Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA Mhe Tundu Lissu Mkoani Mwanza

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA Mhe Tundu Lissu Mkoani Mwanza

Halafu kubwa jinga mbona unahangaika sana kuhusu nyomi ya Lissu? Kama huamini si uachane nazo? Toka umeanza kujifariji picha fake umepata nini? Achana na mambo ya CHADEMA utakufa kwa pressure.

Mbona hasira namna hii tatizo maisha magumu au picha hazipo???
 
Kwahiyo hata zile video
Picha mjitahidi kuwaambia kitengo cha uchakuchuaji picha cha Chadema wawahishe kidogo walau saa kumi na moja hivi jioni

Tumechoka kila siku wao wanasubiri kuanzia saa moja usiku Giza limeingia na hatuoni vizuri shauri ya giza wao ndio wanarusha za Lo
Picha mjitahidi kuwaambia kitengo cha uchakuchuaji picha cha Chadema wawahishe kidogo walau saa kumi na moja hivi jioni

Tumechoka kila siku wao wanasubiri kuanzia saa moja usiku Giza limeingia na hatuoni vizuri shauri ya giza wao ndio wanarusha za Lowasa za 2015 na kuziita za leo maeneo mbalimbali aliyopita Lisu
Kwahiyo hata video za mapokezi nazo zimechakachuliwa eti?
 
Halafu kubwa jinga mbona unahangaika sana kuhusu nyomi ya Lissu? Kama huamini si uachane nazo? Toka umeanza kujifariji picha fake umepata nini? Achana na mambo ya CHADEMA utakufa kwa pressure.
Mtasubili saana, mbona hamuweki zile picha mlizozomewa huko geita na busersere
 
Picha mjitahidi kuwaambia kitengo cha uchakuchuaji picha cha Chadema wawahishe kidogo walau saa kumi na moja hivi jioni

Tumechoka kila siku wao wanasubiri kuanzia saa moja usiku Giza limeingia na hatuoni vizuri shauri ya giza wao ndio wanarusha za Lowasa za 2015 na kuziita za leo maeneo mbalimbali aliyopita Lisu
Hii hapa video mkutano cha chadema mwaka 1625
 

Attachments

  • 2528969_Wananchi_wa_Geita_Mjini_watuma_salamu_kwa_Magufuli.__Tazama_mapokezi_ya_Mhe._Tun__422_...mp4
    3.3 MB
Picha mjitahidi kuwaambia kitengo cha uchakuchuaji picha cha Chadema wawahishe kidogo walau saa kumi na moja hivi jioni

Tumechoka kila siku wao wanasubiri kuanzia saa moja usiku Giza limeingia na hatuoni vizuri shauri ya giza wao ndio wanarusha za Lowasa za 2015 na kuziita za leo maeneo mbalimbali aliyopita Lisu
Wewe Ni mjinga, moumbavu. Chadema haichakachui chochote. Hatuna sababu kwakuwa tunajielewa tunakubalika. Mlizuia Tbccm mkadhani watu hawatapewa habari za kampeni za chadema, hamkujua kwamba watu siku hizi hawangaliii tbccm. Technology imekuwa watu tunapata habari zote live. Pamoja na tbccm, channel 10 na vyote mlivyonavyo, tutawanyosha mwaka huu.
 
Wakuu natanguliza salamu , kama mjuavyo kampeni za uchaguzi mkuu bado zinaendelea , sasa basi leo tena yule mgombea urais anayeongoza kura za maoni atakuwa Mkoa wa Mwanza kunadi sera za chama chake na kuomba kura za ndio

Endelea kufuatilia hapahapa JF kwa taarifa za uhakika

View attachment 1580142

========
Asante sana, ila tafadhali turushieni picha tujue yanayojiri, ukweli ni kwamba picha zinaongea kwa sauti zaidi kuliko maandishi, please picha kemkem tunasubiri, mpaka kieleweke CDM hoyeeee!
 
Picha mjitahidi kuwaambia kitengo cha uchakuchuaji picha cha Chadema wawahishe kidogo walau saa kumi na moja hivi jioni

Tumechoka kila siku wao wanasubiri kuanzia saa moja usiku Giza limeingia na hatuoni vizuri shauri ya giza wao ndio wanarusha za Lowasa za 2015 na kuziita za leo maeneo mbalimbali aliyopita Lisu
Pole kwa maumivu mkuu
 
Picha mjitahidi kuwaambia kitengo cha uchakuchuaji picha cha Chadema wawahishe kidogo walau saa kumi na moja hivi jioni

Tumechoka kila siku wao wanasubiri kuanzia saa moja usiku Giza limeingia na hatuoni vizuri shauri ya giza wao ndio wanarusha za Lowasa za 2015 na kuziita za leo maeneo mbalimbali aliyopita Lisu
You're delusional 😛 😛
 
Back
Top Bottom