawakumbuka hawa vibaka wa UVCCM waliomfanyia Mbowe fujo hai?

Walichukuliwa hatua gani zaidi ya kulipwa buku 7 na kisha kwenda kulewa pombe za kienyeji zinazowazeesha mapema
 
View attachment 1883003Unawakumbuka hawa vibaka wa UVCCM waliomfanyia Mbowe fujo hai?

Walichukuliwa hatua gani zaidi ya kulipwa buku 7 na kisha kwenda kulewa pombe za kienyeji zinazowazeesha mapema
kosa moja haliwezi kuhalalisha kosa jingine.
jambo la msingi kwa watanzania wenzangu tujifunze kuheshimu utawala wa sheria, haswa pale watu wenye wadhifa ktk siasa au uongozi wanapo chukuliwa hatua, tusiwe wanafiki.
kwa mfano;
1. alipo kamatwa aliye kuwa DC wa Hai Sabaya na kisha kushitakiwa Mahakamani watu wengi wakiwamo wafuasi wa Cjadema pamoja na James Mbatia walipongeza jeshi kwa kuchukua hatua na akasema huo ndio utawala wa sheria, cha kushangaza Mbatia huyo huyo mara baada ya Mbowe kukamatwa amebadilika nakuanza ohh kabambikowa ohhh suluhu ipatikane!! unamshangaa kabisa mtu kama Mbatia ana kuwa na ndimi mbili tena bila aibu anazungumza mbele ya vyombo vya habari.!!!
 
Mkuu kwako kufadhili ugaidi unaona siyo kosa. Akitokea mtu anayefadhili majambazi kwa kuwapatia silaha na fedha za kufanyia ujambazi kwako hilo siyo kosa? Kwa uelewa wako huo nadhani ni bora ubaki huko huko CHADEMA
Sawa Bwana Genious.
 
Thibitisha Mbowe alitaka kuua kiomgozi gani?

Maana kama ulinzi tu wa mahakama wamejaza hao polisi huyo kiongozi aliyepanga kuuliwa ni nani?


Unaweza kunitajia waliotaka kumuua Lissu yapata miaka 4 sasa hawajajulikana na kesi haizungumzwi je Lissu hakua kiongozi?

Lissu alishambuliwa katika compound ya viongozi mchana kweupe achilia mbali hizo shutuma za Mbowe za kupanga na hapajatokea kitu..

Ifike mahali CCM mjue watanzia wa miaka ya 90 sio hawa wa sasa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…