Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu Mikoa ya Kagera na Geita

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu Mikoa ya Kagera na Geita

Wakuu natanguliza salamu , na baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye mada , kama mnavyojua Kampeni zinaendelea na leo tena Mh Lissu ambaye anapewa asilimia kubwa kutwaa urais wa nchi atakuwa kwenye mikoa ya Kagera na Geita , katika kanda hii kunatarajiwa kupigwa mkutano maalum wa kipekee kwenye jimbo la Chato....
Umeanza kuvurugwa na wewe kama Mgombea wako, Kwenye heading unatuambia Kigoma na Geita huku kwenye maelezo unatuandikia Kagera na Geita. Huko Kigoma kumewavuruga, mikutano yote mnafanyia uchocholoni.

Sehemu peke mtakayopata watu ni Bukoba na Mara. Huko kwingine tulizeni mzuka.
 
Wakuu natanguliza salamu , na baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye mada , kama mnavyojua Kampeni zinaendelea na leo tena Mh Lissu ambaye anapewa asilimia kubwa kutwaa urais wa nchi atakuwa kwenye mikoa ya Kagera na Geita , katika kanda hii kunatarajiwa kupigwa mkutano maalum wa kipekee kwenye jimbo la Chato...
Maneno iko hapo kwenye mkutano mkuu maalum Chuttle
 
Ndiyo, na mume wake ni RAS wa Mvomero anaitwa Hofman Sanga. Halafu kuna mbigiri zinasema tujiajiri!
MVOMERO KUNA RAS.?Lowassa alisema elimu!elimu!Halafu huo ni ujinga, kutuletea taarifa kama hizo.Mbona LISSU marehemu dada yake alikuwa viti maalaum Chadema?Mbaya zaidi ,nyumba ndogo za MBOWE ni viti maalum.
 
Back
Top Bottom