pasi padinde
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 281
- 299
Lissu yuko Live mkutanoni
Yani ulitakiwa cdm iwe n a tv yake paamoja na redio miaka mingi sana
Chadema wameteka mkutano....... Membe anashangaa!Wadau ,
Tundu antipas lissu kauteka umma wa wajumbe wa Act wazalendo kwa kuwa msemaji mkuu wa mkutano huo badala ya kutoa salam za chama chake.
Wanaogopa kwasababu kituo chaweza zimishwa
Ha ha ha , Lisu kamnadi maalim Sefu.Mkuu tuwekee FULL SPEECH ya Mh Lissu. ITV wameondoa sauti na wamekatiza kabisa
Tumepata the full speech kutoka kwenye simu za wajumbeUchochezi lazima ukatwe katwe!
Swala ni kua chadema imeuteka mkutano wa act wazalendo , mwenye macho haambiwi ona.Kwahiyo wamepewa marufuku kutoka kwa kiranja mkuu au wamejistukia tu?
Kwa siku za kawaida wangedili n contents za kawaidaa..wakati wa uchaguzi kama huu wabadili gia anganiVingefungiwa
Weka hapa ya Lissu maana ITV wametuachia manyoya!Tumepata the full speech kutoka kwenye simu za wajumbe
Chadema wameteka mkutano....... Membe anashangaa!
Ha ha ha , lisu kamnadi maalim sefu.
Ingekua vema awape wote heshima mgombea wa jamhuri na wa visiwani.Lissu amempa Maalim Seif heshima anayostahili