Waziri wa Fedha ameahirisha leo kikao cha kuonana na Wafanyabiashara wa Kariakoo kwa ajili ya kuwasikiliza akina Malasusa na Kakobe!!!Wanapoteza muda tu na ndio maana nika suggest huo mda wangeutumia kuombea wagonjwa ingeleta tija bwashee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waziri wa Fedha ameahirisha leo kikao cha kuonana na Wafanyabiashara wa Kariakoo kwa ajili ya kuwasikiliza akina Malasusa na Kakobe!!!Wanapoteza muda tu na ndio maana nika suggest huo mda wangeutumia kuombea wagonjwa ingeleta tija bwashee.
amekwisha pewa wala usijali amewekwa anapostahiliNa sisi tuliotekwa ,kupigwa na kufungwa kwa kesi za kubambikiwa na magufuli tunamshitakia kwa Mungu ampe adhabu inayostahili.
Wapo.Vp wasiyokuwa na dini ruksa hapo
Ova
100%Maisha ya Magufuli ndio wanaandaa kongamano? Bora wangeitisha kongamano la kuombea wagonjwa.
Una uwezo mkubwa sana wa kuona mambo mkuuMaisha ya Magufuli ndio wanaandaa kongamano? Bora wangeitisha kongamano la kuombea wagonjwa.
MM hatendi kama sisi binadamu tunavyotaka!Mwenyezimungu ampe adhabu kali sana Magufuli
Acha kelele,angalia kongamano huyo shoo yupo.wakija nao watakuwa matakata na wajasiliadini.............they will never come
Hivi mzee Mgaya yeye si Mchungaji?Mchungaji Erasto yupo hapa Dodoma bwashee!
Yeye ni mtumishi!Hivi mzee Mgaya yeye si Mchungaji?
Ukumbi wa Chimwaga umesheheni viongozi mbalimbali kutoka dini na madhehebu yote.
Kadhalika viongozi mbalimbali wa serikali na vyama vya siasa wamo ukumbini.
Local channels zote zitakuwa mubashara kurusha tukio hili muhimu la kitaifa.
Updates:
Askofu Malasusa ndiye amidi ( MC) wa shughuli hii na sasa anamwita askofu Shayo kutoka Zanxibar kutoa sala au dua la ufunguzi.
Sasa unapigwa mwimbo wa taifa.
Askofu Malasusa anamuelezea Rais Samia kusudio la kongamano hilo kwamba ni kumshukuru Mungu kwa maisha ya hayati Magufuli kadhalika kuwabariki viongozi wapya Rais Samia na Rais Mwinyi wa Zanzibar.
Mtoa mada wa kwanza ni askofu mkuu wa KKKT Dr Shoo ambaye tayari yuko jukwaani.