Yaliyojiri: Kongamano la viongozi wa dini kumshukuru Mungu kwa maisha ya Magufuli na kuwabariki Rais Samia na Mwinyi

Yaliyojiri: Kongamano la viongozi wa dini kumshukuru Mungu kwa maisha ya Magufuli na kuwabariki Rais Samia na Mwinyi

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Ukumbi wa Chimwaga umesheheni viongozi mbalimbali kutoka dini na madhehebu yote.

Kadhalika viongozi mbalimbali wa serikali na vyama vya siasa wamo ukumbini.

Local channels zote zitakuwa mubashara kurusha tukio hili muhimu la kitaifa.



Updates:

Askofu Malasusa ndiye amidi ( MC) wa shughuli hii na sasa anamwita askofu Shayo kutoka Zanxibar kutoa sala au dua la ufunguzi.

Sasa unapigwa mwimbo wa taifa.

Askofu Malasusa anamuelezea Rais Samia kusudio la kongamano hilo kwamba ni kumshukuru Mungu kwa maisha ya hayati Magufuli kadhalika kuwabariki viongozi wapya Rais Samia na Rais Mwinyi wa Zanzibar.

Mtoa mada wa kwanza ni askofu mkuu wa KKKT Dr Shoo ambaye tayari yuko jukwaani.
 
Hakuna kiongozi wa dini, ni wajasilia dini. Huyo anayejiita kongozi wa dini akienda pale ujue ni mjasilia ini. Unadhani bagonza/ Mwamasika atakwenda pale? Labda Sheikh Ubwabwa wa Dar maana ndiyo zake.
Wala Fredrick Shoo au Ruwaichi hawawezi kukanyaga hapo
 
Ukumbi wa Chimwaga umesheheni viongozi mbalimbali kutoka dini na madhehebu yote.
Kadhalika viongozi mbalimbali wa serikali na vyama vya siasa wamo ukumbini.

Local channels zote zitakuwa mubashara kurusha tukio hili muhimu la kitaifa.

Updates:
Yani wale walamba viatu wa dini wameanza kujipenyeza. Haya banah
 
Ukumbi wa Chimwaga umesheheni viongozi mbalimbali kutoka dini na madhehebu yote.
Kadhalika viongozi mbalimbali wa serikali na vyama vya siasa wamo ukumbini.

Local channels zote zitakuwa mubashara kurusha tukio hili muhimu la kitaifa.

Updates:
Na tapeli Pastor Erasto yupo
 
Wakikosekana wawakilishi na watoa mada kutoka TEC, CCT, & CPCT hilo kongamano feki.
 
Back
Top Bottom