YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Mnafiki wewe unayeacha kuleta picha za mikutano live unasubiri Giza liingie ulete picha za kuchakachua ambazo hazionekani vizuri za 2015Mnafiki Wewe !!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnafiki wewe unayeacha kuleta picha za mikutano live unasubiri Giza liingie ulete picha za kuchakachua ambazo hazionekani vizuri za 2015Mnafiki Wewe !!!!!
😆😆😆Samahani mkuu Jane ,Kuna mdau aliuliza eti wewe kwa Sasa ni mjazito, anaomba jibu lako mkuu
Halafu kubwa jinga mbona unahangaika sana kuhusu nyomi ya Lissu? Kama huamini si uachane nazo? Toka umeanza kujifariji picha fake umepata nini? Achana na mambo ya CHADEMA utakufa kwa pressure.
Tangu lini picha za miaka ya 1800 kushuka chini zikawa na mwanga?Jamani kitengo cha kuchakachua picha jitahidini kuweka mwanga wa kutosha
Picha mjitahidi kuwaambia kitengo cha uchakuchuaji picha cha Chadema wawahishe kidogo walau saa kumi na moja hivi jioni
Tumechoka kila siku wao wanasubiri kuanzia saa moja usiku Giza limeingia na hatuoni vizuri shauri ya giza wao ndio wanarusha za Lo
Kwahiyo hata video za mapokezi nazo zimechakachuliwa eti?Picha mjitahidi kuwaambia kitengo cha uchakuchuaji picha cha Chadema wawahishe kidogo walau saa kumi na moja hivi jioni
Tumechoka kila siku wao wanasubiri kuanzia saa moja usiku Giza limeingia na hatuoni vizuri shauri ya giza wao ndio wanarusha za Lowasa za 2015 na kuziita za leo maeneo mbalimbali aliyopita Lisu
Mtasubili saana, mbona hamuweki zile picha mlizozomewa huko geita na busersereHalafu kubwa jinga mbona unahangaika sana kuhusu nyomi ya Lissu? Kama huamini si uachane nazo? Toka umeanza kujifariji picha fake umepata nini? Achana na mambo ya CHADEMA utakufa kwa pressure.
Si akamtetee mpwa wao Dotto James. Amelikologa huko.Sio lazima uchangie anzisha page ya mbogamboga mpo mbona mtazila ziishe
Sent from my BLL-L22 using JamiiForums mobile app
Mkuu kuna mambo ambayo kuku anafanyaga akitaka kutaga! Huyo mboga kwa mboga yupo katika hali hiyo, tumchunge asikatie moto humu!Sio lazima uchangie anzisha page ya mbogamboga mpo mbona mtazila ziishe
Sent from my BLL-L22 using JamiiForums mobile app
Hii hapa video mkutano cha chadema mwaka 1625Picha mjitahidi kuwaambia kitengo cha uchakuchuaji picha cha Chadema wawahishe kidogo walau saa kumi na moja hivi jioni
Tumechoka kila siku wao wanasubiri kuanzia saa moja usiku Giza limeingia na hatuoni vizuri shauri ya giza wao ndio wanarusha za Lowasa za 2015 na kuziita za leo maeneo mbalimbali aliyopita Lisu
Hata zile video wanazorusha ITV kwenye taarifa za habari zao ni feki?Mnafiki wewe unayeacha kuleta picha za mikutano live unasubiri Giza liingie ulete picha za kuchakachua ambazo hazionekani vizuri za 2015
Na wewe mbona huweki zile alizozomewa yule jamaa kule Bukoba?Mtasubili saana, mbona hamuweki zile picha mlizozomewa huko geita na busersere
Wewe Ni mjinga, moumbavu. Chadema haichakachui chochote. Hatuna sababu kwakuwa tunajielewa tunakubalika. Mlizuia Tbccm mkadhani watu hawatapewa habari za kampeni za chadema, hamkujua kwamba watu siku hizi hawangaliii tbccm. Technology imekuwa watu tunapata habari zote live. Pamoja na tbccm, channel 10 na vyote mlivyonavyo, tutawanyosha mwaka huu.Picha mjitahidi kuwaambia kitengo cha uchakuchuaji picha cha Chadema wawahishe kidogo walau saa kumi na moja hivi jioni
Tumechoka kila siku wao wanasubiri kuanzia saa moja usiku Giza limeingia na hatuoni vizuri shauri ya giza wao ndio wanarusha za Lowasa za 2015 na kuziita za leo maeneo mbalimbali aliyopita Lisu
Asante sana, ila tafadhali turushieni picha tujue yanayojiri, ukweli ni kwamba picha zinaongea kwa sauti zaidi kuliko maandishi, please picha kemkem tunasubiri, mpaka kieleweke CDM hoyeeee!Wakuu natanguliza salamu , kama mjuavyo kampeni za uchaguzi mkuu bado zinaendelea , sasa basi leo tena yule mgombea urais anayeongoza kura za maoni atakuwa Mkoa wa Mwanza kunadi sera za chama chake na kuomba kura za ndio
Endelea kufuatilia hapahapa JF kwa taarifa za uhakika
View attachment 1580142
========
We mjane wa Lowassa na team yako, mmesogeza mbele deadline mpaka 28/10 siyo?Huyu atashangazwa trh 28 hadi apate kimuhemuhe
sitawaangusha , nadhani mnanielewa vizuriTunasubiri mkuu.
😆😆😆 nishazipata natarajia kuzianika bila huruma kuanzia sasaNa wewe mbona huweki zile alizozomewa yule jamaa kule Bukoba?
Pole kwa maumivu mkuuPicha mjitahidi kuwaambia kitengo cha uchakuchuaji picha cha Chadema wawahishe kidogo walau saa kumi na moja hivi jioni
Tumechoka kila siku wao wanasubiri kuanzia saa moja usiku Giza limeingia na hatuoni vizuri shauri ya giza wao ndio wanarusha za Lowasa za 2015 na kuziita za leo maeneo mbalimbali aliyopita Lisu
You're delusional 😛 😛Picha mjitahidi kuwaambia kitengo cha uchakuchuaji picha cha Chadema wawahishe kidogo walau saa kumi na moja hivi jioni
Tumechoka kila siku wao wanasubiri kuanzia saa moja usiku Giza limeingia na hatuoni vizuri shauri ya giza wao ndio wanarusha za Lowasa za 2015 na kuziita za leo maeneo mbalimbali aliyopita Lisu