dikteta2020
JF-Expert Member
- Aug 14, 2018
- 595
- 3,991
Kwani uongo tuadsubiri picha zenye Giza za mikutano ya lisu mtuletee jioni
Safi sana. Magufuli hakupita huko kwetu karibu na Koromije. Sijui angewambia nini kuhusu ile barabara .....!!Muda huu tupo Sumve na baada ya hapa tutakuwa Nyamagana
View attachment 1580493
Aliyekuwa mbunge wa jimbo hili ni marehemu Richard Ndassa wa CCM ambaye alifariki ghafla akiwa hotelini kwake Dodoma kipindi cha COVID 19
Rudi page ya kwanza basi uone au unataka updates kila page ?Unatoa na uodates, sio unaandika kizushi tum km unakimbizwa
Chadema mnalilia barabara wakati sio kipaumbele chenu!Safi sana. Magufuli hakupita huko kwetu karibu na Koromije. Sijui angewambia nini kuhusu ile barabara .....!!
Nani kakwambia mimi Chadema ......!!?Chadema mnalilia barabara wakati sio kipaumbele chenu!
MbaaffChadema mnalilia barabara wakati sio kipaumbele chenu!
Dunia ni Kijiji wewe,mambo ya TehamaSi ana mdahalo wa kimataifa leo ataenda saa ngapi? Au utafanyika usiku?