Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA Mhe Tundu Lissu Mkoani Mwanza

Muda huu tupo Sumve na baada ya hapa tutakuwa Nyamagana
Your browser is not able to display this video.


Aliyekuwa mbunge wa jimbo hili ni marehemu Richard Ndassa wa CCM ambaye alifariki ghafla akiwa hotelini kwake Dodoma kipindi cha COVID 19
 
Sumve
Your browser is not able to display this video.
 
Chama cha siasa ni mabarabarani na Majukwaani - JK NYERERE
 
acheni afanye tour maana baada ya tarehe 28 itabidi aikimbie tena nchi arudi uberigiji maana kwa martusi hayo anayotukana sijui kama atakaa jpm akiapishwa
 
Si ana mdahalo wa kimataifa leo ataenda saa ngapi? Au utafanyika usiku?
 
Tulikuwa naye Hungumalwa muda si mrefu. Ukilinganisha kampeni za hawa wawili Tundu Lisu ni very humble kwa wananchi.

Upande wa pili naona ubabe na vitisho tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…