johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nauliza tu kama viongozi wa chama tawala yaani CCM na wale wa chama kikuu cha upinzani Chadema wamepata mwaliko wa mkutano mkuu wa ACT wazalendo.
Maana safari ya ushirikiano wa Chadema na ACT wazalendo ilianzishwa jana pale Mlimani city .
Maendeleo hayana vyama!
Maana safari ya ushirikiano wa Chadema na ACT wazalendo ilianzishwa jana pale Mlimani city .
Maendeleo hayana vyama!