Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA Mhe Tundu Lissu Mkoani Mwanza

Halafu kubwa jinga mbona unahangaika sana kuhusu nyomi ya Lissu? Kama huamini si uachane nazo? Toka umeanza kujifariji picha fake umepata nini? Achana na mambo ya CHADEMA utakufa kwa pressure.

Mbona hasira namna hii tatizo maisha magumu au picha hazipo???
 
Kwahiyo hata zile video
 
Halafu kubwa jinga mbona unahangaika sana kuhusu nyomi ya Lissu? Kama huamini si uachane nazo? Toka umeanza kujifariji picha fake umepata nini? Achana na mambo ya CHADEMA utakufa kwa pressure.
Mtasubili saana, mbona hamuweki zile picha mlizozomewa huko geita na busersere
 
Hii hapa video mkutano cha chadema mwaka 1625
 

Attachments

  • 2528969_Wananchi_wa_Geita_Mjini_watuma_salamu_kwa_Magufuli.__Tazama_mapokezi_ya_Mhe._Tun__422_...mp4
    3.3 MB
Wewe Ni mjinga, moumbavu. Chadema haichakachui chochote. Hatuna sababu kwakuwa tunajielewa tunakubalika. Mlizuia Tbccm mkadhani watu hawatapewa habari za kampeni za chadema, hamkujua kwamba watu siku hizi hawangaliii tbccm. Technology imekuwa watu tunapata habari zote live. Pamoja na tbccm, channel 10 na vyote mlivyonavyo, tutawanyosha mwaka huu.
 
Asante sana, ila tafadhali turushieni picha tujue yanayojiri, ukweli ni kwamba picha zinaongea kwa sauti zaidi kuliko maandishi, please picha kemkem tunasubiri, mpaka kieleweke CDM hoyeeee!
 
Pole kwa maumivu mkuu
 
You're delusional πŸ˜› πŸ˜›
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…